MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Acha wivu. Wakijitolea hawahitaji kula?Wanaukumbi.
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Au hujasikia mawakili wa serikali na jaji mamilion ya shiling ya walipa kodi wanayolipwa ndio maana hawataki hii kesi iishe.Wanaukumbi.
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Kesi inateketeza mamilioni huku hangaya akihangaika na vibesidei uchwaraAu hujasikia mawakili wa serikali na jaji mamilion ya shiling ya walipa kodi wanayolipwa ndio maana hawataki hii kesi iishe.
Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
Nione haya kwa nini. Mtu akijitolea anapewa hata hela ya sabuni bhana. Walioambiwa wale urefu wa kamba na Hangaya hamuwaoni?Wewe utakuwa ndie mchangishaji hata haya huna
Umejuaje hana taarifa?!Mbowe hana taarifa kabisa juu ya hili..
Inamuuma sana mkiwachangiaAcha wivu wewe dada.
Sisi ndiyo tumeamua kuwachangia kwa ridhaa yetu.
Stupid , kwani hawali? Hawahitaji petrol, hawahitaji other necessary life amenities to attend court sessions. Think big!Wanaukumbi.
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Kiherehere tu! UfisiCCM umekujaa tu!Wanaukumbi.
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Wote walewale tu. Ni sawa na wale waliomleta "mtu hatari kwa taifa" kuwa Mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu.Mmmmm upigaji pesa mwingine huo
Jibu hoja ya mleta mada
Hata kwa kujitolea kunakuwa bado kuna gharama ambazo zinakuwepo.Wanaukumbi.
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Mtu hatari kadhibitiwa kwa cheo.Wote walewale tu. Ni sawa na wale waliomleta "mtu hatari kwa taifa" kuwa Mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu.
Muasili haachi asili. Sasa ndio atawajua ndani nje na hapo hatari yake inaongezeka na atafanya hata bila kushtukiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu hatari kadhibitiwa kwa cheo.
Kwani wanaoitwa wafanyakazi wa kujitolea kwenye taasisi mbalimbali hawana chochote wanachopata? Acha nongwa, ukiweza changia ukishindwa lala mbele. Usifanye watu wakaanza kuhoji afya yako ya akili.Wanaukumbi,
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Achana nao, Hata hospitali damu huchangiwa bure na wasamalia wema. Anapohudumiwa mgonjwa huwa tunalipia.Tutachangia hata kama zinaliwa ziliwe tu.
Haujaambiwa uchangie nyie ukoo wa Panya....Kama hautaki hacha, Hela zako kawape wakina Kingai wamtemegezee Mrema kesi za ugaidi zingine.WANATAKA KUTUPIGA HAWA WAPIGAJI,
Haya kachangieni Gofundme.
KUSIPOKUWA NA KESI MAWAKILI WATAKULA WAPI?,KILA JAMBO NI FURSA KWA UPANDE MWINGINE.Kesi inateketeza mamilioni huku hangaya akihangaika na vibesidei uchwara