Tukutane wanaume tuliowahi kupata “wife material” mpaka leo tunajuta baada ya kuleta wenge

Tukutane wanaume tuliowahi kupata “wife material” mpaka leo tunajuta baada ya kuleta wenge

mimi alikufaga he was so caring, loving, protector nlimuweka miaka mi4 anasubiri bikra yangu na aliweza bila kubadilika,. tulipanga mengi ya baadae ajali ikamuondoa , kazi ya Mungu haina makosa, endelea kupumzika kwa amani
Ayseee...like seriously [emoji30]

Pole sana kwa maswahibu ya dunia Mama, Mungu atakujalia mema zaidi kwa neema na rehema zake, Amina [emoji26]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Naomba namba ya Yolanda
 
Mi title ya uzi iko tofauti kwangu 😀 yaan nilioa kicheche baadae nikaangukia kwa wife material hadi sasa niko nae.
Picha linaanza baada ya kumaliza f6 nikaenda kwa anko, pale kwa anko alikuwa na jirani yake na huyo jirani yake alikuwa anaishi na mtoto wa dada yake aliye mlea tangu kachanga maana dada ya huyo jirani wa anko alifariki akaacha kadogo sana ilikuwa ngumu sana kujua sio binti wa kuzaa wa huyo jirani ya anko maana kalikua kanamwita baba badala ya anko.
Anko na huyo jirani yake walikuwa wasabato kamili kwa hiyo na kabinti kenyewe kalikuwa kasabato kalikoshika dini balaa na kalikuwa form 4 pindi hiyo kitabia kweli kalikuwa kamelelewa kakaleleka sasa wazo langu nikawa nataka nichape nitembee siku moja wameenda church miji yote kakabaki home mzee, nikafanya mambo siku hiyo kumbe kalikuwa bikra ... basi roho ya kukaoa ikawa inanitembelea sana ugumu ukawa dini ... matokeo ya six yalipotoka nikaendelea na chuo na mambo mengine miaka ikapita sana kila nikipiga simu kwa anko naogopa kuulizia habari za dogo kwamba anko angestuka..
Nikaja kuoa mwl mmoja hivi dahh alikuwa fresh kimwonekano rangi, sura, tako nikaona dhahabu nikaweka ndani hakuna rangi niliacha kuona demu kumbe kicheche....
Siku moja nikampigia mke wa anko katika kuwajulia hali nikauliza vp fulani ... ooh pale tulihama ila wakati tunahama tayari anko wako na yule jirani yake walikuwa hawapatani tena maana waliingia mgogoro wa kiwanja ilikuwa vita hatari ila yule demu aliolewa..
Siku zikaenda miaka ikapita.. siku moja mke wa anko akanipigia ameonana na dem sokoni demu akamuuliza habari zangu akaambiwa nishaoa na nina watoto akaomba namba yangu na yeye akamwambia anti kuwa alirudishwa kwao kwa kuwa hazai jamaa yake akaoa mwingine kwa hiyo yuko home tu.
Siku moja namba ngeni ikaita kupokea ni demu stori za hapa na pale mzee cha kufuia nini nikamweka ndani kicheche akasepa huwezi amini mwaka uliofuata demu mjamzito ni wife material kweli kweli... wife material ni wale ambao unawajua malezi yao tangu utoto wao. 😀😀
Ukipata wife material halfu msabato utakula maisha ambayo utashindwa kuelezea
 
mimi alikufaga he was so caring, loving, protector nlimuweka miaka mi4 anasubiri bikra yangu na aliweza bila kubadilika,. tulipanga mengi ya baadae ajali ikamuondoa , kazi ya Mungu haina makosa, endelea kupumzika kwa amani
Bado una ubikra?
 
Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Pole nitaacha yote nakuwa na wewe
 
mimi alikufaga he was so caring, loving, protector nlimuweka miaka mi4 anasubiri bikra yangu na aliweza bila kubadilika,. tulipanga mengi ya baadae ajali ikamuondoa , kazi ya Mungu haina makosa, endelea kupumzika kwa amani
pole sana, Mungu akupe mwingine wa kufanana nae.
 
Wote watatu ambao nilidhani wangekuwa ma wife kwa nyakati tofauti wame lost. Sijui hawakuwa ma wife material ila niliwashobokea tu au wenza wao waliokuja kuwapata ndo hawakuwa husband materials hadi kusababisha ndoa zao kuvurugika. Ila niliumia sana kuachwa lakini may be Mungu alikuwa ananionyesha kuwa hao siyo.

Wakwanza...X mkubwa...hazai mpaka leo hana mume. Aliolewa akaachwa lwa kuto kuzaa...anyway hakuachwa ila alijiachisha mwenyewe baada ya mume wake kuzaa nje. Na nadhani alipitia unyanyapaa fulani. Ni boss mkubwa ila hazai. Huyu aliniacha alidai amepata mtu ambaye yuko serious kuliko mimi. Niliumia sana, lakini yalipita.

Wapili, X wa kati...huyu ameolewa na jamaa mmoja mlevi na malaya sana. Ilifika mahali mkewe naye akaanza kuchepuka...Ila sijui kama alichepuka lwa sababu ya mme au nitabia yake tu. Mwisho wa siku ndoa ikawa chali...yuko anaishi na watoto wake tu. Huyu alizingua eti kwa sababu sikumtumia birthday wishes akiwa chuo mwaka wa 2.

X mdogo...huyu dada ni much know na muongo mkubwa. Yaani mumewe ali nyoosha mikono akakimbia nyumba.
 
Mi wife material wangu kaolewa juzi tu hapa tunawasiliana ananikubali mpaka sasa sema sitaki dhambi ya mke wa mtu mungu hakupanga na kwao walimlazimisha kuolewa

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Upendo ni kitu cha ajabu sana yaani yakikukuta yanaweza kukuondolea furaha na wakati mwingine yakakupa faraja ukibahatika kumpata mtakaependana kwa dhati
 
Back
Top Bottom