Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Hata nyie akina Choice mnaegemea upande wa mabeberu?Basi kumekucha hapo inawezekana macho yenu yameisha usingizi na mmeyaona ya ndani ya bunge lenu.
KInacho kushangaza nini au tumuulize Lucas?
 
tulia yuko vizuri sana, hopeful atakuwa katibu mkuu UN in future, bravo tulia
Katibu mkuu UN hachaguliwi Kama anavyochaguliwa rais wa visiwa vya komoro.
Kule wanapiga kura watu wazima sio watoto wa shule za msingi.
Kule hakuna wizi wa kura.
Kule wanaangalia history ya mtu.
 
Amejibu vizuri sema tone yake unaweza kuonekana amepanic na hapo ni mpaka wale wanaojua kuwa akipanic anaongeaje.
Yote kwa yote amejibu vizuri.
Kama angekuwa anakubalika sana huku nyumbani hii ingekuwa ya kushare sana huko Twitter republic watu wengi waione duniani ingempa credit sana kimtindo
 
Pande zote mbili za wauliza maswali na mtoa majibu zina makosa, wauliza maswali wanauliza as if yeye ndio chanzo au msabishi wa migogoro yani wana hasira ya yeye kwanini kafanya aliyoyafanya na mtoa majibu hakuwa na sababu ya kutanguliza emotions angetuliza hasira na akatoa majibu yake kwa upole kuna part alishindwa hata kupokea maji ili yatulize jazba utulivu huwa unatakiwa unapokuwa na hasira any way kila mtu na his own perspectives.
 
Katibu mkuu UN hachaguliwi Kama anavyochaguliwa rais wa visiwa vya komoro.
Kule wanapiga kura watu wazima sio watoto wa shule za msingi.
Kule hakuna wizi wa kura.
Kule wanaangalia history ya mtu.
Spika wa IPU waliomchagua unadhani walipiga watoto?
 
Naona dada yangu bado hajazijua global politics vizuri na inabidi aongeze uanadiplomasia zaidi.
Hapo, angeweza kurudia majibu aliyokwishatoa bila ku-react namna hiyo, kitu ambacho kinaonesha alikuwa emotional and defensive.
Hakuna ni kuwapotezea watu muda ndio maana ka wa refer majibu ya huko nyuma

Ujue kuna wengine walikuwa wanayajua ya huko nyuma aliyojibu ingekuwa wastage of time.kwa majority wanaojua alichoongea huko nyuma .

Kille sio kikao cha uswahilini unaanza kama nilivyosema juzi narudia tena yote niliyosema watu wengine wangeondoka zao kikaoni
 
Hakuna ni kuwapotezea watu muda ndio maana ka wa refer majibu ya huko nyuma

Ujue kuna wengine walikuwa wanayajua ya huko nyuma aliyojibu ingekuwa wastage of time.kwa majority wanaojua alichoongea huko nyuma .

Kille sio kikao cha uswahilini unaanza kama nilivyosema juzi narudia tena yote niliyosema watu wengine wangeondoka zao kikaoni

..hakutakiwa kuleta hoja ya ukoloni ktk majibu yake.

..waliomuuliza maswali hawakutoka ktk nchi zilizowahi kuwa na makoloni.

..Tulia amezoea u-mungu-mtu katika bunge la Tz, ndio maana huko nje maswali yanampandisha sukari na presha.
 
Amejibu vizuri sema tone yake unaweza kuonekana amepanic na hapo ni mpaka wale wanaojua

Amepanik sana, hata zile tone za kuongea lugha ya kigeni kizunguzungu ilikufa ghafla kwa dakika kibao ikawa kama amuona Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (katika mfano wa mbunge wa Ukraine) pale Mwanjelwa Mbeya au Godbless Lema na Tundu Lissu Dodoma bungeni, ilibakia kidogo tu aongee kilugha lugha mama ya Rungwe Tukuyu au kiSwahili
 
Wazungu watamla kichwa washamjua mtizamo wake..!!
 
Geneva, Switzerland

Bunge moto sana kwa Dr. Tulia Ackson kuliongoza, wajumbe wasusia

Turkish lawmakers, others walk out on Israel at Geneva meeting​


View: https://m.youtube.com/shorts/TbiigMAqMJQ
A group of lawmakers, including members of the Turkish Parliament, walked out of the 149th General Assembly of the Inter-Parliamentary Union (IPU) in Geneva, Switzerland, in protest of the Israeli delegation’s participation.

Tensions rose during Tuesday's session, chaired by IPU President Tulia Ackson, as emergency proposals were discussed.

The situation escalated when an Israeli official took the floor to speak.

In response, representatives from many countries banged their tables in protest and then walked out of the assembly hall.


Turkish MPs attending the session also joined the protest.

They exited the hall in solidarity with other delegates, chanting "Freedom for Palestine" as they left.

After the Israeli official's speech, the protesting representatives returned to the hall to resume the session.

Israel has mounted a huge air campaign in Lebanon against what it claims are Hezbollah targets since Sept. 23, killing more than 1,500 people and displacing more than a million people.

The aerial campaign is an escalation from a year of cross-border warfare between Israel and Hezbollah since the start of its genocidal offensive on the Gaza Strip, in which Israel has killed nearly 42,400 people, most of them women and children, since a Hamas attack last year.

It expanded the conflict on Oct. 1 by launching an incursion into southern Lebanon.

Israel’s brutal war has drawn international outrage and condemnation, but Israeli officials, including Prime Minister Benjamin Netanyahu, have been platformed in international organizations like IPU and the U.N.

At last month’s U.N. General Assembly, Türkiye’s delegation was again among many nations who walked out in protest when Netanyahu addressed the floor.

In his speech, Netanyahu, for whom International Criminal Court (ICC) Prosecutor Karim Khan is seeking an arrest warrant for alleged war crimes, held a map showing the West Bank, internationally recognized as Palestinian territory, as "Israeli" land.

President Recep Tayyip Erdoğan himself had slammed the U.N. for a "criminal" like Netanyahu to address the global body's general assembly.

Türkiye strongly supports a two-state solution to the Palestinian-Israeli conflict, including the establishment of an independent and sovereign Palestinian state based on the 1967 borders, with East Jerusalem as its capital.
 
Geneva, Switzerland

WATURUKI WALETA TAHARUKI BUNGE
Mkutano wa Mabunge ya Dunia nchini Switzerland, wajumbe kadhaa watumia haki yao kupiga kelele na kususia kwa muda


View: https://m.youtube.com/shorts/7hrJnuKut-g
Kundi la wabunge, wakiwemo wabunge wa Bunge la Uturuki, walitoka nje ya Mkutano Mkuu wa 149 wa Muungano wa Mabunge ya Umoja wa Mabunge (IPU) mjini Geneva, Uswisi, kupinga ushiriki wa wajumbe wa Israel.

Mvutano uliibuka wakati wa kikao cha Jumanne, kilichoongozwa na Rais wa IPU Tulia Ackson, wakati mapendekezo ya dharura yalipojadiliwa.

Hali iliongezeka wakati afisa wa Israel aliposimama kuzungumza.

Kwa kujibu, wawakilishi kutoka nchi nyingi waligonga meza zao kwa maandamano na kisha wakatoka nje ya jumba la kusanyiko..
 
My Take
Kuwa tempared na Unaongea kizungu hakuleti ukakasi kama kwa Kiswahili.

Tulia ajifunze kuzuia hasira zake vinginevyo atakuja kupayuka kubwa kuliko 🤣🤣🤣🤣
Ipo siku watamuuliza yanayoendelea Tanzanie.
 
Sijaona cha ajabu alicho fanya Rango .zaid ni kapanic tu .inabidi hawa watu wajue sio kila sehemu ina nyumbu kama pale bungeni ..ila pongezi kwake sipati picha angekuwa chura kiziwi nahisi mkojo ungeshuka
 

Attachments

  • Screenshot_20241016_135043_Google.jpg
    Screenshot_20241016_135043_Google.jpg
    170.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom