Tuliopitia maisha ya "Saidia Fundi" tukutane hapa

Tuliopitia maisha ya "Saidia Fundi" tukutane hapa

Duuh. 😀😀😀,Mkuu ebu tupe mkasa wako,!
Kuna ndugu yangu alikuwa anafanya Sana hizi kazi Sasa Mimi nilikuwa ni mtu ambaye Sina mishe yoyote baada ya kumaliza form six Sasa nikamchana ndugu aniunganishe na fundi yoyote kwa sababu yeye anafahamiana nao wengi akasema poa usijali kweli baada ya siku akaniambia Kuna appartment zinajengwa kwa hiyo nijiandae nikasema poa moyo wangu ukafurahi kweli😊😊nikajiona bosi tayari wakati hata kazi sijaanza.

Kufanya kweli siku ikatimia nikaenda sites kufika pale nikakuta fundi anamuuliza ndugu yangu ataweza kweli kazi huyu mbona anaonekana mchele mchele Sana nikamjibu yule fundi acha kunichukulia kiboyaboya fundi akasema sawa palepale akaniambia beba mchanga tolori kumi ziweke pale ujiandae kuchanganya cement nikasema poa kwa mbwembe kweli mama maaah ningekujua kunachofuata ni Bora ningekimbia mapema tela likaanza nimeweka mchanga tolori la Kwanza tu Ile naanza kutembesha tu nilianguka Kama mlevi😂😂😂😂

watu waliopo pale walicheka balaa yule fundi akasema tulikuambia ww unaonekana dagaadagaa unakataa nikajikaza kiume nikainuka nikajitutumua nikabeba tolori Kama 5 za mchanga nikawa Niko hoi balaa hapo kumbukeni hata kazi hatujaanza alafu fundi nasikia ananifokea fanya chapuchapu ww mtoto wa kiume unakuwa rojorojo hivyo nikamuangalia kwa hasira alafu nikamtafunia meno nikaendelea nikamaliza tolori zote kimbembe chengine ni kwenye kuchanganya mchanga na cement aisee hapa akili za kujiona bosi zote zilitoka nikawa nawaza nitumie mbinu gani kukimbia ile sehemu🤣🤣ila nikawaza nitakuwa kama nimemsumbua ndg yangu

Nikajikaza nijikakaza changanya baada ya kumaliza kimbembe chengine ni kwenye kubeba ndoo za mchanga kumpelekea fundi aisee nilichoka hatari fundi Mara aniambie wwe boya fanya hataka kimoyo nikasema huyu anifahamu vzr ngoja namtafutia dawa palepale nasikia anasema dg hi kazi tutafanya Kama wiki hivi kwa hiyo changamkaa alaah nikasema kimoyoyo wiki we subbiri nitakupa dawa yako ambayo itafanya usiwe na hamu na Mimi leo hii hii utanikataa kimoyo nikawa najilaumu hivi kilichonileta huku ni ninib.

tukaendelea na kazi weeh Sasa nikawa nawaza nimkereje huyu fundi ili ili asithubutu hata kuniwaza kwenye kazi zake hizi palepale si akaingiza siasa tukabishana kwa sababu Kuna watu wengine walikuwepo pale alafu yete alikuwa anajifanya anajua siasa kweli Mimi palepale nikajikuta nimeropoka 😁😁

nikamwambia fundi inavyoonekana wwe hujui kusoma na kuandika si eti akaniambia dg unanizoea si ndo hivyo nikasema hapana ila Mimi nilikuwa natoa mtizamo wangu tu kilichofuata ni historia tu jamani😆😆😆😆 nilikuta tu ndugu Yang u ananiletaa malalamiko akidai Mimi ni mropokaji sana
 
Kitambo sana nimepiga hii kazi

Nakumbuka nilipomaliza kidato cha nne wakati nasubiri majibu aisee nilipiga hii kazi mpaka basi

Nilichimba mashimo ya Choo mpaka basi na misingi ya nyumba, kipindi Hiko maeneo ya Kwa morombo ndo yanaanza kujengwa

Ila kunafaida nlizopata
1. Kujua fundi
2. Kupata kipato na mungu alinijalia nkaenda kidato cha tano , uwezi amini nlikuwa ntaonekana mtoto wa kishua kumbe najua mwenyewe nlipo zipata ela

Na nlifanya kazi hii kwenye likizo zote kuanzia kidato cha tano mpaka namaliza chuo
 
Hii kazi nimeifanya 2014 na 2015 baada ya kumaliza form four afu nilidhurumika. Mama akaona bora niende Mufindi kwenye mashamba ya chai huko ndo nilishika hela.
ila hii kazi ya "kadongo boy" sio kabisa ndugu zangu.
Cause unafanya kazi kuliko fundi lakini yeye anakuzidi parefu saannaa.
 
Kuna ndugu yangu alikuwa anafanya Sana hizi kazi Sasa Mimi nilikuwa ni mtu ambaye Sina mishe yoyote baada ya kumaliza form six Sasa nikamchana ndugu aniunganishe na fundi yoyote kwa sababu yeye anafahamiana nao wengi akasema poa usijali kweli baada ya siku akaniambia Kuna appartment zinajengwa kwa hiyo nijiandae nikasema poa moyo wangu ukafurahi kweli[emoji4][emoji4]nikajiona bosi tayari wakati hata kazi sijaanza kufanya kweli..
Hahaha
 
2011 wakati nimeua from 4 basi nikajichangaya kitaa kutafuta mishe basi nikabuka pale chuoni uhasibu Arusha ..kipindi iko hakuna vimbweta vile ..sasa katika moja na mbili nikakutana na fundi mkuu akanipa mchongo huo wa kujenga vimbweta, 20k kwa siku.

Mwamba apo nilikuwa chalii kinoma ndo kwanza 17 hivi ..bas kazi ikaanza ..zege linakorogwa na machine ,halafu ni ndoo mbili ndogo unabeba..dah kubabake nilibeba ndoo nusu nichanganyikiwe ..kwa wastani ile siku nilibeba ndoo siyo chini ya 30 hivi maana nilienda na kurudi non stop mara 15+ ..maana mzigo ushachanganywa hivyo lazima upelekwe na kimbweta kimoja adi kikamilike kinakula ndo za kushato. Saidia fundi tulikuwa wanne na mimi ndo kijana pekee wengine walikuwa wazee zee hiv hivyo wanachoka fasta. Sema uzuri mmoja katika kubeba zile ndo,

kuna manzi mmoja nadhani alikuwa diploma kipindi iko akanionea huruma alikuwa ananipimia kila siku nnavobeba zile ndoo ..akantoa kama teni hiv siku ya kwanza maana tulipiga kazi zaid ya siku kama nane hivi ..yule manzi tukaanza kuzoeana ..sjui ilikuwaje akanielewa fasta hivyo ..siku moja akaniuliza mnamaliza lini kazi nikamjibu hadi vimbweta viishe ..maana vilikuwa vimesukwa na nondo na mbao ..hivyo ni mwendo wa kumwaga zege tu ..

baadae nikachek nikaona vimebak viwili basi siku hiyo tukamaliza ilikuwa ijumaa ..nikapewa mshiko wangu hata yale machungu ya kazi naona yalikwisha aise ..ela bana[emoji3][emoji3] bas nikamfata yule manzi nikamwambia kazi imeisha yee alikuwa discashen na wenzake na mimi nikajiunga hapo sjui hata wanasoma nini ..nilikuwa handsome balaa siyo saiv nmepigika na life ..wale ma manzi wengine wakajua labda na mimi ni mwanafunzi maana nilinawa nikawa msafi fresh ..

yule dem akantambulisha kwa wenzake kuwa ni nani na nilikuwa saidia fundi ..dah wakashangaa kinoma ..sema ndo ivyo ..nikaamweit yule manzi adi akamaliza discusheni ..baadae nikaanza shuka naye mdogo mdogo na nilikuwa na baiskeli ya home ..huyo adi Kwake ..kumbe anakaa geto na mwenzake sema alimwacha chuo ..basi mi nikataka kusepa ..akanambia subir akaoge then aje anisindikize ..dah mtoto kaoga ile kurudi nikataka kumpisha ili avae akanizuia mara paap kanga chin kabaki kama alivyo dah sikuamini ..

kichwa chini kikazid nguvu kichwa cha juu ..manzi akanisogelea na mimi nipo tu kavua suruali ya jinsi katoa dushe kaanza nyonya .. na ndo mara ya kwanza nanyonywa niaje[emoji3][emoji3] aise ni balaa tupu ..nilipiga show sema kiuoga balaa na yeye alijua kuwa nimeogopa baada ya show tukatoka ile natoka tu baiskeli haipo ..mama weee nilichanganyikiwa na rafiki yake na yeye ndo anarudi ..nikamuliza kama ameona mtu na baiskeli akasema ndio ..

nikatoka mbio kumtafuta sikumpata ..nilichonipata home ni siri yangu aisee[emoji3][emoji3] sema yule manzi niliendelea kuifaidi hadi siku anasepa chuo ..sjui saiv hata yuko wapi.

Jacklin nakumiss sana najua utakuwa umeshaolewa..[emoji41][emoji41]
 
2011 wakati nimeua from 4 basi nikajichangaya kitaa kutafuta mishe basi nikabuka pale chuoni uhasibu Arusha ..kipindi iko hakuna vimbweta vile ..sasa katika moja na mbili nikakutana na fundi mkuu akanipa mchongo huo wa kujenga vimbweta, 20k kwa siku. Mwamba apo nilikuwa chalii kinoma ndo kwanza 17 hivi ..bas kazi ikaanza ...
hii ya mchai mchai
JamiiForums-799625375.jpg
 
Niliacha hii mikazi kipindi hicho napambana life baada ya braza mmoja aliyekuwa ameshika kazi, akishachukua mpunga kwa bosi basi anasema tumfuate mpaka kilabuni huko ndiko anaenda kutupea hela. Ili wamama wa kilabuni wajue yeye ndio bosi.

Ilikuwa 2004 tuko new forest (Mbeya) kuna mabroo walikuwa na kazi ya kujenga nyumba ya tajiri mmoja hivi, mimi kama dogo kuliko wote nikawa nakoroga mchanga nasomba na kuwapa, siku moja wakaniambia nibebe nondo twende Mwanjelwa tukauze (nilibebeshwa nondo za wizi bila kujua), tukafika "Njelii" tukauza tukaenda Isanga kilabuni wakaagiza bia, mimi nilikuwa sinywi bia wakaninunulia ulanzi wa 600 na kitimoto wakanipa na elf 7000, Nikaondoka kwenda maskani(Nonde)

Kesho yake nilichelewa kufika site...ile nimefika tu nikasikia yule tajiri anafoka nondo ziko wapi, nikasikia tena bro mmoja anasema "yule dogo wa jana kaziiba"...hapo hapo nikatoka nduki, maana ningeenda kubishana nao wangenishinda alafu ningeonekana mwizi...
 
2011 wakati nimeua from 4 basi nikajichangaya kitaa kutafuta mishe basi nikabuka pale chuoni uhasibu Arusha ..kipindi iko hakuna vimbweta vile ..sasa katika moja na mbili nikakutana na fundi mkuu akanipa mchongo huo wa kujenga vimbweta, 20k kwa siku.

Mwamba apo nilikuwa chalii kinoma ndo kwanza 17 hivi ..bas kazi ikaanza ..zege linakorogwa na machine ,halafu ni ndoo mbili ndogo unabeba..dah kubabake nilibeba ndoo nusu nichanganyikiwe ..kwa wastani ile siku nilibeba ndoo siyo chini ya 30 hivi maana nilienda na kurudi non stop mara 15+ ..maana mzigo ushachanganywa hivyo lazima upelekwe na kimbweta kimoja adi kikamilike kinakula ndo za kushato. Saidia fundi tulikuwa wanne na mimi ndo kijana pekee wengine walikuwa wazee zee hiv hivyo wanachoka fasta. Sema uzuri mmoja katika kubeba zile ndo,

kuna manzi mmoja nadhani alikuwa diploma kipindi iko akanionea huruma alikuwa ananipimia kila siku nnavobeba zile ndoo ..akantoa kama teni hiv siku ya kwanza maana tulipiga kazi zaid ya siku kama nane hivi ..yule manzi tukaanza kuzoeana ..sjui ilikuwaje akanielewa fasta hivyo ..siku moja akaniuliza mnamaliza lini kazi nikamjibu hadi vimbweta viishe ..maana vilikuwa vimesukwa na nondo na mbao ..hivyo ni mwendo wa kumwaga zege tu ..

baadae nikachek nikaona vimebak viwili basi siku hiyo tukamaliza ilikuwa ijumaa ..nikapewa mshiko wangu hata yale machungu ya kazi naona yalikwisha aise ..ela bana[emoji3][emoji3] bas nikamfata yule manzi nikamwambia kazi imeisha yee alikuwa discashen na wenzake na mimi nikajiunga hapo sjui hata wanasoma nini ..nilikuwa handsome balaa siyo saiv nmepigika na life ..wale ma manzi wengine wakajua labda na mimi ni mwanafunzi maana nilinawa nikawa msafi fresh ..

yule dem akantambulisha kwa wenzake kuwa ni nani na nilikuwa saidia fundi ..dah wakashangaa kinoma ..sema ndo ivyo ..nikaamweit yule manzi adi akamaliza discusheni ..baadae nikaanza shuka naye mdogo mdogo na nilikuwa na baiskeli ya home ..huyo adi Kwake ..kumbe anakaa geto na mwenzake sema alimwacha chuo ..basi mi nikataka kusepa ..akanambia subir akaoge then aje anisindikize ..dah mtoto kaoga ile kurudi nikataka kumpisha ili avae akanizuia mara paap kanga chin kabaki kama alivyo dah sikuamini ..

kichwa chini kikazid nguvu kichwa cha juu ..manzi akanisogelea na mimi nipo tu kavua suruali ya jinsi katoa dushe kaanza nyonya .. na ndo mara ya kwanza nanyonywa niaje[emoji3][emoji3] aise ni balaa tupu ..nilipiga show sema kiuoga balaa na yeye alijua kuwa nimeogopa baada ya show tukatoka ile natoka tu baiskeli haipo ..mama weee nilichanganyikiwa na rafiki yake na yeye ndo anarudi ..nikamuliza kama ameona mtu na baiskeli akasema ndio ..

nikatoka mbio kumtafuta sikumpata ..nilichonipata home ni siri yangu aisee[emoji3][emoji3] sema yule manzi niliendelea kuifaidi hadi siku anasepa chuo ..sjui saiv hata yuko wapi.

Jacklin nakumiss sana najua utakuwa umeshaolewa..[emoji41][emoji41]
Kwahiyo ulikula kimasikhara😀😀 Kazi na dawa
 
kuna watoto wa buza,kinondoni,msasani,mbezi nk ukiwaambia unaweza nunua sururu mpya kufika mchana ikabaki nusu hawakuelewi.

hii ndio ilinitokea siku moja nilikuwa mwaminifu sana halfu najali muda mno,akaja fundi mmoja mgeni toka wilaya nyingine kaletwa na boss mwenye nyumba,akapewa saidia mimi hapa.
tukaenda site,kufika nikaandaa mazingira akakata ramani,kisha nashangaa ananiuliza huu msingi kuchimba utachimbwa kwa shingapi??nikiwa nimeduwaa nikaropoka 250k,akazama mfukoni akatoa kibunda 190k,nyingine akanambia mpaka arudi akute maendeleo ya kazi.sikuwahi kushika hela nyingi kiasi hicho kwa kipindi kile.

nikarudi na kuzoa wanangu kibao ambao huwa tunakomaa nao,nikajisemea hapa lazima niwe mjanja,nikawaambia aisee hapa tunachimba hela mpaka fundi aje,wakakubali.ardhi ilikuwa ngumu mpaka nikawa natafakari kama watanielewa nikiwaambia nimetaja 250.tukapiga futi 1.5 kitu usawa wa goti[emoji28][emoji28].tukamsubiri fundi alipokuja wenzangu wakamvaa aongeze pesa bila kusema wamepewa kiasi gani.akaongeza 50 kwenye ile 60 iliyobaki,wao wakajua kazi yote niliomba 110k tu.
hawakuwahi kushtuka.

nilikuja kuachana na hii kazi kuna siku nifungua chokaa vibaya ikaingia puani,niliugua mafua mabaya sana,bahati nikapata ramani nyingine.
 
Back
Top Bottom