Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,240
- 2,010
Wazee wa pima maji, kobilo [emoji23][emoji23][emoji23] manina hii kazi nmeifanya kuanzia fom two....kisa uroho wa kuvaa converse [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ile ya kumrushia fundi tofali hewani analidaka juu ilinishinda ikabidi niache kazi
Kuna ndugu yangu alikuwa anafanya Sana hizi kazi Sasa Mimi nilikuwa ni mtu ambaye Sina mishe yoyote baada ya kumaliza form six Sasa nikamchana ndugu aniunganishe na fundi yoyote kwa sababu yeye anafahamiana nao wengi akasema poa usijali kweli baada ya siku akaniambia Kuna appartment zinajengwa kwa hiyo nijiandae nikasema poa moyo wangu ukafurahi kweli๐๐nikajiona bosi tayari wakati hata kazi sijaanza.Duuh. ๐๐๐,Mkuu ebu tupe mkasa wako,!
Fundi amekimbia msala na wewe ondoka hapo haraka.tajiri akija hapo we utapelekwa polisi.
Kwahiyo unaweza kujijengea nyumba?Kitambo sana nimepiga hii kazi
Nakumbuka nilipomaliza kidato cha nne wakati nasubiri majibu aisee nilipiga hii kazi mpaka basi...
Hahaha nimekumbuka mbali kinoma, kipindi iko Nokia Express music na waptric ndo zilikuwa zinakimbiza [emoji23][emoji23]Hii kazi nilipiga kimya kimya bila wazazi kujua 2005 nikanunua sim yangu ya kwanza Nokia Xpress music ...waptric na download ngoma za mamtoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaKuna ndugu yangu alikuwa anafanya Sana hizi kazi Sasa Mimi nilikuwa ni mtu ambaye Sina mishe yoyote baada ya kumaliza form six Sasa nikamchana ndugu aniunganishe na fundi yoyote kwa sababu yeye anafahamiana nao wengi akasema poa usijali kweli baada ya siku akaniambia Kuna appartment zinajengwa kwa hiyo nijiandae nikasema poa moyo wangu ukafurahi kweli[emoji4][emoji4]nikajiona bosi tayari wakati hata kazi sijaanza kufanya kweli..
hii ya mchai mchai2011 wakati nimeua from 4 basi nikajichangaya kitaa kutafuta mishe basi nikabuka pale chuoni uhasibu Arusha ..kipindi iko hakuna vimbweta vile ..sasa katika moja na mbili nikakutana na fundi mkuu akanipa mchongo huo wa kujenga vimbweta, 20k kwa siku. Mwamba apo nilikuwa chalii kinoma ndo kwanza 17 hivi ..bas kazi ikaanza ...
Uchungu wa nn mkuu ๐tumewahi kumwaga zege moja la mchaka mchaka lile la mashine unachotewa unakimbia
baada ya kazi nilijikuta nawaza na kupata uchungu mwingi sana
๐ ๐ ๐ ๐ โhii ya mchai mchai View attachment 1695845
hii ya mchai mchai View attachment 1695845
Niliacha hii mikazi kipindi hicho napambana life baada ya braza mmoja aliyekuwa ameshika kazi, akishachukua mpunga kwa bosi basi anasema tumfuate mpaka kilabuni huko ndiko anaenda kutupea hela. Ili wamama wa kilabuni wajue yeye ndio bosi.
Kwahiyo ulikula kimasikhara๐๐ Kazi na dawa2011 wakati nimeua from 4 basi nikajichangaya kitaa kutafuta mishe basi nikabuka pale chuoni uhasibu Arusha ..kipindi iko hakuna vimbweta vile ..sasa katika moja na mbili nikakutana na fundi mkuu akanipa mchongo huo wa kujenga vimbweta, 20k kwa siku.
Mwamba apo nilikuwa chalii kinoma ndo kwanza 17 hivi ..bas kazi ikaanza ..zege linakorogwa na machine ,halafu ni ndoo mbili ndogo unabeba..dah kubabake nilibeba ndoo nusu nichanganyikiwe ..kwa wastani ile siku nilibeba ndoo siyo chini ya 30 hivi maana nilienda na kurudi non stop mara 15+ ..maana mzigo ushachanganywa hivyo lazima upelekwe na kimbweta kimoja adi kikamilike kinakula ndo za kushato. Saidia fundi tulikuwa wanne na mimi ndo kijana pekee wengine walikuwa wazee zee hiv hivyo wanachoka fasta. Sema uzuri mmoja katika kubeba zile ndo,
kuna manzi mmoja nadhani alikuwa diploma kipindi iko akanionea huruma alikuwa ananipimia kila siku nnavobeba zile ndoo ..akantoa kama teni hiv siku ya kwanza maana tulipiga kazi zaid ya siku kama nane hivi ..yule manzi tukaanza kuzoeana ..sjui ilikuwaje akanielewa fasta hivyo ..siku moja akaniuliza mnamaliza lini kazi nikamjibu hadi vimbweta viishe ..maana vilikuwa vimesukwa na nondo na mbao ..hivyo ni mwendo wa kumwaga zege tu ..
baadae nikachek nikaona vimebak viwili basi siku hiyo tukamaliza ilikuwa ijumaa ..nikapewa mshiko wangu hata yale machungu ya kazi naona yalikwisha aise ..ela bana[emoji3][emoji3] bas nikamfata yule manzi nikamwambia kazi imeisha yee alikuwa discashen na wenzake na mimi nikajiunga hapo sjui hata wanasoma nini ..nilikuwa handsome balaa siyo saiv nmepigika na life ..wale ma manzi wengine wakajua labda na mimi ni mwanafunzi maana nilinawa nikawa msafi fresh ..
yule dem akantambulisha kwa wenzake kuwa ni nani na nilikuwa saidia fundi ..dah wakashangaa kinoma ..sema ndo ivyo ..nikaamweit yule manzi adi akamaliza discusheni ..baadae nikaanza shuka naye mdogo mdogo na nilikuwa na baiskeli ya home ..huyo adi Kwake ..kumbe anakaa geto na mwenzake sema alimwacha chuo ..basi mi nikataka kusepa ..akanambia subir akaoge then aje anisindikize ..dah mtoto kaoga ile kurudi nikataka kumpisha ili avae akanizuia mara paap kanga chin kabaki kama alivyo dah sikuamini ..
kichwa chini kikazid nguvu kichwa cha juu ..manzi akanisogelea na mimi nipo tu kavua suruali ya jinsi katoa dushe kaanza nyonya .. na ndo mara ya kwanza nanyonywa niaje[emoji3][emoji3] aise ni balaa tupu ..nilipiga show sema kiuoga balaa na yeye alijua kuwa nimeogopa baada ya show tukatoka ile natoka tu baiskeli haipo ..mama weee nilichanganyikiwa na rafiki yake na yeye ndo anarudi ..nikamuliza kama ameona mtu na baiskeli akasema ndio ..
nikatoka mbio kumtafuta sikumpata ..nilichonipata home ni siri yangu aisee[emoji3][emoji3] sema yule manzi niliendelea kuifaidi hadi siku anasepa chuo ..sjui saiv hata yuko wapi.
Jacklin nakumiss sana najua utakuwa umeshaolewa..[emoji41][emoji41]