Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Kama unadanganywa unatafuta nini kwenye huu uzi.....kasome thread zingine huko
 
Usilete story zako za uongo uongo hapa
 
Haya bhana ndio hvyo Sina jinsi nitacheki cheki mkp umalize
Nimekaha kule kwenye Uzi wa masanja nimesikitika sna Ila sijui ukweli wwote ila nimesikitishwa San na kitendo Cha mke wake kuinajisi kanisa
 
Wachawi ni wakorofi sana

Umenikumbusha kuna jamaa baada ya kufika shinyanga karibu na gamboshi wakapewa story za gamboshi na wakaelekezwa hata hapakuwa mbali kihivyo,sasa siku material ya ujenz yameisha hawakuwa na kazi wakaamua watembee tembee na wakaamua wakapaone gamboshi walitembea sana mpaka ikafika jion na hawakupafikia mpaka wakakata tamaa ikabid warudi, ile kurudi hata nusu saa haikuisha wakawa wamefika shuleni walipokuwa wanafanya ujenzi, hao jamaa kesho yake waliamka wamenyolewa vipara
 
Duh
 
Mkuu 0ozg Tz wewe acha asikwambie mtu,sikuhiyo tulitembea kishenzi,kumbe tulikuwa tunafanyiwa kiini macho na waluga waluga walikuwa pembeni wanatuchora tu!,nitaeleza vizuri![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…