Haya unayosema huwa yanafanyika katika nchi zenye demokrasia uchwara, mataifa yenye demokrasia imara kama US serikali imewahi kufungwa mara nyingi tu baada ya bunge kuikataa bajeti ya serikali, pia mkuu wa jeshi la Marekani amewahi kutangaza mbele ya vyombo vya habari kiapo chao ni kwa katiba ya nchi na sio mtu binafsi hivyo hawatatekeleza amri yoyote batili isiyofuata utaratibu wa sheria na kuingilia uhuru wa demokrasia.
Mimi mwenyewe sio muumini wa katiba maana njaa inatoa ufahamu wawakilishi wetu..
Mtazamo wangu kinachotakiwa ni kupasuka kwa CCM tupate upinzani wa kweli…hapo ndio tutakaa sawa..CCM wamejisahau sana…
Tumuajiri kiongozi wa chama cha upinzani imara Kenya aje awape consulation watu wafanye mambo…😄 we are tired of CCM kwa kweli..