Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #41
Mawakili hawalipwi na funds za kutoka EU? Hebu kwanza tuelezane. Tujue kama David McAllister na CDU & EPP wana habari za mchango huuKwani wanaoitwa wafanyakazi wa kujitolea kwenye taasisi mbalimbali hawana chochote wanachopata? Acha nongwa, ukiweza changia ukishindwa lala mbele. Usifanye watu wakaanza kuhoji afya yako ya akili.