The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Binti acha kurukia life style za watu,acha kupangia watu maisha,Bila shaka wewe ndio Tulia, ujumbe umefika
Hatuwezi kumpangia mtu Cha kufanya.Ukisha kuwa kiongozi mkubwa, kuna mambo hata unayspenda vp ,inatakiwa uwache mkuu, vp ukiona waziri mkuu anaenda disco?
Ukisha kuwa kiongozi mkubwa, lazima uche maisha binafsi
Unfortunately kwa Tanzania facebook ndo ina watu wengi. I hope you can relate!Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kuna yule pia ambaye nywele zake nyeusi wakati wote, anapata wapi muda wa kutengeneza nywele mpaka zinakuwa nyeusi wakati nchi Ina changamoto nyingi sana!!Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Screenshot evidenceJamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Anajifanya bado ni kijana.Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Utoto una ukomo wake! Tabia za kujipost FB ni utotoTunasahau Nae ni Binadamu nae ana Mambo yake anapenda Ile ni account Binafsi na nadhani Posts za Pale ni her own View, Sasa who are you to Judge her aisee?
Let her live
Ukiona hivyo, jua kuna tatizo katika ndoa yake!Tulia Jackson amekaa kilimbukeni sana.
Anajipost hovyo hovyo na vijinyimbo vya ajabu
Account yake kabisa mkuu au hizi account/ page za machawa?
Wivu ukimzidia mtu anaweza akapumbazwa na kupost hisia zaidi kuliko uhalisia.Huyo ana ulimbukeni nashibdwa kujua huko Duniani walimhagua vipi? Kwa Tanzania sina haja ya kuuliza make inajulikana