Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Kupata watoto hakuna uhusiano wowotee na ndoa.

#YNWA
 
Nyie ndo mnaharibu utaratibu mzuri ambao Mwenyezi MUNGU aliuweka.
 
Reactions: Cyb
Hata vitabu vitakatifu havijamuelewa mwanamke......huna uwezo wa kudeal na mwanamke.....kama ni uchawi anakuroga kabla wewe hujamroga....huwezi kula peke yako mkuu
Idiot! Wewe ndio unaonekana dhaifu na huwezi ku-deal na mwanamke. Acha kupotosha na ku-undermine vitabu vya dini kuwa vimeshindwa ku-deal na mwanamke. Idiot again we dingi!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]https://jamii.app/JFUserGuide love
 
NAUNGA MKONO HOJA.... HAKUNA KUOA below 40 wanawake ni mufilisi mashetwani wakubwa
 
Hawa sio wanaume ..ni vijana wa kiume waliokamata ela kidogo na kuleta ulimbukeni...sijui wazazi wao wangesema hivi kama hata kuzaliwa wangekua wamezaliwa,,ah a
Unaonekana umevumilia na unavumilia saana kuchapiwa
 
Idiot! Wewe ndio unaonekana dhaifu na huwezi ku-deal na mwanamke. Acha kupotosha na ku-undermine vitabu vya dini kuwa vimeshindwa ku-deal na mwanamke. Idiot again we dingi!
Punguza kum "attack" mtoa hoja, just discuss the hoja on the table na sio kum "abuse mtoa hoja"

Haya turudi kwenye hoja....

Unajua hata huyo mwamba niliyemuongelea hapo kwenye bandiko/nyuzi nae alimuamini sanaa mwanamke?

#YNWA
 
Wanawake ni wengi kuzidi wanaume...... asiwe na presha atapata anaejitambua


Kuna msemo unasema "Usikosee kuowa" utajuta
 
Unaonekana umevumilia na unavumilia saana kuchapiwa
Unajiita baba jayaron unaogopa kuchapiwa...unamatatizo wewe unadhan wazee walikua wehu waliposema kitanda hakizai haramu....ukute hata huyo jayron kuna kidume huko kibeba maji kinajua unalea mwanae...fala we
 
Unajiita baba jayaron unaogopa kuchapiwa...unamatatizo wewe unadhan wazee walikua wehu waliposema kitanda hakizai haramu....ukute hata huyo jayron kuna kidume huko kibeba maji kinajua unalea mwanae...fala we
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ungeona kopi zangu usingeandika uzi huo.... Alafu ukoo wetu hauna kawaida ya kupambika damu zisizotuhusu.
timiza wajibu wako gonga show hakikisha ufulii sio kukubali kixembe kuchapiwa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ungeona kopi zangu usingeandika uzi huo.... Alafu ukoo wetu hauna kawaida ya kupambika damu zisizotuhusu.
timiza wajibu wako gonga show hakikisha ufulii sio kukubali kixembe kuchapiwa
Ah ah mdogo angu kaa na wajomba utashauriwa...ndoa changa au mkeo anakuektia....yakikukuta utarudi..
 
Pamoja sana mkuu, kuoa ni kukumbatia moto huku ukijua fika kua huu ni moto.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1]....zombi premium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…