Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauno [emoji16][emoji16]Unakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
Kosa lilikuwa nini mkuu...Kuna mwanamke nilimpoteza kwa hasira zangu tu japokuwa alinikosea Ila nilipaswa kumsamehe Ila nikaamua kumuacha. Nikapata mwingine kama mke Ila hadi leo namkumbuka wa mwanzo na najuta kwa nini sikumsahehe.
Tulipendana sana, alikuwa ni true definition ya mke. Ni mzuri, hana maringo, hana tamaa, anajua maisha nini, anaishi maisha yote, hata kulala njaa anaweza, ana heshima.
Namba yake nilifuta, sijui Kama ya kwangu bado anayo maana baada ya kumuacha alinitafuta karibu mwaka mzima akiniomba msamaha Ila nilikuwa namchunia, naona alichoka akaamua kuendelea maisha yake.
Popote ulipo, ninakuombea mema. Nina imani Mungu atanikutanisha tena na wewe. Nimeshindwa kukusahau, kila mara nimekua nikikuota, kila mara nimekuwa nikikuwaza.
Aisee usinikumbushe machungu ya yule mrembo wangu. Yaani bonge la wife material sasa bwana kweli ujana maji ya moto.Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.
Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.
Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.
Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
🤣🤣🤣umeshazoea shidaMi ndo nipo kwenye hiyo hali nimepata ila namuona ananisumbua tu
[emoji28][emoji28][emoji28]Endelea kujitunza usije kutana na siye wakulungwa tukaharibu uvulana wako
Binafsi nmekutana na vicheche tupu,
Wife material niliempata Ni wife nilienae tu
Block 41 kikosi ndiyo nini mkuu?Si wengine hatuna ex wa maana wote vichomi, mmoja alivyoenda kusoma nikala kibuti mwingine nilikuwa nae kumbe mwenzangu anamapenzi na ex wake.
Basi tena siku hizi nadate kimitego na sio king'ang'anizi kama zamani sijawahi kukutana na ke yoyote wa kusema huyu wife material, wengi ni block 41 kikosi.
Pole sana Chifu.Unakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
Mnara wa voda au sioo..Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Single mother wengine wanashawishimimi sijui nijutie ama vip
alikuwa ni msikivu na alinipa papuchi hata seblen tofaut na hili,kwnza hil la sasa ukiliomba mzigo mnagombana!
yule tulifurahia uumbaj mpaka basi,mbaya zaidi nilimtundika mimba mbili na zote kwa ujinga wangu nilimwambia poromosha(ee Mungu nisamehe) na alikubali.tatizo kubwa ye alikuwa single mother na mim nilshajiapiza kutokumuo mtu mwenye mtoto,hivyo tuliachana kwa kukbaliana kabisa japo yeye n ile kinyonge!
Sawa ila wote wapoPole sana Chifu.
Usiendelee kuwapenda maana tayari wajanja tushajinyakulia shilingi uliyoichezea chooni...[emoji124]
daaah pole sanaKatika maisha tunakutana na watu kwa sababu tatu tu, reason, lesson,na blessing,wapo watakuja kama baraka, wengine watatufundisha kitu kizuri au kibaya na wengine kwa sababu maalum tu.Kwahiyo hatukutani na watu kwa bahati mbaya.Binafsi mimi sijawahi kukutana na wife material kabisa zaidi zaidi wadangaji tu [emoji849],baadhi yao ilikuwa inaonekana ni one sided relationship labda huko mbele ya safari kama itatokea.
kina kala Pina aka kikosi cha mizingaBlock 41 kikosi ndiyo nini mkuu?
Yes, ipo hivyo mkuu...Yes tabia njema haijifichi.
Ukipata rafiki/girlfriend/co-worker anayekutendea wema usimchukulie poa.
Ukikaidi hilo fahamu pabaya panakuita.
Usijichanganye mkuu mvumilie sana hiyo ni luluMi ndo nipo kwenye hiyo hali nimepata ila namuona ananisumbua tu
Jichanganye uliwe kichwaMy wangu uko tayari kua mke wa pili? Au unaogopa ya dkt mwaka.. hakika wee ni katika wadada wenye haiba nzuri sana humu! Na ukiamuaga kufunguka kuhusu 6×6 huachagi nukta [emoji847]...