Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Story za uongo uongo hizi hatutaki humu unatudanganya sisi watu wazima hivi bloodbasket kabisa ww
 
Mimi nimeishia hapo aliposema wanafunzi wote 12 wa shule ya kata walifaulu vizuri tena walichaguliwa kwenda advance shule zenye za vipaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwasababu ulipata zero au four ya kuzugia mtaani unadhani watu wote wanaakili kama yako ZERO BRAIN[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Achana na mapimbi wasio na akili
 
Story za uongo uongo hizi hatutaki humu unatudanganya sisi watu wazima hivi bloodbasket kabisa ww
Watu wa kijiji cha wegero huwa hawana akili kama zako za kipumbavu,wewe umetoka Wegero ipi?,ile ninayo ifahamu mimi au wegero ya kichwani hamna kitu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti wegero kwetu!,ACHA KUWAIBISHA WAKAZI WA WEGERO NGEDERE WEWE![emoji1787][emoji1787] wegero kwetu
 
Achana na akili za watoto wa juzi. Inaonekana dogo kazaliwa mwaka 2000, so wakati huo wewe unaenda kucheki mechi yeye ananyonya maziwa ya mama tu.
 
Mimi nimeishia hapo aliposema wanafunzi wote 12 wa shule ya kata walifaulu vizuri tena walichaguliwa kwenda advance shule zenye za vipaji😂😂😂😂
Hapo Niliona chai imeanza kwa mbaaali nikasema acha nivumilie kidogo,nilipofika Kwny ng'ombe nikasema hii haivumiliki Tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…