MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Acha wivu. Wakijitolea hawahitaji kula?Wanaukumbi.
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749