Tulia Ackson atoa msimamo wa Bunge, asema Rais ni Mkuu wa Nchi na ana mambo yote!

Ndio aina ya asilimia kubwa ya wasomi tulionao. Pathetic !!
 
"Tunaahidi kuwa bunge litakapotakiwa kuikosoa serikali, basi tutakosoa kwa nidhamu, Rais @SuluhuSamia si tu kwamba ni kiongozi wa serikali,bali ni mkuu wa nchi,hivyo nguvu yake haiwezi kulingana na kiongozi yoyote wa mhimili mwingine"
 
"Tunaahidi kuwa bunge litakapotakiwa kuikosoa serikali, basi tutakosoa kwa nidhamu, Rais @SuluhuSamia si tu kwamba ni kiongozi wa serikali,bali ni mkuu wa nchi,hivyo nguvu yake haiwezi kulingana na kiongozi yoyote wa mhimili mwingine"
Basically siyo kukosoa. Ni kushauri. Wanakosoa kwani wao ni wakamilifu?
 
Kuuza mhimili wa nchi kwa sababu ya tumbo👇😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu mama ni mwanasheria wa mirathi mkuu ndo alipobobea huko sio kwinginepo maana kuna vitu anavijua ila anajitoa ufahamu
 

Kwa kifupi hatuna wawakilishi bungeni…ni maumivu tu kwa watanzania…
 
Tungepigania kwanza Katiba hii mbovu ikafuatwa angalau zaidi ya 50%.....maana tunataka katiba mpya wakati iliyopo tayari inakanyagwa..

Hafadhali umeliona hili mkuu…kwa njaa tulizokuwa nazo…itakanyagwa tu…
 
Yuko sahihi hio tafsiri ni next level, professor Richard Mabala anafahamu, The Animal Farm. All animals are equal but others are more......malizieni.
 
Kuuza mhimili wa nchi kwa sababu ya tumbo
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…