Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

View attachment 2104749
Sheria za nchi zinatambua Wakili ni mlipa Kodi anaposimamia kesi anatakiwa kuilipa Serikali wanaweza wasichaji gharama halisi za uwakili maana na wao ni wanachama wa Chadema lkn lazima walipwe
 
Back
Top Bottom