Tulia Ackson: Gazeti la mwananchi, JamiiForums tunawategemea kuwapelekea taarifa sahihi, tusipeleke za upotoshaji

Tulia Ackson: Gazeti la mwananchi, JamiiForums tunawategemea kuwapelekea taarifa sahihi, tusipeleke za upotoshaji

Jukwaa liitwe BUNGENI LEO ama BUNGE LETU halafu kuwe na sub-caption ya mikutano mbali mbali
Mkuu huwa ninakuheshimu sana na naendelea kufanya hivyo ijapo naomba niweke maoni kinzani juu ya ombi lako. JF imefahamika zaidi ikiwa JF.

Ikija kuwa BUNGE SIJUI NINININININIII,tena BUNGE ambalo haliko chini ya SAMUEL,hapo wengii tutadhani kuwa kiongozi wa Bunge ndiye anayeliongoza jukwaa hili pia.

Wapiga sarakasi BUNGENI waje wapigie sarakasi zao na huku na baadae wanachukua kodi zetu?
 
Mkuu huwa ninakuheshimu sana na naendelea kufanya hivyo ijapo naomba niweke maoni kinzani juu ya ombi lako. JF imefahamika zaidi ikiwa JF.

Ikija kuwa BUNGE SIJUI NINININININIII,tena BUNGE ambalo haliko chini ya SAMUEL,hapo wengii tutadhani kuwa kiongozi wa Bunge ndiye anayeliongoza jukwaa hili pia.

Wapiga sarakasi BUNGENI waje wapigie sarakasi zao na huku na baadae wanachukua kodi zetu?
Asante sana kwa heshima ila maono yangu si kwa muktadha huo.. Ni BUNGENI LEO ama BUNGE LETU la muktadha wa JF .. Yaani kwa siku husika kitakachojadiliwa kule kitaletwa hapa kwa
Kipongezwe
Kikosolewe
Kisifiwe
Kijadiliwe
Kipate maoni
Kipate ushauri nknk
 
Asante sana kwa heshima ila maono yangu si kwa muktadha huo.. Ni BUNGENI LEO ama BUNGE LETU la muktadha wa JF .. Yaani kwa siku husika kitakachojadiliwa kule kitaletwa hapa kwa
Kipongezwe
Kikosolewe
Kisifiwe
Kijadiliwe
Kipate maoni
Kipate ushauri nknk
Vema mkuu.
Nilielewa vibaya.
Nilidhani ulitaka jina libadilishwe.
Kumbe segment.
Pa1.
 
Twende polepole wajameni. Dr Tulia kalalamika upotoshaji huku nyie mnajipiga kifua kuwa kumbe mnajulikana kwa wakubwa! Ndiyo hao kina mbowe walikuwa wanajisifia kuitwa na Kikwete kula futari Ikulu. Jibuni swali, lakini niwasaodie kwa kusema kuwa ukiwa mkubwa na mambo yako yawe ya kikubwa, sasa muachane na danganyatoto ya tumehuru, semeni CHADEMA walishindwa fair and square na sababu kuu ni matusi ya mgombea wao.

Uzi wa JF, lakini unaitaja CHADEMA.
 
Jukwaa liitwe BUNGENI LEO ama BUNGE LETU halafu kuwe na sub-caption ya mikutano mbali mbali
asante mkuu
hili litakuwa kwaajili yetu wanajamii forums
na sisi tupate nafasi ya kuchangia mada zinazoendelea bungeni

Naamini viongozi watapata mengi zaidi kutoka kwetu kupitia jukwaa hilo
 
Asante sana kwa heshima ila maono yangu si kwa muktadha huo.. Ni BUNGENI LEO ama BUNGE LETU la muktadha wa JF .. Yaani kwa siku husika kitakachojadiliwa kule kitaletwa hapa kwa
Kipongezwe
Kikosolewe
Kisifiwe
Kijadiliwe
Kipate maoni
Kipate ushauri nknk
Maelezo mazuri sana

Na hayo ndio yanafaa kuwa agenda kuu katika jukwaa la BUNGE LETU
 
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameongelea vyombo vya habari na kuwaomba waandishi hawapendezwi na habari za upotoshaji kuhusu Bunge kwasababu liko wazi.

Tulia kasema wanawategemea Mwananchi, JamiiForums kuwapelekea wananchi taarifa sahihi na si za upotoshaji, amesema haipendezi hasa kama waandishi hawajanyimwa taarifa.

Atuache na JF yetu hatutaandika habari za kumbembeleza mtu hapa wachape kazi.
 
asante mkuu
hili litakuwa kwaajili yetu wanajamii forums
na sisi tupate nafasi ya kuchangia mada zinazoendelea bungeni

Naamini viongozi watapata mengi zaidi kutoka kwetu kupitia jukwaa hilo
[emoji817][emoji818][emoji1752][emoji1545][emoji1548]
 
Tu
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameongelea vyombo vya habari na kuwaomba waandishi hawapendezwi na habari za upotoshaji kuhusu Bunge kwasababu liko wazi.

Tulia kasema wanawategemea Mwananchi, JamiiForums kuwapelekea wananchi taarifa sahihi na si za upotoshaji, amesema haipendezi hasa kama waandishi hawajanyimwa taarifa.

Serekali inabagua watu kwavipato vyao mfano sisi wavuvi. Kata yakalya kijiji kashagulu tulifanyiwa unyama sana hadi Leo malizetu serekali wanazo wanatuambia tukazikomboe kwao naunapewa risiti yakitabu kwawale walio Fanya hivyo yaani kukomboa bayazaidi kwenye machine yakusoza mtumbwi unakuta vipuri vimeibwa unakomboa jumba bila kujuwq lakini tunashangazwa kama uvuvi wetu niharam unapewa leseni?je azabu yamtu ambae anafanya kinyume nataratibu nikuteka Mali zake na ajekuzikomboa? Lakini kwanini wengine wamerudishiwa malizao kama mapesa yaliokuwa yametekwa huko kwenye mabenk lakini sisi wapi
 
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameongelea vyombo vya habari na kuwaomba waandishi hawapendezwi na habari za upotoshaji kuhusu Bunge kwasababu liko wazi.

Tulia kasema wanawategemea Mwananchi, JamiiForums kuwapelekea wananchi taarifa sahihi na si za upotoshaji, amesema haipendezi hasa kama waandishi hawajanyimwa taarifa.

Niliamini siku mama Samia alivyosema anasomaga jf alafu anacheka ndiyo nikajua kuwa jf tuko juu
 
Wanabodi,

Hii ni Breaking News kutoka Bungeni Dodoma!. Baada ya Rais Samia kusema huwa anaingiaga JF, kutusoma na kubaki akicheka. Leo kwa mara ya kwanza mtandao numero Uno Tanzania, Jamiiforums, leo imetajwa rasmi Bungeni na Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson " Vyombo vya Habari Mwananchi na Jamiiforums, Tunawategemea" Kutusaidia Kuihabarisha Jamii taarifa sahihi za Bunge"

clip kwa hisani ya Mkuu Replica

Mimi ni member wa JF kwa muda wa miaka 15 sasa, if imekuwa ikifanya mengi makubwa mazuri kuisaidia serikali na viongozi wake but was barely or hardly recognised, hivyo hii mention ya Spika, it's good kwa JF.

Sisi members wa jf tuwe makini zaidi, kama Mkuu wa Mhimili Mkuu, Rais wa JMT amesema anasoma JF, leo Mkuu wa Mhimili wa Bunge ametutaja, bado Mkuu wa Mhimili mmoja tuu wa Mahakama, of which its just a matter of time.

Mimi kwa niaba yangu binafsi kama mwana JF, nakiri kuwa niko very proud to be a JF member.View attachment 2576131

View attachment 2576132View attachment 2576133
Nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu Maxence Melo na timu yake ya JF kwa kazi kubwa na mzuri ya uhabarishwaji wa jamii, upashanaji habari, na kutupatia fursa adhimu na adimu ya kutupatia mawanda ya freedom of speech and expression kwa sisi members.

Pia natoa shukrani zangu kwa JF kutu recognizes baadhi yetu na kutupatia zawadi na bahasha nene ya chochote kitu!.

Thanks JF,
God Bless Mkuu Maxence Melo
God Bless JF Staff
God Bless JF Members
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Hongera sana Mzee Pascal Mayalla kwa kuibuka mshindi.
 
Wanabodi,

Hii ni Breaking News kutoka Bungeni Dodoma!. Baada ya Rais Samia kusema huwa anaingiaga JF, kutusoma na kubaki akicheka. Leo kwa mara ya kwanza mtandao numero Uno Tanzania, Jamiiforums, leo imetajwa rasmi Bungeni na Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson " Vyombo vya Habari Mwananchi na Jamiiforums, Tunawategemea" Kutusaidia Kuihabarisha Jamii

Paskali
Angejua tulivyolipuuza bunge kibogoyo la majizi ya kura ni bora angekaa kimya tu. Hilo ni bunge fuata upepo wa atakacho rais. Inshort bunge halina mvuto kabisa, kiasi kwamba hatufuatilii habari za ukweli ama upotoshaji.
 
Back
Top Bottom