goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Me sijawahi panda basi kwenda mkoa napewa lifti na gari binafsi [emoji13] [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
the same story imewahi kutokea waalii 12 walienda kisiwani kutalii, walivyorudi mmoja wao alinunua mtoto wa mamba kwa ajili ya kufuga, akamvesha kwenye kamfuko, airport hawaruhusu kupita na live animal, mtalii kahonga security wa airport kapita. Kamamba kakaanza kuhangaika kujaribu kutoka kwenye kamfuko.... Kakafanikiwa, jamaa kapiga usingizi abiria kuangalia miguuni mamba mamba weee, kuhangaika kule na huku, ndege ika loose centre of gravity, abiria wote 12 pamoja na rubani kwisha.Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Mimi nilichokuwa nafanya siku moja kabla ya safari ilikuwa naingia zangu shoprite pale kamata najaza apples, zabibu na matunda mengine kadri navyoweza, nanunua na kisu kabisaaaa kosha vizuri. Kwenye basi ni mwendo wa matunda tu mpaka kufika, wengi niliowahi kukaa nao siti moja waliipenda sana hio styleUna tabia kama yanguu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnautani na nyimbo za MUNGU.Out of topic..
-Tulitoka kijijini kuimba kwaya basi wakati wa kupanda gari likawa limejaa, nikskaita kamwanakwaya kamoja nikakapakata heheee vile gari linadunda watu tunaimba nikaanza kupapasa mapaja meisho kakalegea nikapenyua sketi nikalengesha ogo ndani nikaanza jisevia huku tunaimba sauti ikawa haieleweki mara yanne mara ya pili nikapiga tubao kamoja na nusu ndani ya gari...
Hahaha kitambulisho chako kilipona kutolewa mkuu?maana kuna wengine wanatoa kitambilisho huku wanakiziba ziba na kurudisha fasta kumbe cha viduduMwaka Jana mwezi wa 10 nilikua nasafiri kutoka Manyoni kuelekea Bunda.
Kama kawaida nilipanda Bunda bus, kutokana na hali ilivyo barabarani kwa sasa askari wengi jamaa alikua anatembea mwendo wa kawaida tu.
Nyegezi tukaingia mida ya saa kumi na moja jioni lakini gari ilizimika ghafla kumbe iliishiwa mafuta.
Wahusika wakafanya jitihada wakajaza mafuta ishu ikawa uwakaji wa gari maana ilikua imevuta upepo.
Baada kama ya nusu saa mambo yakakubali tuenda ofisini kwao then tukaanza safari ya kuelekea Buzuruga ili ashushe abiria wengine na apakie wengine tuendelee na safari yetu.
Kufika Buzuruga bus ikaharibika this time iliua compressor ya upepo.
Mafundi wakaanza kuhangaika, abiria wakapaniki wakaenda kumuita traffic, afande akapiga mikwara kibao pale wahusika wakaomba msamaha na ishu ikaisha.
Baada kama ya saa limoja gari ikapona tukaanza safari ya kuelekea Bunda.
Kiukweli Dereva alikua anatembea mwendo wa kawaida tu, kama 70km/h ila kutokana na ile barabara kua na mawimbi mawimbi bus ikawa kama inakimbia sana.
Abiria wakapaniki wengine walisikika wakisema Dereva tuna familia zinatutegemea Punguza mwendo.
Dereva akasema mwendo ninao tembea ni wa kawaida mbona abiria wakatulia baada kama ya dakika kumi hivi akasimama mama mmoja akamfuata dereva na kumwambia apunguze mwendo.
Basi kwenye gari ukaibuka ubishi wapo walio kua wana msapoti suka wakisema dereva aachwe atimize wajibu wake wapo walio kua wameanza kutoa vitambulisho vyao huku wakitoa kauli kama " unajua mimi ni nani ".
Dereva akaona isiwe tabu akapunguza spidi mpaka kama 10km/h.
Yani tulikua tunapitwa hadi na baiskeli.
Watu kumwambia dereva aongeze spidi wanashindwa wakaanza kulalamika tunachelewa bhana... Dereva alivyo na kiburi akasema haongezi mwendo kama huko Bunda tutafika kesho yeye hajali.
Baada ya kuona hii hali Ikabidi nishuke kituo kinaitwa masanza kona nipumzike.
Sasa sijui waliishia wapi lakini hali ilikua tete ndani ya basi.
Kabsa kuna wengine wanajitakiaga kila kituo anataka ale unakuta msukuma anatoka mwz.kuja dsm kituo cha tabora anataka ale mahindi mabichi na kalanga.mbichi singida ale chips na nyama ya punda dodoma zabibu anabugia.morogoro matunda.hiyo.mixture plus shake bfor use ya.gari.mixture inakuja kureactNdomana kabla sijasafiri lazima nimeze flagyly a subuhi silikitu ikifka mida ni mwendo wa bites bites tuu clips au biskut na juic had nafika [emoji4] [emoji4] [emoji4] sjawah haribu safarini
Hiki kituko ndo funga kazi nmecheka mpaka machozi sipati picha timbwili lilivyokuaMtaniua leooo kwa vituko nyie watu,,mimi navyoogopa nyoka ningekufwaa tena chatu jamani
Yaan naomba isije tokea mtu akasafiri na nyoka kwenye basi tutapata ajali kwa jinsi ntakavyorukaHiki kituko ndo funga kazi nmecheka mpaka machozi sipati picha timbwili lilivyokua
Hakuna mdudu namuogopa hapa duniani kama nyoka.aisee nikimuonaga mwili unasisimka.hata kama kafaYaan naomba isije tokea mtu akasafiri na nyoka kwenye basi tutapata ajali kwa jinsi ntakavyoruka
Nilishaitubu hio zambi boss[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnautani na nyimbo za MUNGU.
Nilishaitubu hio zambi boss[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnautani na nyimbo za MUNGU.
HahahaHakuna mdudu namuogopa hapa duniani kama nyoka.aisee nikimuonaga mwili unasisimka.hata kama kafa
Mimi niliwaacha wafanye nilichafua vyoo vyote viwiliSitasahau nilivyotapika kwenye Bombadier. Usiku wa kabla ya safari nilienda mitaa fulani pale Kigoma nikala kuku wa kuchoma wa kienyeji kama nusu hivi. Sasa wakati nasafiri nilikuwa naumwa Malaria kali. Basi nikawa najisikia vibaya sana kama kutapika. Tuko angani juu ya Tabora nikabanwa. Ikabidi nikimbilie chooni kutapika kwenye sinki. Nimetapika ile mbaya yule air hostes akaniambia nitapikie kwenye sinki la choo. Ile kutapika matapishi yakatoka kama bomba mvua. Choo chote cha kwenye Bombadier kikawa kimechafuka sana. Ikabidi baada ya kumaliza nianze kupiga deki choo cha kwenye Bombadier. Nikaosha kuanzia sinki la kunawia mpaka sinki la choo na ile sakafu maana niliona aibu kuwaachia wale wahudumu wafanye ile kazi.
Kwa kweli, I had a very terrible flight.
Mimi ndizi tuiNdo maana nikienda safar ya masaa 12 huwa nakunywa soda moja au mbili,crips au apple pekee maana tumbo langu nalifahamu nikikosea kidogo tu ni shida
Hahahaha vyangu bahati nzuri vilikua sehemu salama mkuu.Hahaha kitambulisho chako kilipona mkuu?maana kuna wengine wanatoa kitambilisho huku wanakiziba ziba na kurudisha fasta kumbe cha vidudu
Eeeh jamani nikipiga picha nacheka mpaka mwishoSasa hii naikumbuka kipindi bado nasoma,siku hiyo tulikuwa tunatoka kkoo tuaelekea mwenge kipindi hicho kuna vipanya,bac pale kituon ilitubidi tusubiri gar lijae kwanza ndio sie tupande ikawa hivyo,gari likajaa nasi tukapanda tukakaa siti za wanafunzi mbele pale kabla gar halijaanza kuondoka akaja mzee kabeba kiroba kama cha unga hivi juu kimefungwa kamba ya katani ,akaingia kaweka kiroba chake chini yeye alisimama ,safar ikaanza telipofika fire pale balaa likaanza kumbe kwenye kiroba mle mzee alibeba chatu ,ile kamba aliifunga vibaya sijui kusudi chatu si akatoka mle kwenye kiroba,akaanza kuzurura mle ndan watu hatuna habari kumbe mwenzangu alianza kumuona akauchuna ,chatu kazurura mpaka siti ya nyuma kabisa akataka kupandisha kwenye siti abiria wa nyuma wakamuona hapo ndio tunataka kushuka kimteremko cha jangwan ,nikasikia kelele mamaaa nyokaaaaa purukushani gari zima wanyuma wote wakaja mbele sasa kigar kidogo tumebana mpaka konda kabanwa watu fungua fungua konda analalamika mmebana sogea kidogo ,kule nyuma chatu kapanda kwenye siti dude linaonekana lote asee ilikuwa hapatoshi dereva akasimamisha gari barabarani ,tulifurumuka madirishan kama kumbikumbi wengine wakatokea mlango wa mbele kidogo tusababishe ajali maana magar mengine yalikuwa yanakuja nyuma yetu bac barabara ikapata folen ghafla ,tulipokuwa nje yule mzee akawa na wasihi watu tulieni afanyi kitu hapo kila mtu na upande wake dereva na konda eakawa wanamfikea we mzee mchawi nn mtoe nyoka wako, sisi hapo tupo kama mita nane hivi yule mzee akaingia akatoka kamshika anamwambia konda nishikie kiroba nimuweke konda nduki na dereva wake kila upande anaogeukia kuomba mtu wa kumshikia kiroba watu wanakimbia,joka kubwa akafanikiwa kuliweka kwenye kitoba konda akawa anawaita watu rudini tuondoke kuna mtu alikubali unadhan yule mzee alizuiwa asipande tena kwenye gar lkn hakuna alierudi tena wengi wetu tulikuwa tunarud tena kkoo kwa mguu tumalalamika bora nipande gari lingine lile sipandi ikawa hivyo yule mzee cjui alitokomea wapi na joka lake sie tulirud mpaka fire tukapanda gar lingine
Hao ndio wale wanaotumia mtandao pendwaNakumbuka nilikuwa natoka arusha - dar nilishuhudia mrembo sista duu kwelikweli mweupeee..akiaribu ndani ya basi
maskini ya mungu sijui alikuwa amepata tumbo la kuhara yule bahati nzuri aliharibu karbu na mombo hotel, ikabidi basi liingie hotel pale, ndo akaenda kujiswafi pia kuna mwanadada alijitolea kumuazima skirt nyingine.
Jeans aliyokuwa amevaa sijui aliitupia wapi maana alivyorudi kwenye bus hakuibeba. Akajiinamia kwenye kiti mpaka tunafika kimara,. Yani hadi huruma
Dah ilikuwa ni aibu kwelikweli