Sikapendi yani ningekuwa mbunge ningekapiga mpaka kakome kufanana na ngedere
Hah hah mchezo huu wa siasa hauhitaji hasira, ni ushwawishi na nguvu ya hoja.
Huyo kama CHADEMA ikichukua dola na uongozi wa nchi utashangaa mabadiliko ya Dr. Tulia Ackson, ni chama dola kongwe ndiyo kimemuharibu kwa kumkinga na dunia halisi kiasi akiingia katika dunia nyingine kama hii ya Bunge la IPU ana panick.
Kama 2019 na 2020 kungekuwa hakuna uchafuzi bunge na vikao vya diwani vingekuwa na CHADEMA wengi hata ulaya asingepaniki.
Ile wingi wa CHADEMA katika bunge na vikao vya maamuzi ni shule tosha kwa wanaCCM, tatizo miaka 8 tangu 2016 waliondoa upinzani wakabweteka kuwa unanijua mimi ni chama tawala, mimi mbunge wa CCM, mimi nipo kwenye kamati ya ulinzi ya Mkoa / wilaya, mimi M-NEC mjumbe wa Halmashauri kuu wa chama dola kongwe n.k Bila kutikiswa na upinzani unakuwa ktk dunia isiyo halisia.
Somo zuri kwa viongozi wote wa CCM kuwa pekee yenu katika ngazi za maamuzi, ona sasa mnaaibika kimataifa.