Tulia Ackson atoa msimamo wa Bunge, asema Rais ni Mkuu wa Nchi na ana mambo yote!

Tulia Ackson atoa msimamo wa Bunge, asema Rais ni Mkuu wa Nchi na ana mambo yote!

Tulia akiwa speaker mmh!Hajiamini ndiyo maana statement zake ni za kujipendekeza kwa wateule na kukomand wabunge wenzake.Position yake inahitaji mtu aliye neutral katika uendeshaji wa shughuli za bunge.
 
Tulia Ackson is one the dumbest deputy speaker the country has ever have.


Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
 
Submission speech😁😁😁
 
Sio bure; huu ni uchizi.

Nimemdharau sana. Hafai hata kuwa naibu speaker tu!
Mdharau tuu ila...


Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
 
Mpaka hapo hatuna spika, akiwa spika atazuia sana mijadala ndani ya bunge


Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
 
Ni kweli, Rais anateua judge mkuu,,, spika huwezi kuongoza bila kukubaliana na Rais hata akichaguliwa, lazima awasilishe kwa Rais hesabu zake za Mali anazomiliki, na uthibitisho kuwa kweli anayo maadili ya kuwa spika,,,
Huo ndo ukweli, mhimili mmoja umejichimbia, zaidi,,
Hatuwezi kuwa na mafahari watatu ndani ya nchi moja hii ni africa, ,itakuwa fujo

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huo ndiyo ukweli na Tulia yupo sahihi
 
Naibu Spika akiongea katika hafla ya kuwaapisha mawaziri, manaibu na viongozi wengine, amewapongeza wote walioteuliwa na kuwashauri wameteuliwa kufanya kazi za Rais nao wao wanamsaidia hivyo wazifanye kama wasaidizi wa Rais wa Jamhuri wa Muungano na si vinginevyo. Kuhusu Bunge, amesema kuna watu wanahisi kazi ya Bunge kila wakati ni kukosoa pekee. Amesema uko wakati Bunge linaishauri Serikali, kuna wakati linatunga sheria pia uko wakati Bunge linaisimamia Serikali.

Tulia amesema katika kipindi cha awamu ya sita imekuwa ikiwasikiliza ushauri wa wabunge na imekuwa ikizifanyia kazi.

Kwa muktadha huo, Tulia amesema Bunge liko tayari kushirikiana na awamu ya sita kwa mambo yote ambayo itayaleta bungeni ili wasimamie Serikali.

Naibu Spika amesema pale ambapo wanahitaji kukosoa Serikali wataikosoa kwa heshma na kwa muktadha ambao katiba inaruhusu kufanya hivyo, kwenye kushauri watashauri na si lazima Serikali kufata ushauri wa Bunge lakini katiba imetoa nafasi ya Bunge kuisimamia Serikali na kupata fursa ya kuiuliza Serikali walifanyia ushauri gani.

''Mihimili yote ina kazi zake na hapo mheshimiwa Rais nisisitize jambo moja maana kunakuwa na upotoshaji, Rais ni mkuu wa nchi, wapo watu wanachukua hiyo sehemu inayosema Rais ni kiongozi wa Serikali lakini Rais ana mambo yote, ni mkuu wa nchi, ni kiongozi wa Serikali, ni amiri Jeshi mkuu wa nchi hii.

Naamini kwa ufafanuzi huu watu watafahamu kwamba Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa Serikali lakini ni mkuu wa nchi kwa hiyo yeye uongozi wake hauko sawasawa yeyote wa mhimili wowote ulioko hapa nchini"


Alisema Naibu spika, Tulia Ackson
Huu ndio ukweli wenyewe na huyu

.

Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
 
Hata mimi nimemsikia. Kwa kifupi, huyu hata Ndugai atakuwa na nafuu.

Kaongea alichongea ili kumfurahisha Mama ampe uspika, na akiupata, atakuwa ni bora Ndugai.

Wabunge kama mko makini, huyu msimpe uspika ingawa sioni uwezekano wa nyinyi kupinga chaguo la Raisi(Mwenyekiti wa CCM) ni nani awe spika.

Kwa sasa Mama anaweka Spika wake (atakaeilinda serikali yake Bungeni) na baadae ataweka Waziri Mkuu wake.


Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
 
Alichoongea ni kama kujikomba tu lengo lake ni kujisafishia njia kuukwaa uspika, ingawa hatoshi wala hafai
Endelea kusema hatoshi wala hadi.. lakini, Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
 
Na huyu ndio huenda akawa Spika mtu mwenye mtizamo wa hivyo ?


Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
 
Endelea kusema hatoshi wala hadi.. lakini, Dr Tulia Akson Mwansasu ndiye Spika wetu mpya ajaye. Utanisamehe, sio mimi, bali ni sauti hii
Hivyo endeleeni kusema yoote, mwisho wa siku Spika ni yule tuu aliyepangiwa, hivyo kama sauti hiyo ni ya ukweli, ... then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia.
P
Kilichofanyika jana ni utangulizi wa utambulisho wa Dr Tulia kwamba aja rasmi.
 
Kilichofanyika jana ni utangulizi wa utambulisho wa Dr Tulia kwamba aja rasmi.
Mkuu Richard , wengi humu hawaoni mbali, mbele. Ile hotuba ya jana ya Dr. Tulia, ni hotuba ya kufungia kampeni ya uspika!, kinachoendelea ni mchakato tuu wa kukamilishwa taratibu!.
P
 
Ki nadharia wote wanaonekana kama wapo sawa, ila kiutendaji Raisi ana majukumu nyeti na ana mamlaka nyingi
Hiyo kinadharia yenyewe umeitoa wapi!! Hivi ni awamu ipi mliona haya mnayoyataka yawe sasa hivi.!! Bado mnashida ya utambuz
 
Mkuu Richard , wengi humu hawaoni mbali, mbele. Ile hotuba ya jana ya Dr. Tulia, ni hotuba ya kufungia kampeni ya uspika!, kinachoendelea ni mchakato tuu wa kukamilishwa taratibu!.
P
Mkuu, hata wazungu bado hadi leo wapata shida sana kuelewa jinsi serikali yetu inavyofanya mambo yake.

Yaani kitaalam yasemwa "government mechanism" ambayo kuna mastratejia wengine hujikita kujifunza how our governement works.

Ndo maana nchi yetu hutembelewa sana na mazee wa majasusi wa kutukuka wengine wakiwa mabalozi ili wajifunze wapi pa kupenyea.

Sasa hata sisi hapa kwetu wapo viongozi ambao pia hawafahamu hii "Government Mechanism" inafanya vipi kazi zake na hawajifunzi madhara ya kwenda against.

Kila kiongozi huja na yake ila akikutana na hii GM huenda akijifunza lakini kama hawezi kufanya "blending" basi hupata shida.

Lakini hii ni Afrika na hii ndo demokrasia (kulindana kutimuana na kutandikana) kisha mtu anajitoa kimyakimya ambayo wengi wanaonekana kuipenda.
 
Back
Top Bottom