Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya kwanza kutumia computer nilikuwa mwanafunzi huko bara la Amerika kaskazini 1982, unakwenda kuripoti kwa Profesa ambae amekabidhiwa jukumu la kuwagawia wanafunzi 'units 400' kila mmoja kwa ajili ya matumizi yake. Units zikimalizika unakwenda tena kuomba nyingine.Speed ya ku copy files ilikuaje??data mlikua Mna transfer kwa njia gani?? internet speed ilikuaje??
HD disk storage kubwa ilikua na uwezo gani??Ram Storage? Multimedia files mlikua Mna access vipi??
Kulikua na Digital pictures??upige picha kwa camera then uhamishe kwenye Computer??
Yeah walisema kulikuwa na uwezekano ndege za abiria kuanguka siku ya tarehe hiyo,kusema kweli Y2k ilitusababishia matumbo yapate moto sana.Y2K ilileta myth kibao na taharuki kubwa.
Wakati wa windows 98 hakukuwa na computer yenye hard disk inayofikia 1GB labda taasisi maalum za kisayansi, majeshi Ulaya na Marekani au Hollywood.Ubarikiwe mkuu,wengine tunasoma primary Kuna windows XP service pack 2
Mengi uliyo andika hapa ilikuwa Windows 2000, XP na kuendelea.Ukiwa na harddisk ya 4 au 8gb inatosha kabisa kufanya installations ya windows na office 97.
Kipindi hiki internet ilikuwa ni cafe ingawa baadae ilikuja tekinojia ya infrared unaweka simu na laptop karibu kwa uwiano ila desktop ilikuwa lazima ununue device pembeni.
Kuhusu speed ya kutuma files kwa wakati huu flash drive chache sana tena kwa wenye pesa hapa ndipo cd rw zilitumika sana unaandika na kufuta lkn kama kazi ndogo kama documents za word, excel nk unarumia floppy tu, na kuhusu cd kulikuwa na program maarufu kadhaa kama nero ambayo ina option kabisa ya kuzima computer baada ya burning. Yani unaweza burn cd moja ikachukua masaa matatu kwa hiyo kama unalala una tick hiyo option then unaacha unalala. Na CD Drive RW zilikuwa deal sana wakati huu maana ilikuwa lazima ununue separate.
Kuhusu games nyingi zilikuwa za dos kama akina prince of persia lkn zingine ni setup lkn unakuta ina mb 40 tu
Digital picture zilikuwepo lkn kwa quality mbovu ambayo wakati huo ilikuwa best
Forest Hill
Kam sijakosea hiyo shule uliyoiandika ya upili iliunganishwa na shule nyingine around 1987. Ndo maana ametabiri mwaka wa nyuma kidogo. My thinking tu.Why 1984 and not 87,88, or 89?
sahihi kabisaKulikuwa na DOS (Disk Operating System) ili kompyuta iwake unaweka floppy disk. Mwaka 1987.
hiyo ya kwako ilikuwa imejaa mavirusNimeanza kutumia computer 2008,unawasha mpaka ianze kufanya kazi inachukua dakika 29 mpaka 39
ni kweli maana kwa UK ngozi nyeusi hasa kutoka Carribean walikuwepo kwa wingi sana miaka hiyoIt wasn’t that bad. I was there.
I made plenty of friends there, some of whom we are still friends to this day!
Matter of fact, I just came back from visiting one of them in Summertown.
Mimi wa juzi tu mkuu, sijawahi kutumia pc kabla ya XP.Chief-Mkwawa karibu uwanja wako huu wa ICT.
BK Middle School ilifungwa mwaka 1990.Kam sijakosea hiyo shule uliyoiandika ya upili iliunganishwa na shule nyingine around 1987. Ndo maana ametabiri mwaka wa nyuma kidogo. My thinking tu.
Computer Lab zilikuwa full AC na carpert za nguvu mkiingia viatu mnaacha nje na mkimaliza zinavishwa suit/coverWakati nasoma high school kulikuwa na Comp Lab ya msaada.
Ulikuwa huingii na viatu wala kitu chochote utaleta vumbi utaua computer.
Au viatu vitaleta vumbi lenye virus kumbe computer virus ni software tu ..🤣🤣🤣🤣