troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,551
- 2,573
Hizohizo mkishinda zinatenda haki,mkishindwa hazifai, hopeless kabisa weweWaende mahakama zipi, hizi hizi zinazoendesha kesi ya Covid 19 mwaka wa pili huu? Kenya hapo kulikuwa na kesi ya uchaguzi nafasi ya urais imeisha ndani ya muda mfupi, iweje hii ya Covid 19 ichukue zaidi ya mwaka?!