Tulia Ackson aache upotoshaji, Kiti cha Naibu Spika kiko wazi kikatiba

Tulia Ackson aache upotoshaji, Kiti cha Naibu Spika kiko wazi kikatiba

Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590
Yan wampige chini ili akacheze ngoma zake za kimila huko Songwe
 
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590
Unataka apoteze mwana na taulo?
Ndugu yeriko Tafsiri ya vifungu vya katiba unavitoa kichwani mwako au kuna ndugu kakuambia...naomba unijibu maswali yangu kama ifuatavyo,
1.Rais anapofariki bila kigugumizi makamu wa raisi ndio anachukua nafasi yake.kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tz.swali ni Je
Makamu wa rais anatakiwa ajiuzulu kwanza ndio awe Rais?Au awe,Rais wakati huohuo ni Makamu wa Rais?
2.Kifungu kipi cha katiba kimekataza kuwa Naibu spika na Spika kwa wakati mmoja.?na ni kifungu kipi cha katiba Kimemruhusu makamu wa Rais kuwa rais na makamu kwa wakati mmoja.?
"Punguza vijiti kama hujui ..hujui tu"
 
Naunga mkono hoja, mimi huu nimeuita ubatili !.
P
P nakuheshimu lakini kwa kuunga kwako hoja ya Yerriko nimesikitika mnoo.
Naomba kifungu chochote cha sheria kilichotungwa na bunge kinachomzuia naibu wa spika kuwa spika?
Kama hakuna huo wivu wa nini?
Pili...Kama imewezekana kwa makamu wa rais kuwa Rais na makamu kwa wakati mmoja...vipi inashindikana kwa Spika?
Acheni ukanjanja na wivu usio na Manufaa,,,,
Kimaumbile hakuna M/adam asiyependa kupanda nafasi za cheo au kuongeza utajiri ndio hulka zetu na ndio maumbile yetu...."Ujinga ni Ujinga tu hata kama ukisemwa na mtu kwa mtazamo wa wengi anaonekana kama mwerevu"
 
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590
Hata wakati wa kumpandikiza Unaibu Spika ilikuwa hivihivi.
Ndugai, katika unafiki wake, alimlinda ili asijibu maswali yaliyohusu 'uanachama wake na ushiriki wake katika siasa' akiwa bado Mtumishi wa Serikali; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu. Tuliona pia matendo yake ya kujikomba kwa serikali, akiwa Naibu Spika kulifanya kwa makusudi Bunge kuwa dhaifu/duni katika kuisimamia serikali. Ninachokiona ni kuwa ushetani wa Tulia wazidi kuwekwa hadharani ili kutuepusha kama TAIFA kuzama zaidi huko ambako kwa uroho wake, anajitahidi kutupeleka.
Mkono wa Mungu unaendelea kutenda kazi. AMEN
 
Unajua bado sijapata jibu...

Hivi posts za namna hii zinaandikwa huku mtu akiwa anaamini kabisa anachoongea ni sahihi or it's just politics?! Nauliza hili swali kwa sababu nimeona posts zingine sawa na hizi tena zikiandikwa na Wanasheria kabisa hadi mtu unafikia kujiuliza "Like serious"?

Shaka yangu ni kwamba tusije tukawa tunaingilia mambo ya siasa za kivyama!!!

Yericko Nyerere, ni kweli unaamini unachokisema?!
 
Wewe ni bush lawyer unayesoma Katiba kama novel. Swali la msingi unalopaswa kujiuliza na kulitafutia jibu ni: Kwanini waliokatazwa kwa kutajwa wazi wamekatazwa? Jibu la msingi ni kuzuia conflicts of interest. Huwezi kuwa na speaker ambaye ni sehemu ya mhimili wa executive au judiciary. Hiyo mihimili mitatu inakuwa kept separate for a reason: CHECKS AND BALANCES. Mtumishi yeyote wa mhimili wa executive au judiciary, hata kama hajatajwa waziwazi, hawezi kuwa na sifa za kugombea kiti cha speaker.

Deputy Speaker Tulia, kama mbunge asiye na majukumu mengine kwenye mihimili mingine, hana potential conflict of interest yoyote Bungeni. Sio sahihi kusema Katiba haimruhusu kugombea kiti cha Speaker!

Ni uzembe kujaribu kuchangia kwenye mijadala ambayo huwezi kuchangia intelligently and meaningfully. Umeandika sana, lakini that was just wastage of your own time (on nonsense)!
Upo sahihi LAKINI HUJAMJIBU KISHERIA bali kishabiki!!

Huu ushabiki ndio nami umenifanya nisite kujibu kwa vile inavyotakiwa ndo maana nimemuuliza Yericko Nyerere kama anakiamini alichaondika or it's just yale mambo yetu!!

Labda pia nimuulize na Pascal Mayalla aliyeunga mkono hoja... DO YOU REALLY BELIEVE Yericko is right?
 
Tulia amechukua form ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya spika, na bado hajateuliwa . . Hivyo u naibu spika utakoma tu iwapo chama chake kitampitisha kuwania kiti cha spika .

Soma vizuri maelezo ya vifungu mlivonukuu. Uchaguzi unafanyika ndani ya bunge na huu ni mchakato wa ndani ya CCM sasa leteni vifungu vya kisheria vya CCM vinavyomkataza tulia asuchukue form ndaninya CCM.
Bora ungekaa kimya kuliko kujibu usiyoyajua. CCM ina katiba na nchi ina katiba na popote pale inapotokea mgongano wa kimaslahi baina ya mifumo, taasisi au vyama katiba ya nchi inatakiwa iwe ndio jibu la mwisho hata kama vyama husika katiba zao hazijasema chochote.

Katiba ndio sheria mama. Hakuna katiba ya chama chochote iliyotoa sifa za mtu kugombea lakini vyama vyote vinatoa wenye kulingana na katiba ya nchi.
 
Upo sahihi LAKINI HUJAMJIBU KISHERIA bali kishabiki!!

Huu ushabiki ndio nami umenifanya nisite kujibu kwa vile inavyotakiwa ndo maana nimemuuliza Yericko Nyerere kama anakiamini alichaondika or it's just yale mambo yetu!!

Labda pia nimuulize na Pascal Mayalla aliyeunga mkono hoja... DO YOU REALLY BELIEVE Yericko is right?

Ningefanya ushabiki ningekubaliana na mtoa hoja, kwa sababu naamini Tulia hafai kuwa Speaker. Kauli ya Tulia mbele ya Rais siku za karibuni inaonesha yeye anaamini kwamba Bunge halina nguvu ya kumdhibiti Rais. We cannot afford to have a leader of the people’s house who is submissive to the leader of the very branch the house is to oversee!
 
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590
.......Sheria iliyotungwa na bunge....
haya maneno mbona Unayaruka!!??? Tulia yupo sahihi usikitazame hichi kifungu kwa mrengo wa kichama Hakuna Sheria inayomzuia naibu spika kugombea kiti cha uspika
 
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri lakini ibara hiyohiyo ina maneno mengine ili ikamilike, ambayo yanazuia watu wengine kugombea uspika kwakutumia maneno yasemayo, "..........au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo, huyu ndio hataweza kuchaguliwa kuwa Spika".

Dr. Tulia ni mwanasheria anatumia udhaifu wa Watanzania wachache na hasa Wabunge wenzake waliowengi ambao ni mbumbumbu wa Sheria anawarubuni kuwa Katiba ya Tanzania haijamzuia yeye Naibu Spika kugombea Uspika. Hivyo anaamua kutojiuzulu kwanza Unaibu Spika ndipo agombee, badala yake anaamua kwenda navyo pacha.

Dr. Tulia anajenga hoja kwamba hakuna sheria ya Bunge inayomzuia. Lakini kikatiba ni kwamba, kwa kuwa hakuna sheria iliyotungwa na Bunge kumzuia Naibu Spika kuchaguliwa kuwa Spika, ni wazi kuwa Kisheria tunalazimika kuitumia Katiba kuwa sheria kwakuwa Katiba ni sheria MAMA. Sasa kwa Mujibu wa Ibara ya 84 (2) inayosema waliokatazwa ni Waziri au Naibu waziri au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hiyo. Maneno ya kikatiba kwamba "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria.....", yana nguvu za kisheria.

Baada ya hapo turejee kwenye katiba, cheo cha Naibu Spika kinatambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ibara ya 85 (1). Isemayo, 85.-(1) Kutakuwa na Naibu wa Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na wajumbe kutoka miongoni mwa Wabunge.

Hivyo ndio kusema kinatambuliwa Katiba ambayo ni sheria MAMA, na kwahivyo, Naibu Spika anaingia kwenye kundi la wanaokatazwa kugombea Uspika kupitia Ibara ya 84 (2) kwa maneno ya kikatiba yasemayo "au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote itakayotajwa na sheria....."

Kuna athari nyingi za kisheria, kimantiki na kimaslahi ikiwa Naibu Spika ataachwa aendelee na mchakato wa kugombea Uspika,

1. Ni wakati gani Naibu Spika ataachia kiti chake ili kujinadi na kupigiwa kura kuwa Spika?

2. Je wakati anaomba kura na zoezi la kura likiwa linaendelea je ataendelea kuwa Naibu Spika?

3. Iwapo Naibu spika aamue kutokujihuzulu wakati wa mchakato wa kura mpaka matokeo kutangazwa na akashinda, maana yake ni kwamba, kwa vyovyote vile kuna muda walau hata wa dakika moja atakuwa ameshika vyeo vyote viwili kwa pamoja.

4. Mchakato hauwezi kuwa huru sana, hata kuanzia kwenye chama chake kwa kuwa watalazimika kujadili intergrity ya mtu ambaye bado ni kiongozi, je implication ya chama chake au bunge kutompitisha ni yapi?

Ukisoma ibara ya 85(4) a to c, zimeelezea events za Naibu speaker kupoteza mamlaka yake. Kitendo cha yeye kuchukua fomu kugombea U-Speaker, it means kinamfanya apoteze mamlaka yake ya Unaibu Speaker chini ya Ibara ya 85(4)(b).

Wako wanaodhani kuwa kwakuwa kachukua fomu tu kwenye Chama chake basi hajavunja sheria ambayo ndio Katiba, hadi angalau apitishwe na chama chake ndio anaweza kujiuzulu. Nooo mchakato wa Kugombea kisheria na Kikatiba unaanzia pale dakika ya kwanza unapochukua fomu tu kwenye chama chako.

Ukweli unabaki kuwa, Mamlaka ya Speaker & Deputy Speaker yamewekwa na Katiba ya JMT.
Under common Jurisprudence ya Katiba ya Tanzania haiwezekani mtu mmoja kushikiria hizi mamlaka 2 kwa wakati mmoja. Hata kwa sekunde moja tu.

Ikitokea Tulia akapata U Speaker, automatically anakua ni Speaker na Naibu Speaker at the same time, this is Constitutional breach. She is supposed to resign her current position in order to be eligible to contest nafasi ya U- Speaker.

Ili kuelewa zaidi Msimamo wa Kikatiba na Kisheria, Soma kwa Construction approach kwa pamoja Vifungu vifauatavyo;

1. Ibara ya 84 Katiba.

2. Ibara ya 85(1&2) Katiba.

3. Kif.41(2) Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

4. Ibara 149(1)(c) Katiba.

Swali la kujiuliza ni Je, Kujiuzulu kwa Spika Ndugai kumefuta na Naibu wake Tulia Ackson automatically?

Kama Tulia hajafutiwa madaraka yake, je anagombeaje nafasi ya Spika wakati yeye kwa sasa ndiye anakaimu nafasi ya Spika kwa Kifungu cha 41 cha Sheria ya Madaraka ya Bunge.

Na Yericko Nyerere

View attachment 2080587
View attachment 2080589
View attachment 2080590
''Una akili nimeelewa sana''ubarikiwe
 
Back
Top Bottom