Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

View attachment 2104749
Mmmmm, jamani hata pesa ya mafuta msichangie. Yaano bure imetawala mioyoni mwa watanzania mpaka kechefu chefu.

Neno Tunalolipenda ni "BURE", Ndio maana mama kawakatalia kuingiza umeme kwa kulipia umeme 27 elfu wakati umejenga nyumba ya 40 milioni- Ni lazima mlipe laki 3.

Changieni, changieni, changieni- Kelel za upinzani ndio zilizowaamsha CCM na angalau kuanza kujikongoja na kuzungumzia mambo ya msingi badala ya kuleta cheap politics. Tunahitaji upinzani hata tukipata wabunge 40 tu wanatosha. Kumbuka mbunge mmoja wa upinzani ni sawa na wabunge 30 CCM. Changia, changia kuomyesha umaja wetu.
 
Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

View attachment 2104749
Lema kaishiwa huko ulaya, anataka Hela, yaani Hela haijulikani nani anapokea,nani anaitoa, na kamati ya matumizi ni akina nani
 
Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

View attachment 2104749
Acha ufala kwani umelazimishwa kuchanga

Hela yako we nenda ukahonge wale wamama wenu kule lumumba halafu sisi tuache tuchange kwa hiari
 
Duh, safi sana! Wanadhani kuwa wafanyavyo ndio ku discourage watu kuchangia kumbe ndio wanasambaza habari zaidi kwa watu wema.
Kuna wanaccm kadhaa nimewajua na wamechangia.
Mmh hii michango Sasa naona siasa zimeanza, Wana CCM kumbe nao wanachanga!
Sasa msijejisifu kwamba Chadema mmechanga, ni chadema na CCM.
 
Kuna watu wanajua kupiga hela za wanachadema acha kabisa!

Hapo kuna mtu kachungulia kaona kuna fursa.
 
Lema kaishiwa huko ulaya, anataka Hela, yaani Hela haijulikani nani anapokea,nani anaitoa, na kamati ya matumizi ni akina nani
Kuna mwenye saccos na Wana saccos.
Sasa Hawa jamaa kazi wanayoweza ni kuvuka mtoni kwa makundi alimradi mmoja kajitosa Basi wote hufuata mkumbo.
 
Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

View attachment 2104749
wapi umeona au kuwasikia mawakili wasomi wanaomba pesa? hebu acha kujizeesha we mama...
 
Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

View attachment 2104749
Unadhani wao na familia zao wataishi vipi. Wanaweza kuwa wanajitolea kumtetea bila gharama, lakni bdo wanatakiwa kulipa kodi za pango la ofisi na vile vile kutunza familia zao. Ngoja niangalie udhibiti wa matumizi ya michango hiyo nitawatumia $50,000, ili waendehse kesi kwa uwezo wao wote kusudi kesi yote isikilizwe kikamilifu bila mawakili kuwa na msongo wa mawazo kuhusu familia zao.
 
hata kama unajitolea - je huli ama huhitaji mahitaji muhimu ya kibinadamu ? (basic needs).
 
Wanaukumbi,

Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.

View attachment 2104749
Pilipili iliyo shamba inakuwashia Nini?
Kwani umeombwa uchange?
Stick to your lane.
 
Kuwachangia mawakili sio kosa Ila kunawatu wanatafuta shali kwa chama husika,kwani muuliza swali zinamuhusu Nini hizo pesa hata Kama zinapigwa Nani kamuomba achangie mawakili wa kumtetea m/kiti wetu?tuache unafiki wa kuchokonoa yaliyopo ndani chama.
 
Back
Top Bottom