Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Xiaomi wana siku karibu 40 tangu waanze mass production na wameshauza magari kama 80,000Ndio hivyo hata xiomi kila gari analouza anakula hasara ambayo serikali inailipia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Xiaomi wana siku karibu 40 tangu waanze mass production na wameshauza magari kama 80,000Ndio hivyo hata xiomi kila gari analouza anakula hasara ambayo serikali inailipia
na miundombinu yetu pia ni changamoto sana unakuta mali ikitumika japan inakaa miaka 20 ila ilete bongo ikiwa mpya mwaka na miezi 6 unaskia milioNikweli,mfano mimi nilikua na isuzu journey min bus ile ndefu, ikawa inasumbua breki, nikaenda kwa mafundi wakasema izo isuzu mpaka ubadilishe busta ufunge busta ya hiace ndio tatizo la breki huwa linaisha,
Kwaiyo nikawaida kuna dizaini fulani za magari huwa zinatoka zikiwa na hitilfu fulani, kama Nissan duals zilivyo na tatizo la umeme
Aisee nilikuwa hivyo hivyo kama wewe. Ila ninayojionea Ujerumani, Austria na Uswisi. Nadiriki kusema hivyo nilivyosema.Kuna sehemu nyingi tu wazungu wamepigwa gap na nchi za Far East Asia kama China, Japan na South Korea
[emoji23][emoji23][emoji23]......wee si mzalishaji mpaka umeleta umbea maana hii sio taarifa umeleta umbea ?..kwami thread za udaku huzijui afu ukute nabishana na mtu gari huna ni wale wajuaji sana wa magari ila account inasoma kama findings za Titration kwenye Volumetric Analysis [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani wewe ni mzalishaji wa haya magari mpaka nikupe input?
Mnapenda vya kuchinja sana kama una malengo ya kuwa wakala imekula kwako
Wachina wanahakikisha wanakua na finnishing nzuri ili kukuzua ila bidhaa zao mizunguo sanaUnajua kwanini hizo kampuni zimepigwa marufuku kuuza gari zao USA?
Ila wewe mwafrika mpenda vya dezo na bei rahisi nunua baada ya miezi 3 unaweka uwani unarudi kwenye passo na ist
Gari la kichina pambana sana ndani ya miaka 3 mpaka 5 faida imesharudi baada ya hapo halifai tena litakutesa sanaMabasi ya kichina miaka 5 tu linanyanyua mikono juu
Tena baadhi ya kampuni hawadumu na hayo mabasi zaidi ya miaka miwili.
Tuchukulie mfano mmoja tu unafikiri kati ya China na Austria au Uswisi nani mtamu kwenye spacecraft tech?Aisee nilikuwa hivyo hivyo kama wewe. Ila ninayojionea Ujerumani, Austria na Uswisi. Nadiriki kusema hivyo nilivyosema.
Ni utunzaji wako tuGari la kichina pambana sana ndani ya miaka 3 mpaka 5 faida imesharudi baada ya hapo halifai tena litakutesa sana
Ulishawahi kwenda vijijini ndanindani huko barabara mbovu hatari lakini utaona pikipiki za Mchina kama Kinglion zikibeba magunia ya mkaa na bidhaa zingineWachina wanahakikisha wanakua na finnishing nzuri ili kukuzua ila bidhaa zao mizunguo sana
Ninasoma Masters in Industrial Engineering, huku Ujerumani hauwezi kuwa profesa bila kufanya research na kampuni kwa miaka mitano. Kuanzia Bachelor mpaka Phd thesis inabidi uandike na kampuni. Watu wanafanya research out of this world. Kabla ya kuanza shule nilijiambia nitajifunza kitu cha kuja ku-apply Tanzania. Lakini siku zinavyozidi kwenda mambo nayoyaona huku sijui kama kuna mazingira ya ku-apply niliyojifunza huku. Haturuhusiwi kutumia simu zetu ofisini tunapewa simu za ofisi. Haturuhusiwi kutumia pen drive. Laptop za ofisi zinakubali ku-connect na server katika network fulani tu. Watu wanalinda research zao. Na ninapenda kuongeza kuwa media zinadanganya sana na kubeba watu. Kuna nchi hazijulikani lakini zina makampuni yaliyo mbali sana katika research and development. Nchi kama Uswisi iko mbali sana.Tuchukulie mfano mmoja tu unafikiri kati ya China na Austria au Uswisi nani mtamu kwenye spacecraft tech?
Hapo kwa boxer umedanganya baada ya pikipiki za kijapani kama Honda, Kawasaki, na Yamaha kwa hapa bongo pikipiki zinazofuata kwa uimara ni za muhindi ambazo boxer, hero na tvs.Ulishawahi kwenda vijijini ndanindani huko barabara mbovu hatari lakini utaona pikipiki za Mchina kama Kinglion zikibeba magunia ya mkaa na bidhaa zingine
Katumie boxer au tvs uone siku 2 tu unauza skrepa
Haujajibu swaliNinasoma Masters in Industrial Engineering, huku Ujerumani hauwezi kuwa profesa bila kufanya research na kampuni kwa miaka mitano. Kuanzia Bachelor mpaka Phd thesis inabidi uandike na kampuni. Watu wanafanya research out of this world. Kabla ya kuanza shule nilijiambia nitajifunza kitu cha kuja ku-apply Tanzania. Lakini siku zinavyozidi kwenda mambo nayoyaona huku sijui kama kuna mazingira ya ku-apply niliyojifunza huku. Haturuhusiwi kutumia simu zetu ofisini tunapewa simu za ofisi. Haturuhusiwi kutumia pen drive. Laptop za ofisi zinakubali ku-connect na server katika network fulani tu. Watu wanalinda research zao. Na ninapenda kuongeza kuwa media zinadanganya sana na kubeba watu. Kuna nchi hazijulikani lakini zina makampuni yaliyo mbali sana katika research and development. Nchi kama Uswisi iko mbali sana.
Umeelewa nilichoandika?Hapo kwa boxer umedanganya baada ya pikipiki za kijapani kama Honda, Kawasaki, na Yamaha kwa hapa bongo pikipiki zinazofuata kwa uimara ni za muhindi ambazo boxer, hero na tvs.
Hizo za kichina ni daraja la mwisho kwa ubora
Nimemiliki toyo nimemiliki na boxer.
Safi kabisa tajiri wa jamii forum[emoji23][emoji23][emoji23]......wee si mzalishaji mpaka umeleta umbea maana hii sio taarifa umeleta umbea ?..kwami thread za udaku huzijui afu ukute nabishana na mtu gari huna ni wale wajuaji sana wa magari ila account inasoma kama findings za Titration kwenye Volumetric Analysis [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wafia mchina wanasema hizo gari zinauzwa sana kuliko za westKuna muda tuweni serious basi wadau, kweli ni sahihi kumpambanisha mchina na mzungu? Hapana aiseee.
Kama ni kuwekeza kwenye R&D hakuna taifa lolote Ulaya limeizidi ChinaWatu wanafanya research out of this world
Muongo huyo boxer hasa hizi mpya HD na hizi zilizotolewa na s100 kwa maafsa ugani ziko vizuri sana vijijini huko ni vyombo tofaut kinglion, toyo haojue sinoray fekon sanlg na upuuzi mwingne ukitumia miezi 3 huko vijijini pikipiki zinarudi kwao chinaHapo kwa boxer umedanganya baada ya pikipiki za kijapani kama Honda, Kawasaki, na Yamaha kwa hapa bongo pikipiki zinazofuata kwa uimara ni za muhindi ambazo boxer, hero na tvs.
Hizo za kichina ni daraja la mwisho kwa ubora
Nimemiliki toyo nimemiliki na boxer.
EVsWafia mchina wanasema hizo gari zinauzwa sana kuliko za west
Ee inawezekana kabisa, mbona hata hapa Tz infinix inauzika sana kuliko Iphone na Samsung, sasa ndo kusema Infinix ni bora kuliko Iphone au Samsung?Wafia mchina wanasema hizo gari zinauzwa sana kuliko za west