Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

9F20E5B4-0765-4186-94B7-CFA8DEB873AE.jpeg
 
Acha wivu wewe dada.

Sisi ndiyo tumeamua kuwachangia kwa ridhaa yetu.
Hahahah najua lazima ukiona post yangu uje kwa kasi kujibu mkataze bi mkubwa wako mie tafanyaje wakati yeye anataka unaona wivu nini.
 
Hapo imeandikwa malipo au? Kuweni na akili nyie wezi toka Ccm. Tangu lini support ikawa payment?? Mmezowea kukariri
Sijakuelewa unapinga hamna michango au?
 
Mbowe hana taarifa kabisa juu ya hili..
 
Back
Top Bottom