Tulia wewe ni Spika wa Bunge au ni Spika wa Serikali?

kwakweli uyu ni chawa mjinga
 
Hv kwa kuonekano tu huyu mtu s wakala wa shetani
 
shida yenu hamsomi majukumu ya spika,ni kuja hapa na kuporomosha lawama tu,acheni ujinga soma majukumu ya spika ni yepi
 
shida yenu hamsomi majukumu ya spika,ni kuja hapa na kuporomosha lawama tu,acheni ujinga soma majukumu ya spika ni yepi
Majukumu yake ni kuzuia mjadala moto ambayo wananchi wanataka majibu ya kujitosheleza ?!!

Spika ni mtu "serious," aendelee kuwa serious kumzuia mbunge asiongelee Yanga SC siku itakaposhinda ubingwa wa afrika...
 
Dah ila mwendazake alijichagulia aisee siyo kwa roho mbaya hii huyo mwanamke
 
Tangu tupate uhuru wa Tanganyika, so far hakuna Spika aliyefikia kiwango cha Mh Dkt, Advocate Tulia.
 
Utaahira wako ni wa kupita viwango vya kawaida! Unawezaje kuwa mtumwa wa fikra kiasi hicho! Ile PhD ya shetani Tulia unaiona ni kila kitu! Tulia huyu huyu muuaji ndiye reference yako ya usahihi wa mambo!

Ficha ujinga wako, mshenzi mkubwa!
Kama ile PHD sio lolote nenda wewe ukawe spika, povu linakumwagika ukiwa wapi?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…