copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,232
- 2,362
Swali zuri sana. Ila wachawi jamani daah.. Yaani wapo shambani, at the sametime wana monitor yanayoendelea nyumbani-- Half-immortalsNina swali apo..
Ikitokea mtu kapelekwa shamba na hao wanga wakati akiendelea na kazi ikatokea emergence yoyote nyumbani kwake yakumfanya aamke inakuaje ? Je anatolewa site fasta au ndo haamki kabisa hadi atakaporudi? Kwako UMUGHAKA
Na nine! Masiku ghalaaaa..... twabhatilagha fijho aba kikulu abha bhakangele bha Ku Nonde!Nawapilike ijolo fijo
We ni Masai mamy?....Ssi kwetu huku tunawaita malayoni= umughaka
Ssi kwetu huku tunawaita malayoni= umughaka
Ssi kwetu huku tunawaita malayoni= umughaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wachawi wangekua wanawachukua mawaziri kama Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Makamba, Dotto Biteko, Zungu, Mchengerwa, Kassim Majaliwa na mama yao Samia wanawalimisha heka 50 kila wiki. Hii nchi debe la mahindi lingekua elfu 8
Acha utoto.Km wajinga ww ndio kiranja wao! Nimeonesha mpira euro 1996 mwananyamala kwa copa ccm pale kwa kiingilio cha shs. 100. Hv vitoto vya big result now vinajidai kila kila vinabisha bisha na havijui llt kumbaf!! [emoji848]
Hahaaa dah! Jamaa ni mnoma sana yaani anachezewa na wachawi alafu anajifanya kuvunga! Dah kama ndo huyo kweli acha tu watu waendelee kumdandiaEma mwenyewe ndio huyu View attachment 2384889
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atuulize sie watoto wa waalimu wakuu wa Kijijini enzi hizo.
Kwanza Mzee akikuta umejihusisha na ugomvi wa aina yeyote ile, haulizi umeonewa au nani anamakosa, lazima uchezee fimbo zisizo na idadi. Hata kama tayari umeshapewa adhabu na mwalimu mwingine. Na siku hiyo ukifika nyumbani, una kamisheni ya adhabu Kwa kosa lilelile la shule ambalo tayari umeshatumikia adhabu. Hapo anakuadhibu kama Baba Mzazi mbele ya wadogo zako iwe fundisho kwao.
Kuna siku tunalima shambani, akatokeza mjusi, dogo anaenifuatia akajipendekeza kuinama wakati nimeinua Jembe kumkata mjusi, si likatua kichwani kwake! Damu zinamwagika USO mzima, tukaenda nyumbani mbio, Ile amefika tu, akadakwa na fimbo za rasharasha mwili mzima...hapo nikasema kama wanaufanyia hivi mti mbichi, mkavu itakuwaje? Piga picha huyo anatembezewa kipigo ni mtu aliyekatwa Jembe, Sasa mwenye kumkata itakuwaje?
jamaa hajamalizia huyu sio yeye ila ametengeneza story kulingana na mtiririko.Imeisha kama picha la kihindi[emoji25][emoji25][emoji25][emoji15]
🤣🤣🤣🤣🤣! Kiukweli kupitia hii story Nimeongeza kitu juu ya hayo mambo!!Huo ss uoga jirani😂😂,wenzio hao tunakatiza na kichwa cha cherehani kichwani
Sio kuwazuia tu,mm nashauri tupate japo nafunzo ya ziada kidogo tuweze kuingia japo ndani na kutoka nje kwa kupitia ukutani km Monie😂
Mwanangu fanya mpango unielekeze Mbinu ili wachawi wakija wasinione wala kunifanya chochote basii!☺️😂😂 sawa jirani😂,acha nipikwe kwanza,najua nikiiva vzr makono ntapambana nae angani huko