Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ni kweli kabisa,ulikuwa maeneo gani ya Boys au Manova?Wewe ulikuwa jiran yangu mm niliishi sandali kwa Sasa ofs ya kata na kituo Cha afya kimejengwa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
AiseeHuu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.
Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.
Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.
Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.
Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.
Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
Duh....1986😳...mama yangu aliniambia alikuwa darasa la 6 mwaka huo
Kichaa weweSisi wengine tuliangalia majumbani mwetu fainali ya 1978 kupitia TVZ (Television Zanzibar) ambapo Argentina ilikuwa ni mwenyeji na ndio iliyoibuka bingwa. Huku washabiki wao waki chant " AARGENTINAAA AARGENTINAAA AARGENTINAAA"
Baada ya Kum bamiza Uholanzi 3-1
Hata mitaani watoto wakishinda kwenye chandimu ndio ilikuwa chant yao hiyo.
Zanzibar walikuwa na Tv mwaka 1973 kama sijakosea , nadhani ndio ilikuwa Tv ya kwanza ya rangi kwa afrika .Sijui aisee ila stori za kijiweni eti yeye na nyerere pekee ndio walikuwa na hiyo kitu.japo zanzibar walianza kuwa na huduma ya TV kitambo
Hongera mkuu!Huu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.
Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.
Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.
Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.
Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.
Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
KumbeZanzibar walikuwa na Tv mwaka 1973 kama sijakosea , nadhani ndio ilikuwa Tv ya kwanza ya rangi kwa afrika .
Sheikh yahya alikuwa anatumia digital receiver , free to air broadcast ambazo ilikuwa ni muhimu uwe na dish kubwa linalozunguka.kutafula free to air satelites.
Amazing flashback asante sana Mkuu, by then I was na infant baby of just 4 yearsHuu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.
Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.
Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.
Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.
Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.
Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
Mwaka huo Tabata nzima bar ziko mbili tu,Camp bar na Hai bar
Alisema Rais wa 2005 atakuwa mmama, ilipofika uchaguzi akawa mwingine, watu wakamuuliza mmama uliyemtabiria yuko wapi? Akawajibu huyo mliyempata hamuoni ana sura nzuri ina mvuto, tena hana hata ndevu!!!Alikuwa mpigaji tu ila kwa miaka hiyo alikuwa na pesa chafu sana, mtoto wa mjini mzee yule.
Alisema Rais wa 2005 atakuwa mmama, ilipofika uchaguzi akawa mwingine, watu wakamuuliza mmama uliyemtabiria yuko wapi? Akawajibu huyo mliyempata hamuoni ana sura nzuri ina mvuto, tena hana hata ndevu!!!sijaelewa alitabiri nini !
Wale tulioanza kucheki World Cup mwaka 1994 pale Magomeni Agip tukutane hapaHuu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.
Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.
Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.
Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.
Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.
Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
Mwaka huo Tabata nzima bar ziko mbili tu,Camp bar na Hai bar