nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,035
Asante Mkuu!Mamako alikuwa wapi miaka hiyo yote? Wana Mbeya si mambumbumbu kama kule kongwa...
Ni kawaida ya wafuasi. Don let them steal your coolWanakera na siasa za kijinga.
Kila mahala Ni kupinga tu Kama Kama mazezeta hivi.
Mimi ninachoshukuru wazee wangu wa mbeya wamepata bima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bima ya afya nayo ni rushwa??😁😁😁Ni vizuri kutunza ushahidi , ili utusaidie kwa siku zijazo Mahakamani.
Tutakapo mfikisha kwa kutuhuma za kugawa rushwa kwa Wananchi.
Akitokea mtu wa upinzani akafanya hivyohivyo alivyofanya huyo mama atatiwa misukosuko ila tulia kwasababu analindwa na dola na CCM hakuna shida halafu rais kila siku anasema anataka Tanzania yenye amani na umoja na isiyo na ubaguzi.Tulisema tangu awali kwamba huyu mama anatumwa na ngazi za juu kuna waliotubishia, sasa mambo ni hadharani.
Amekusanya aliowaita wazee wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenye ukumbi wa Royal Tughimbe eti kwa lengo la kuwalipia bima ya afya! Alikuwa wapi miaka yote kufanya haya? Anagawa rushwa huku anatazamwa tu na TAKUKURU!
Kwanza Mbeya haijawahi kuwa na masikini hata 100, lakini Tulia kakusanya mashoga zake 3420 halafu anaidhalilisha Mbeya na kuwaita wazee wasiojiweza ili kutimiza mipango yake ya rushwa! Mbeya sio Dodoma. Tulia endelea kugawa rushwa lakini tafadhali usijaribu kuidhalilisha Mbeya.
Mkoa wa Mbeya haujawahi kuwa na idadi kubwa kiasi hicho ya wasiojiweza, huu ni udhalilishaji na nachukua nafasi hii kuwaomba Wazee wa Mkoa wa Mbeya kumuonya Tulia Ackson kuacha kudhalilisha Mbeya kwa manufaa yake ya kisiasa vinginevyo sisi vijana hatutakubali.
Tulia Ackson anapata wapi hela za kuhonga ? mshahara wake ni mkubwa kuliko wa Ndugai a Mwanjela ? mbona wao hawahongi ? Tulia anauza nini kinachompatia pesa nyingi za kugawa kila kukicha ? mbona kwao Tukuyu ambako kuna mahitaji kuliko Mbeya Mjini hapeleki ?Kwa Nini iwe Jana au juzi isiwe Leo? Msaada huwezi mpangia mtu autoe lini
Chadema haitathubutu kutoa rushwa kama ifanyavyo ccmulitakiwa ufanye zaidi umshinde.....
Koz sisi tunataka wananchi wafaidike
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia ambaye ni mtumishi wa umma anatoa wapi pesa za kuhonga , pesa za kuharibu uwanja wa sokoine , Pesa za kunyamazisha TAKUKURU ?Hakuna isiyokuwa na uhitaji.
Kama wewe hujawahi kuwaona Basi Ni wewe,ila nakwambia mbeya masikini wapo,wenye uhitaji wa huduma za afya,hasa wazee ni wengi..na Mimi Ni mwana mbeya nimekulia mbeya,nimezaliwa mbeya.
Acheni siasa za kipumbavu basi..yaani mtu kutoa huduma za afya nyie mnaumia Sana!??
Hizo ni roho za kipepo
SI mfuasi wa Tulia lakini katika hili nampongeza kwa kusaidia wazee wangu Mimi Kama mwana mbeya.
Muache tabia ya kuponda kila kitu,upinzani mnafeli hapo na kwa akili hizi za kipumbavu hamji kupata nchi Hadi mmeziacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia ambaye ni mtumishi wa umma anatoa wapi pesa za kuhonga , pesa za kuharibu uwanja wa sokoine , Pesa za kunyamazisha TAKUKURU ?
😆😆😆 nilijua tu utafika ukingoni na utakwama , sasa kwa taarifa yako tunapoandika humu hatutanii na tunafahamu alikotoa hizo hela na lengo lakeKuhusu alikotoa anajua yeye.
Unaniuliza Mimi anakozitoa !?
Mimi nitajuaje mipango yake ya fedha!?
Mimi naongelea swala la wazee wangu wa mbeya kupata bima za afya,
Hizo habari za uwanja wa sokoine pale uhindini Ni habari nyingine tofauti na sizijui.
Sent using Jamii Forums mobile app[/URL
Wapi nilipokwama?[emoji38][emoji38][emoji38] nilijua tu utafika ukingoni na utakwama , sasa kwa taarifa yako tunapoandika humu hatutanii na tunafahamu alikotoa hizo hela na lengo lake
Chalamila anaandaa maandamano mengine ya kumpongeza Magufuli kwa kumteua kuwa RC , je utakuwepo ?Karibu Mbeya. Tupate maendeleo ya kweli sio maandamano kila kukicha tumechoka
Malizia na TAKUKURUWapi nilipokwama?
Mada yako inahusu uwanja wa sokoine au inahusu bima za afya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui Mambo ya takukuru.Malizia na TAKUKURU
Hawajui kwamba huwezi kuwa mbunge Kama Hauna strategic plan nzuri.Nyie semeni anagawa Rushwa. Mwenzenu ndo anajiweka huko. Sugu akishindwa ubunge msishangae. Sugu aanze kutafuta kazi nyingine tu.
Rushwa ishakuwa Strategic plan !Hawajui kwamba huwezi kuwa mbunge Kama Hauna strategic plan nzuri.
Mpumbavu ni wewe uliyeshindwa kuwakatia wazazi wako Bima ya afya mpaka Tulia Acson aje akusaidie. Omba Omba ni wewe tu Saint anne Mbeya nzima.Hakuna isiyokuwa na uhitaji.
Kama wewe hujawahi kuwaona Basi Ni wewe,ila nakwambia mbeya masikini wapo,wenye uhitaji wa huduma za afya,hasa wazee ni wengi..na Mimi Ni mwana mbeya nimekulia mbeya,nimezaliwa mbeya.
Acheni siasa za kipumbavu basi..yaani mtu kutoa huduma za afya nyie mnaumia Sana!??
Hizo ni roho za kipepo
SI mfuasi wa Tulia lakini katika hili nampongeza kwa kusaidia wazee wangu Mimi Kama mwana mbeya.
Muache tabia ya kuponda kila kitu,upinzani mnafeli hapo na kwa akili hizi za kipumbavu hamji kupata nchi Hadi mmeziacha.
Sent using Jamii Forums mobile app