Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wewe unaishi mbeya gani?Mpumbavu ni wewe uliyeshindwa kuwakatia wazazi wako Bima ya afya mpaka Tulia Acson aje akusaidie. Omba Omba ni wewe tu Saint anne Mbeya nzima.
Tunasisitiza Mbeya hakuna maskini labda wahamiaji
Hamna rushwa hapo mkuu,Hiyo ni RUSHWA tu!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hizo ni mgao wake kutoka zile tir 1.50 zilizomuondoa cagPesa zote hizo anatoa wapi....
Hizo fadhila anazirejesha kutoka wapi ?Hamna rushwa hapo mkuu,
Mzawa anarejesha fadhila kwa jamii yake ya Wanambeya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kipato chake ambacho Wanambeya walishiriki kumfanya afike alipo sasa.Hizo fadhila anazirejesha kutoka wapi ?
Jimbo la mbeya mjini hata atambike tulia halipati ngoooo mkitumia nguvu Kama mlivyofanya tukuyu mtaichafu nchi msiweze kuisafisha mbeya sio dodoma aiseeTulia Ackson anapata wapi hela za kuhonga ? mshahara wake ni mkubwa kuliko wa Ndugai a Mwanjela ? mbona wao hawahongi ? Tulia anauza nini kinachompatia pesa nyingi za kugawa kila kukicha ? mbona kwao Tukuyu ambako kuna mahitaji kuliko Mbeya Mjini hapeleki ?
Ukiamua kumuabudu Shetani tambua kwamba Mungu si Athuman
😆😆😆Hiyo bima zitakuwa renewed baada ya uchaguzi?
Nenda ukabadili pad naona umeshapata siku zako, siyo bureWewe unaishi mbeya gani?
Mpumbavu na shetani Ni wewe mwenye roho ya kipepo kuchukia wazee kukatiwa bima.,
Wazee waliokatiwa bima Ni Kama wazazi wangu,hata wewe Ni Kama wazazi wako acha ushetani wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajuaje kupiga ramli!!!Nenda ukabadili pad naona umeshapata siku zako, siyo bure
Sawa kwa maana kuwa hizo za Dr Tulia ndio siasa za ki-PhD.
Mambo mengine unatakiwa kuyatazama kwa level ya juu sana ili kapata maana zake.Kwa Nini iwe Jana au juzi isiwe Leo? Msaada huwezi mpangia mtu autoe lini
Mungu ibariki MbeyaMbeya sio dodoma. Usitegemee ccm ishinde Tena hata kwa kutumia police.
Moto utawaka. Mbeya sio rafiki kwa ccm tangu kuingia kwa vyama vingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulisema tangu awali kwamba huyu mama anatumwa na ngazi za juu kuna waliotubishia, sasa mambo ni hadharani.
Amekusanya aliowaita wazee wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenye ukumbi wa Royal Tughimbe eti kwa lengo la kuwalipia bima ya afya! Alikuwa wapi miaka yote kufanya haya? Anagawa rushwa huku anatazamwa tu na TAKUKURU!
Kwanza Mbeya haijawahi kuwa na masikini hata 100, lakini Tulia kakusanya mashoga zake 3420 halafu anaidhalilisha Mbeya na kuwaita wazee wasiojiweza ili kutimiza mipango yake ya rushwa! Mbeya sio Dodoma. Tulia endelea kugawa rushwa lakini tafadhali usijaribu kuidhalilisha Mbeya.
Mkoa wa Mbeya haujawahi kuwa na idadi kubwa kiasi hicho ya wasiojiweza, huu ni udhalilishaji na nachukua nafasi hii kuwaomba Wazee wa Mkoa wa Mbeya kumuonya Tulia Ackson kuacha kudhalilisha Mbeya kwa manufaa yake ya kisiasa vinginevyo sisi vijana hatutakubali.
Tulisema tangu awali kwamba huyu mama anatumwa na ngazi za juu kuna waliotubishia, sasa mambo ni hadharani.
Amekusanya aliowaita wazee wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenye ukumbi wa Royal Tughimbe eti kwa lengo la kuwalipia bima ya afya! Alikuwa wapi miaka yote kufanya haya? Anagawa rushwa huku anatazamwa tu na TAKUKURU!
Kwanza Mbeya haijawahi kuwa na masikini hata 100, lakini Tulia kakusanya mashoga zake 3420 halafu anaidhalilisha Mbeya na kuwaita wazee wasiojiweza ili kutimiza mipango yake ya rushwa! Mbeya sio Dodoma. Tulia endelea kugawa rushwa lakini tafadhali usijaribu kuidhalilisha Mbeya.
Mkoa wa Mbeya haujawahi kuwa na idadi kubwa kiasi hicho ya wasiojiweza, huu ni udhalilishaji na nachukua nafasi hii kuwaomba Wazee wa Mkoa wa Mbeya kumuonya Tulia Ackson kuacha kudhalilisha Mbeya kwa manufaa yake ya kisiasa vinginevyo sisi vijana hatutakubali.
Ni Mbeya gani hiyo inayo zungumzwa? Mbeya ambayo ninaifahamu-------usistuke kwa sasa wana Mbeya karibu wote wanategemea mabadiliko. Asante.Huyu maza halijui jimbo la Mbeya mjini....atakipata anachokitafuta.