Uchaguzi 2020 Tulia uliambiwa hukusikia, ukalazimisha kugombea Mbeya

most of the voters in Tanzania are undecided voters, subiri siku ya kura kuhesabiwa na matokeo kutangazwa hii misafara isikuyumbishe. TRUMP alishinda uchaguzi lakini mwanzoni ilikuwaje?
 
Pale utakapoona Tulia katangazwa kashinda 90% ndio utajua Meko kaamua kujimilikisha bunge [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Masikini dada wa watu amesukumiziwa kwenye kina kirefu chenye mamba wakali.

Tulia alipaswa kugombea huko Dodoma kwa wala viwavi jeshi ndiyo kuna misukule ya kuwaburuza ila sio Mbeya.
 
Tulia kaandaliwa fungu ili hata akishindwa kuna faulo ichezae ili aonekane ni mshindi kwa kukubarika kwa rushwa zake kupitia TULIA TRUST FUNDS
 
Hiyo number 4 ni mwiba
 

Vipi jeshi la polisi linasemaje kuhusu hali hiyo?
Hawajasema ni maandamano yasiyo na kibali?
 
Tulia kaandaliwa fungu ili hata akishindwa kuna faulo ichezae ili aonekane ni mshindi kwa kukubarika kwa rushwa zake kupitia TULIA TRUST FUNDS
Si umesikia kuwa hata wale aliowakopesha boda boda na bajaj kupitia Tulia Trust Fund wanapeperusha bendera za CDM!! Imemuuzi kaamua kuwanyang'anya
 
Tatizo si Sugu kushinda Tatizo KUpinduliwa kwa matokeo
 
Tatizo si Sugu kushinda Tatizo KUpinduliwa kwa matokeo
 
Tatizo si Sugu kushinda Tatizo KUpinduliwa kwa matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…