Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Na huo ukumbi ungetandikwa mabomu hadi uchakaeAngekuwa mpinzani angepewa kesi mbaya kabisa hata isiyokuwa na dhamana ili kumpoteza anyway, ukiona giza linakuwa nene ujue kunakucha
Namhurumia sana !Huyu maza halijui jimbo la Mbeya mjini....atakipata anachokitafuta.
Hakuna mwanaccm mcha MunguDu vyeo hivi ,Mungu haogopwi kabisa Dada Tulia hivi lazima uwe Mbunge kwa kutumia Rushwa? Mwogope Mungu wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishasema huyu hata akifanya kampeni bila dera kwa Mbeya ataangukia pua .Spika wa Bunge mtarajiwa naona anapiga jalamba bila hofu kupitia mbeleko. Ila ninachokijua ni kuwa wana Mbeya wanajielewa, tena sana tu, kwa hiyo ktk jimbo hilu panahitajika kweli uchaguzi utakaokuwa huru na wa haki. La sivyo, kwa jambo lolote lile la kipuuzi, ni kweli patachimbika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana Mbeya mkuu , Mkoa usio na dhiki wala njaa.Hakuna sehemu isiyokuwa na maskini.
Sifungamani na siasa za chama chochote ila ukisema mbeya hakuna masikini Ni uongo uliotukuka.
Ungetafuta namna nyingine ya kujenga hoja yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani Mimi ndiye nikukaribishe WeweKaribu sana Mbeya mkuu , Mkoa usio na dhiki wala njaa.
Swali kuntu Hilo akikujibu nitag.Hivi diamond aliwahi kuwakatia bima wakazi wa tandale pia! Au inakuwa rushwa ikifanywa na mwanasiasa? Najaribu kujiuliza tu lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Nini iwe Jana au juzi isiwe Leo? Msaada huwezi mpangia mtu autoe liniKwa nini leo na sio jana au juzi?
Tulia Ackson ametusaidia wana Mbeya kwa fedha gani? Ametoa wapi hizo fedha za kuwakatia bima hao mnaowaita maskini?Mbeya ni maskini tu hamna lolote mshukuruni hata huyo Tulia anawasaidia
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa nini leo na sio jana au juzi?
Maskini wa sampuli ya omba omba wagogo na wasukuma waliojaa Dodoma, Mwanza, DSM na Tabora nakuhakikishia Mbeya hawapo.Hakuna sehemu isiyokuwa na maskini.
Sifungamani na siasa za chama chochote ila ukisema mbeya hakuna masikini Ni uongo uliotukuka.
Ungetafuta namna nyingine ya kujenga hoja yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini wa sampuli ya omba omba wagogo na wasukuma waliojaa Dodoma, Mwanza, DSM na Tabora nakuhakikishia Mbeya hawapo.
Unaweza anabisha kufurahisha roho yako lakini Mbeya hata Mzee mwenye miaka 80 anajitegemea kwa chakula. Ardhi ya Mbeya ni nzuri na watu wa Mbeya ujasiriamali ni kama itikadi yao, huwezi kukuta vijana wamekaa vijiweni bila kazi. Mwiko, wako proud kwa hilo na wala hawatetereki.
Wanakera na siasa za kijinga.True kuna kipindi inabidi siasa ziwekwe kando maana hata kama anafanya kwa nia mbaya lakini bado kafanya kitu chema. Hao wazee watasaidiwa kupata matibabu ambacho ni kitu kikubwa.
Kuna baadhi ya watu hata vijijini wanapasikia tu na hawajui hawa wazee wanapitia mangapi. Just ignore them