Tukutane wanaume tuliowahi kupata “wife material” mpaka leo tunajuta baada ya kuleta wenge

Tukutane wanaume tuliowahi kupata “wife material” mpaka leo tunajuta baada ya kuleta wenge

Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Yolanda hii pisi kali kwao yakisua sana . In bmw x 1 kwa sasa
 
Duuuuh! mimi almanusura nimpoteze ingekuwa sio juhudi zake binadfsi na upendo wake wa dhati kwangu kwa kweli nisingukuwa naye maana sikuwa na time naye kabisa tena yeye aliwahi kupata kazi miaka mitatu kabla yangu lakini aliendelea kuniganda japo tulikuwa mbali.

Ndugu wakanionya kuhusu kumpotezea huyu dada wa watu tena akiwa nahisia kali kwangu lakini mimi akili ya ujana wala sikujali na hata simu yake nilikuwa napokea nkijisikia. Kuna siku dada yangu aliniita akanipa sifa za wanawake akaniambia mdogo wangu nakuonya acha kumtesa mtoto wa watu siku ukimpoteza huyu dada utajuta maishani mwako.

Niliitafakari hii kauli nikajiuliza mbona kweli huyu mtoto wa watu hajawahi nikosea na wakati mwingine ananisaidia sana nikiwa na matatizo yangu tena hapendi kabisa kusikia nikiwa na shida hata akiwa hana anaonesha kuumia mno tofauti na hawa wadada wengine waliokuwa wananipotezea muda.

Kwa kweli niliamua kuwa mtu mzima na kuanza kujali hisia za huyu wife material wangu hata kwenye simu nikamsave wife kabisa na nikaoa. Namshukuru Mungu sana ningefuata akili za ujuna kwa kweli ningepoteza mke mwema.
Kongole mkuu

Unani inspire
 
Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Yaani badala ya kukuonea huruma, nimecheka sana ulivoandika mnara wa Voda😂
 
Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah, we fala umenichekesha balaa
 
Unakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
😂😂😂 umepata anayejua kukata mauno sasa?
 
Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.

Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.

Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.

Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
Basi usimalizie kusoma....moyo wangu unauchoma
 
Hapa kuna kitu kimoja nimeona hao mnaowasifu ni kwa sababu hamkuanza nao maisha halisi ya ndoa mume na mke na watoto na hekaheka za maisha ya kila siku na changamoto nyingine za ndoa

Kipindi cha urafiki na uchumba huwa kinapumbaza sana wakati mahaba yanakuwa yamenoga na kaunafiki fulani kanakuwepo

Sasa hivi mnakabili changamoto za maisha halisi ya ndoa mnakumbuka kipindi cha urafiki na uchumba na hao wa zamani mnaanza kuona the good old days

Ishi na mwenza wako ndani miaka 5 au 10 ndo utajua kama yaliyomo yamo au la

Hatukatai kuwa wapo waliowapoteza watu muhimu
 
Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.

Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.

Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.

Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
Mhhh....

Kumbe hawa viumbe bado wapo eti?

Liverpool VPN vp hawa tunaweza oa ama kanuni tukufu iko palepale
 
Hapa kuna kitu kimoja nimeona hao mnaowasifu ni kwa sababu hamkuanza nao maisha halisi ya ndoa mume na mke na watoto na hekaheka za maisha ya kila siku na changamoto nyingine za ndoa

Kipindi cha urafiki na uchumba huwa kinapumbaza sana wakati mahaba yanakuwa yamenoga na kaunafiki fulani kanakuwepo

Sasa hivi mnakabili changamoto za maisha halisi ya ndoa mnakumbuka kipindi cha urafiki na uchumba na hao wa zamani mnaanza kuona the good old days

Ishi na mwenza wako ndani miaka 5 au 10 ndo utajua kama yaliyomo yamo au la

Hatukatai kuwa wapo waliowapoteza watu muhimu
Mara nyingi naonaga unaandika pumba ila huu ni mchele ule mmoja mmoja kabisa.

Wengi wameishia uchumba tu. Wenge la mwanamke mpe ndo ndo utajua haujui chcht khs yeye.

Kuna rafiki yangu m-south aliwahi nambia "Dating a nymphomaniac is not a problem, but marrying one is. Coz when u marry a nymphomaniac the 'nympho' part quits and u remain with a 'maniac'"

Toka nijue hilo nazalisha tu tunabaki hivohvo sweethearts, kosa la kuoa sitaki kabisa
 
Back
Top Bottom