Uchaguzi 2020 Tulia uliambiwa hukusikia, ukalazimisha kugombea Mbeya

H
Huyo mkurugenzi akipindua matokeo basi ahakikishe kaondoka dakika hiyo hiyo la sivyo ataenda kumsalimia Kandoro!

Mbeya hatupo tayari kucheka na makima
Hata Tulia mwenyewe hawezi kutawala sehemu ambayo hawakutaki
 
Kuna uzi wangu wa "DR TULIA ACKSON ALIKWINA , japo Moderator waliuhujumu , kila kitu kimo kwenye uzi ule
 
SUGU HAWEZI SHINDA MBEYA DHIDI YA TULIA ACKSON.MARK MY WORDS. AKISHINDA SUGU NIPIGWE BAN.

 
Kwa hiyo hapo tu ndo sugu kashinda?
Bangi sio kitu kizuri
 
Hich
Hicho kipicha hakina lolote!! Wakipewa t-shirt na kapelo wanavaa. Wakipewa mikopo wanachukua, lakini miouo yao iko na Sugu tu!!
Okay tarehe 28/10/2020 si mbali bado siku 43!
 
Hich
Hicho kipicha hakina lolote!! Wakipewa t-shirt na kapelo wanavaa. Wakipewa mikopo wanachukua, lakini miouo yao iko na Sugu tu!!
Your browser is not able to display this video.
 
Kabisa,nafuu ya Tulia ni Goli la Mkono
 
Subiria matokeo ya mkurugenzi wa jiji.
Mwambieni kuwa makaburu wa Afrika kusini waliijenga S.A kama ULAYA, lakini haikuwafanya "WASAUZI" wawapende makaburu kwa UKATILI wao.

Mnamo mwaka 1994 makaburu waliondolewa madarakani, kwahiyo TUDARAJA 'twake' tusimpe uhalali wa kulazimisha KUTAWALA watu kwa MKONO WA CHUMA.
 
Maskini Betina mtamuua kwa presha ? Kabla hata ya pambano lake na Zena .
 
Tulia hawezi kushinda kwa kura, ila anaweza kutangazwa kuwa mshindi kwa maelekezo toka juu
 
Nyie mbuzi mnakuaga na nguvu mkiwa nyuma ya keyboard sana
 
Let them reap what they saw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…