wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Ndiyo hivyo kakaHahahahaha umenifurahisha sana mkuu, wale mademu wa dhamani wengi walikuwa royal sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hivyo kakaHahahahaha umenifurahisha sana mkuu, wale mademu wa dhamani wengi walikuwa royal sana.
Huna tofauti na mimi aisee , nilitoka uchagani nikaangukia singida Matokeo yake sasa!Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
nIko na hip hali pia ila jitahidi nenda nae ivo ivo huo usumbufu ipo siku utaukumbukaMi ndo nipo kwenye hiyo hali nimepata ila namuona ananisumbua tu
Jmn ukiwa na kitu huon thaman yake hadi pale kitakapobaki kuwa historia[emoji16]usichukulie poa
Kama hujawahi piga puchu nguvu za kiume huna kwanzia uzaliwe hadi 2035 loooh parakwingiNgoja nivumilie nione Kama ntafika 2035
Alpha Na OmegaBinafsi nmekutana na vicheche tupu,
Wife material niliempata Ni wife nilienae tu
Loh mwangaza wangu yule bint japo over size ila alikua wife material well raised na baba ake alikiwa na kipato cha kati, tabasamu kila saa msafi, hana njaa ya pesa, na accent, nzuri ya kiingereza, ila kubadili Dini ukawa mtihani. Ila yule mutsi ntamukubuka hana tabia za uswahili swahili, mpaka leo sijapata mbadala wake.Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.
Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.
Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.
Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
😂😂😂Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
hii mbaya kupindukia yaani ila ndo maishaDah Acha tu Kaka unapata bonge la demu ana upendo wa dhati kabisa na umemkuta bado anakupenda anakujali anakufanyia mengi mazuri lakini mnajikuta dini tofauti yani dah unakosa ata la kufanya
😂😂😂😂😂 siku hizi mashangingi hawaogopi wala kuheshimu mahusiano.. ndo unakuta mmeo anaambiwa "nakupenda wewe na huyo mke wako"
Ukome! Wacha Mnyaturu akunyoosheYule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Ukiwa na hela utapata tu wife material maana hao viumbe kama hauna maisha huwa hawawezi kukuvumilia so mchongo ni kusaka dough
Nimeshakupata wewe dearUje kuleta mrejesho ukishazisaka hizo dough ukapata wa kuendana nae
Nimeshakupata wewe dear
Mimi najua nimekupata mtoto mzuriKama ni mimi hujanipata umepatwa[emoji23]