Tuliambiwa mchina anaenda kumpiku Marcedes Benz

Tuliambiwa mchina anaenda kumpiku Marcedes Benz

Nimeikuta facebook baada ya jamaa kununua gari la kichina kwa wakala huko sauzi
Hakuchukua muda mrefu
Chuma inayoshikilia tairi limekatika
Hakuna nchi itayomzidi maendeleo na technologia mzungu. Mzungu ukiwa mpambanaji na akili anakupa haki yako. Lakini Uchina,Uhindi na Uarabuni. Kama sio mwenzao na sio wa tabaka fulani hawawezi kuruhusu uishi kama wao. Na cha kuongeza wanabaguana wao kwa wao sembuse mgeni ? Wakina Dewji wenyewe walikimbia Gujirati maana waislamu wa Gujirati walikuwa wanabaguliwa.
 
Ni kweli nimeyaona mabasi ya mchina UK ila sio mengi lakini yapo
Ila gari ndogo bado
Umetembelea UK tu? Ukitembelea na nchi nyingine za Ulaya ungejionea. Tembelea the Nerthelands, Norway, Denmark, Sweden n.k

Gari ndogo wanambania Mchina wanaweka trade barriers kulinda viwanda vyao vya ndani

Licha ya yote hayo tayari gari ndogo za China zimeanza kuuzwa Ulaya kuna brands 7 za Kichina

Ila ndio ameshaingia mfano BYD kwa kujenga kiwanda Hungary
 
Nimeikuta facebook baada ya jamaa kununua gari la kichina kwa wakala huko sauzi
Hakuchukua muda mrefu
Chuma inayoshikilia tairi limekatika
Nmeona haya mambo hata xiomi nmeona gari zao zina tatizo ya vyuma kukatika. Ila ndio hivyo bado wanaendelea kupunguza mauzo ya western car manufacturers
 
Nmeona haya mambo hata xiomi nmeona gari zao zina tatizo ya vyuma kukatika. Ila ndio hivyo bado wanaendelea kupunguza mauzo ya western car manufacturers
Wanapunguza mauzo kwa wanatengeza magari yanayofanania na west halafu wanapunguza bei ili kuharibu biashara za watu
Wakipata hasara serikali ya china inawapiga jeki kwa kuuza magari yasiyo na ubora
 
Umetembelea UK tu? Ukitembelea na nchi nyingine za Ulaya ungejionea. Tembelea the Nerthelands, Norway, Denmark, Sweden n.k

Gari ndogo wanambania Mchina wanaweka trade barriers kulinda viwanda vyao vya ndani

Licha ya yote hayo tayari gari ndogo za China zimeanza kuuzwa Ulaya kuna brands 7 za Kichina

Ila ndio ameshaingia mfano BYD kwa kujenga kiwanda Hungary
Nimetembea mkuu
Hawa UK wanajiona wako juu sana na kuweka vigezo vya European standards sana
Yutong zipo na pia baiskeli za umeme zimeingia sana ingawa ukiweka charge overnight lazima iwake

Hizo gari za umeme ndio zitatamba miaka ijayo
Wanataka manual wazifute kabisa
 
Wanapunguza mauzo kwa wanatengeza magari yanayofanania na west halafu wanapunguza bei ili kuharibu biashara za watu
Wakipata hasara serikali ya china inawapiga jeki kwa kuuza magari yasiyo na ubora
Ndio hivyo hata xiomi kila gari analouza anakula hasara ambayo serikali inailipia. So they are taking over kwa njia hiyo. Lakini kumbuka aaliye design gari za xiomi ni same aliyekuwa designer wa porsche
 
Nimetembea mkuu
Hawa UK wanajiona wako juu sana na kuweka vigezo vya European standards sana
Yutong zipo na pia baiskeli za umeme zimeingia sana ingawa ukiweka charge overnight lazima iwake

Hizo gari za umeme ndio zitatamba miaka ijayo
Wanataka manual wazifute kabisa
Yutong, BYD ziko kwenye majiji mengi ya Ulaya
 
Mchina anakupa kitu kulingana na uwezo wako lakini pia picha yako haijajitosheleza maelezo uloandika wewe umecopy na kupaste fb unaleta bila reseach.
 
Taking over huku unapata hasara?
Hebu nieleweshe
Ni stratergy ya kibiashara. Ni sawa na kampuni kuoperate kwa hasara kwa miaka mingi ikiwa na lengo la kuja kutengebeza faida baadaye. Startups nyingi zinakuwa hivi. Nlitazama video moja, lengo la mchina ni kufanya brand za magari yake ziwe maarufu sana ulaya huko zipiku brand kama bmw na mercedes ili baadae sasa ndipo waje kutengeneza faida. Hiyo ndio stratergy yake. Na ela ya kutupa anayo wanasema kuna zaidi ya startups za EVs 200 china na zote zinapokea pesa kutoka kwa serikali.
 
Back
Top Bottom