Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Sikapendi yani ningekuwa mbunge ningekapiga mpaka kakome kufanana na ngedere

Hah hah mchezo huu wa siasa hauhitaji hasira, ni ushwawishi na nguvu ya hoja.

Huyo kama CHADEMA ikichukua dola na uongozi wa nchi utashangaa mabadiliko ya Dr. Tulia Ackson, ni chama dola kongwe ndiyo kimemuharibu kwa kumkinga na dunia halisi kiasi akiingia katika dunia nyingine kama hii ya Bunge la IPU ana panick.

Kama 2019 na 2020 kungekuwa hakuna uchafuzi bunge na vikao vya diwani vingekuwa na CHADEMA wengi hata ulaya asingepaniki.

Ile wingi wa CHADEMA katika bunge na vikao vya maamuzi ni shule tosha kwa wanaCCM, tatizo miaka 8 tangu 2016 waliondoa upinzani wakabweteka kuwa unanijua mimi ni chama tawala, mimi mbunge wa CCM, mimi nipo kwenye kamati ya ulinzi ya Mkoa / wilaya, mimi M-NEC mjumbe wa Halmashauri kuu wa chama dola kongwe n.k Bila kutikiswa na upinzani unakuwa ktk dunia isiyo halisia.

Somo zuri kwa viongozi wote wa CCM kuwa pekee yenu katika ngazi za maamuzi, ona sasa mnaaibika kimataifa.
 
Endelea kumpotosha. Atafanywa na ku...rwa.
Hivyo vikao vya kimataifa usipokuwa jasiri huwezi ongea

Miafirika mingi mioga ikifika hata forum za kimataifa hata semina tu mwafrika kama wewe akikutana na wazungu kuongea shida

Na hii imeshasemwa sana hata na wazungu wenyewe kuwa waafrika huwa kinywa sana vikao vyenye wazungu wengi

Nimpongeze tena vizuri sana Tulia kwa kutuwakilisha vizuri boldly na proffesionally keep it up

Dunia pia ingependa kusikia mawazo ya waafrika na misimamo yao bold kwenye issue serious sio tu yes yes mzungu na bendera fuata upepo za ohh kama alivyosema mzungu nakubaliana nalo
 
 

Attachments

  • WAZUNGU WAMCHOKOZA DKT. TULIA, AWAPIGA ZA USO UKUMBI WALINDIMA.mp4
    63.8 MB
Safi sana kwa uchambuzi yakinifu
 
aliulizwa maswali alipaswa ajibu maswali na sio kutaka kujitetea kwasababu ametoka Africa, wauliza maswali wanataka majibu, angeishia kujibu technically na sio kuonyesha udhaifu na mipasho waliozoe kuwapa CDM.

Nafasi ni kubwa kuliko yeye.
 
Toka akiwa mwalimu wangu wa Sheria, na hadi sasa, ninaukubali uwezo wake wa kujieleza na kuzungumza Kiingereza kwa umahiri kabisa.

Hongera sana (Mwaisa) Tulia Ackson Mwansasu (LL.B., LL.M., PhD)

Duh kingereza gani hapo tena Mzee, mbona cha kawaida sana ambacho sidhani kama kinalingana hata na ukubwa wa hiyo position.
 
KIBURI, amezoea kuwafokea CHADEMA, hao ni magharibi mkuu.. subiri soon atapigwa pini.
 
watanzania acheni chuki zenu mbona kajieleza vizuri sana huyu dada yuko vizuri sana aisee
Kujieleza vizuri ni kitu kimoja...

Lakini logic ya maelezo yake na tendo alilofanya vinakuwa under scrutiny...

Asifikiri kuwa na huko anaongoza bunge la Dodoma la kina Msukuma au Kibajaji...
 
My Take
Kuwa tempared na Unaongea kizungu hakuleti ukakasi kama kwa Kiswahili.

Tulia ajifunze kuzuia hasira zake vinginevyo atakuja kupayuka kubwa kuliko 🤣🤣🤣🤣
Bila kutumia tone hiyo, hao wajumbe wange mpanda kichwani! Wakati mwingine watachuja maneno ya kutumia wakati wa kuuliza maswali!
 
Kaswali kamoja tuu kamemchanganya nusura apigine na meza😂
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…