Ushora Ndago
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 318
- 360
Erythrocyte,
Bi dada kama nakuona ulivyo rindima hasira du ! Sijazoea kuona unawaka namna hii ! Pole wee ! Mwambie basi na Sugu wa mavurugu nae alipize kwa kumwaga hela kwa majanki chingaz!
Mbeya hakuna masikini ? Sasa mbona kila kukicha mnalalama ati CCM inalea umasikini na unyonge nchi nzima? Au kwenu mbeya mambo mukide? Guys be consistent jamani !
Bi dada kama nakuona ulivyo rindima hasira du ! Sijazoea kuona unawaka namna hii ! Pole wee ! Mwambie basi na Sugu wa mavurugu nae alipize kwa kumwaga hela kwa majanki chingaz!
Mbeya hakuna masikini ? Sasa mbona kila kukicha mnalalama ati CCM inalea umasikini na unyonge nchi nzima? Au kwenu mbeya mambo mukide? Guys be consistent jamani !