babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hamna lolote,kwa ufikiri wangu haraka tu ni kwamba hamna custom staff pale bandarini mda huo.Ungeuliza sababu ni nini? Ya kuendelea kukaa kwenye boat wakati mmeishafika!!
Jibu Lao lingetupa fursa nzuri ya kujadili na kushauri lengo likiwa KUBORESHA.
So wote mnangoja waje ili kila mtu aingie kihalali.
Ukiitua boti pale kuna magaidi,alshabaab na abiria
Kesho yanaanza matukio kisiju,mara mtwara ndo hao abiria wa usiku