Tulia Ackson atumia Tulia Trust kulipia bima anaowaita wazee wasiojiweza Mbeya

Tulia Ackson atumia Tulia Trust kulipia bima anaowaita wazee wasiojiweza Mbeya

Mpumbavu ni wewe uliyeshindwa kuwakatia wazazi wako Bima ya afya mpaka Tulia Acson aje akusaidie. Omba Omba ni wewe tu Saint anne Mbeya nzima.

Tunasisitiza Mbeya hakuna maskini labda wahamiaji
Wewe unaishi mbeya gani?
Mpumbavu na shetani Ni wewe mwenye roho ya kipepo kuchukia wazee kukatiwa bima.,
Wazee waliokatiwa bima Ni Kama wazazi wangu,hata wewe Ni Kama wazazi wako acha ushetani wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia Ackson anapata wapi hela za kuhonga ? mshahara wake ni mkubwa kuliko wa Ndugai a Mwanjela ? mbona wao hawahongi ? Tulia anauza nini kinachompatia pesa nyingi za kugawa kila kukicha ? mbona kwao Tukuyu ambako kuna mahitaji kuliko Mbeya Mjini hapeleki ?

Ukiamua kumuabudu Shetani tambua kwamba Mungu si Athuman
Jimbo la mbeya mjini hata atambike tulia halipati ngoooo mkitumia nguvu Kama mlivyofanya tukuyu mtaichafu nchi msiweze kuisafisha mbeya sio dodoma aisee
 
Ufalme wa Mungu utachukuliwa na wenyewe nguvu wewe endelea kulialia. Wakati wewe unatafuta uhalali wa jambo wenzako hawana shida na hicho unachokiita halali. Kutafuta kilicho mlimani lazima upande hata kwa kamba.
 
Anatafuta ubunge wa Jimbo Hilo ili amnynganye sugu Ila hivi kule kwao kijijini alikozaliwa huwa anawasaidia au wilayani kwao
Tulisema tangu awali kwamba huyu mama anatumwa na ngazi za juu kuna waliotubishia, sasa mambo ni hadharani.

Amekusanya aliowaita wazee wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenye ukumbi wa Royal Tughimbe eti kwa lengo la kuwalipia bima ya afya! Alikuwa wapi miaka yote kufanya haya? Anagawa rushwa huku anatazamwa tu na TAKUKURU!

Kwanza Mbeya haijawahi kuwa na masikini hata 100, lakini Tulia kakusanya mashoga zake 3420 halafu anaidhalilisha Mbeya na kuwaita wazee wasiojiweza ili kutimiza mipango yake ya rushwa! Mbeya sio Dodoma. Tulia endelea kugawa rushwa lakini tafadhali usijaribu kuidhalilisha Mbeya.

Mkoa wa Mbeya haujawahi kuwa na idadi kubwa kiasi hicho ya wasiojiweza, huu ni udhalilishaji na nachukua nafasi hii kuwaomba Wazee wa Mkoa wa Mbeya kumuonya Tulia Ackson kuacha kudhalilisha Mbeya kwa manufaa yake ya kisiasa vinginevyo sisi vijana hatutakubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni wivu,fanyeni na nyie kama mnaweza
Tulisema tangu awali kwamba huyu mama anatumwa na ngazi za juu kuna waliotubishia, sasa mambo ni hadharani.

Amekusanya aliowaita wazee wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenye ukumbi wa Royal Tughimbe eti kwa lengo la kuwalipia bima ya afya! Alikuwa wapi miaka yote kufanya haya? Anagawa rushwa huku anatazamwa tu na TAKUKURU!

Kwanza Mbeya haijawahi kuwa na masikini hata 100, lakini Tulia kakusanya mashoga zake 3420 halafu anaidhalilisha Mbeya na kuwaita wazee wasiojiweza ili kutimiza mipango yake ya rushwa! Mbeya sio Dodoma. Tulia endelea kugawa rushwa lakini tafadhali usijaribu kuidhalilisha Mbeya.

Mkoa wa Mbeya haujawahi kuwa na idadi kubwa kiasi hicho ya wasiojiweza, huu ni udhalilishaji na nachukua nafasi hii kuwaomba Wazee wa Mkoa wa Mbeya kumuonya Tulia Ackson kuacha kudhalilisha Mbeya kwa manufaa yake ya kisiasa vinginevyo sisi vijana hatutakubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu maza halijui jimbo la Mbeya mjini....atakipata anachokitafuta.
Ni Mbeya gani hiyo inayo zungumzwa? Mbeya ambayo ninaifahamu-------usistuke kwa sasa wana Mbeya karibu wote wanategemea mabadiliko. Asante.
 
Back
Top Bottom