mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Dell nilikuwa na floppy disk kibaoKompyuta gani hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dell nilikuwa na floppy disk kibaoKompyuta gani hiyo?
Mkuu computer yako itakua ilikua na Shida,2008 computer zilikua nzuri tu,Mimi nilikua natumia laptop Dell 6400,Nimeanza kutumia computer 2008,unawasha mpaka ianze kufanya kazi inachukua dakika 29 mpaka 39
NI kweli ila ni watanzania wachache mno waliokuwa wanajua kutumia computerHiyo ilikuwa baadae sana 😃.
Mkuu computer yako itakua ilikua na Shida,2008 computer zilikua nzuri tu,Mimi nilikua natumia laptop Dell 6400,
Kweli usemacho Soma post yangu niliyo quote.Ilikuwa na virus au na uchafu kibao kwenye temporary files, au kwenye registry keys.
Wakati huo computer zilikuwa faster kuliko alivyo elezea.
Ukiiweka kwenye jeans alafu ukakaa kwenye daladala habari inaishia hapo.Dah mamb ya floppy disk,,,,,,,...unailinda kama dhahabu ukileta mbwembwe nyingi kuharibika fasta
Haikuwa sawa, lazima kulikuwa na tatizo lingine. Huo mda ni mrefu sana.Nimeanza kutumia computer 2008,unawasha mpaka ianze kufanya kazi inachukua dakika 29 mpaka 39
Kweli usemacho Soma post yangu niliyo quote.
Mimi mkuu nimezitumiaNimeanza kutumia kompyuta kabla ya asilimia 99 ya wanachama wote wa JF hawajaanza kutumia kompyuta na wengine kabla hata hawajazaliwa.
Nani humu amewahi kuzitumia kompyuta za Amstrad?
Ni sahihi, zilishakuwepo mtaaniHaikuwa sawa, lazima kulikuwa na tatizo lingine. Huo mda ni mrefu sana.
Lini na wapi?Mimi mkuu nimezitumia
GB 2 ilikuwa Ni maximum ya W95 ahhahah..Hah nikajua angalau GB 5,window 95 sijawahi kuiona ila win98 nimeiona japo sijatumia,haipo tofauti Sana na XP
HAhahah kweli kabisaHapana, wala siyo wa kishua.
Ni vile tu ukiwa mtoto mara nyingi unaambatana na wazazi wako kule ambako pilikapilika za maisha zitakowapeleka.
Utayokutana nayo huko yatategemea na wewe jinsi ulivyo.
Mimi kwa asili ni mtu mdadisi sana. Pia niko observant sana. Halafu nina kumbukumbu nzuri.
Kwa sababu Amstrad ndo ilikuwa brand ya kwanza ya kompyuta ambayo nilikutana nayo, ndo maana mpaka leo bado naikumbuka licha ya kampuni iliyokuwa ikizitengeneza kufa.
I meant from around that time in UK all the way to early 90sWhy 1984 and not 87,88, or 89?
It wasn’t that bad. I was there.I meant from around that time in UK all the way to early 90s
It was not a friendly place
XP hujawahi kuigusa, katika windows nilikua siikubari ni XP ilipokuja 7 nikashusha pumzi ingawa zilianza kuja windows kwa kufululiza baada ya 7Nimetumia Window 95, Window 98 na window 2000
XP nimetumia, Vista pia nimetumia, 7 ndo ilikuwa God Wa laptop kabla ya 8XP hujawahi kuigusa, katika windows nilikua siikubari ni XP ilipokuja 7 nikashusha pumzi ingawa zilianza kuja windows kwa kufululiza baada ya 7