Toa hojaMmmmhhh!
Ya kwako ni yapi?Hayo ni yako!
Majibu katoa rudia kusikilizaKaongea Kwa jasba na kujitetea.
Sijaona jibu la kibabe hapo
Naona dada yangu bado hajazijua global politics vizuri na inabidi aongeze uanadiplomasia zaidi.Wazungu wamchokoza Dk .Tulia awajibu kibabe kwa hoja nzito anastahili kuwa katibu mkuu umoja wa mataifa
Yuko vizuri mno uspika hakuupata kwa bahati mbaya msikilize wazungu walivyompiga maswali na alivyojibu ni kichwa hasa
View: https://youtu.be/VQzcl1p-fkE?si=OL9zbZ5mIIZl5zOT
Tulia English yake imenyooka. Nenda kawasikilize professor Ndalichako na Jenista!Hii lugha bado sana
And and and nyingiiiii
𝔸𝕞𝕖𝕛𝕚𝕓𝕦 𝕧𝕚𝕫𝕦𝕣𝕚 𝕚𝕝𝕒 𝕙𝕒𝕜𝕦𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕟𝕒 𝕙𝕒𝕛𝕒 𝕪𝕒 𝕜𝕦𝕡𝕒𝕟𝕚𝕔Wazungu wamchokoza Dk .Tulia awajibu kibabe kwa hoja nzito anastahili kuwa katibu mkuu umoja wa mataifa
Yuko vizuri mno uspika hakuupata kwa bahati mbaya msikilize wazungu walivyompiga maswali na alivyojibu ni kichwa hasa
View: https://youtu.be/VQzcl1p-fkE?si=OL9zbZ5mIIZl5zOT
katibu mkuu wa familai yenu , not in NYtulia yuko vizuri sana, hopeful atakuwa katibu mkuu UN in future, bravo tulia
Hakuzaliwa uingereza na Wala USA, Lugha mama yake ni Kinyakyusa na kiswahili, kiingereza ni ya darasani hiyo .Acha kubeza Watu.Hii lugha bado sana
And and and nyingiiiii
Nyau anaweze kuwa mjinga ila sii mzee trumpet.Issue ni substance sio lugha, mbona netanyahu au trump wanaongea kiingereza ila wote tunaona ni wajinga tu
Tulia smart sana ila anapanic , siku nyingine atajiandaa zaidi.