Huu utoto mwingine, kutoboa/kuchomoka kimaisha hakutegemeani na akili kubwa wala ujanja ujanja mzee,rekebisha ufahamu wako. Nilitaka nisikujibu.Ukiwa na akili kubwa UDSM pana chances kubwa za kuchomoka kimaisha, kinyume na hapo lazima utapachukia.
Ukaendelee kulima.na mimi mwenye 2.3 nifanyeje?
Chuo cha kata kina sifa gani ?Kama hujui. Vichwa wa Udsm ndio wameenda kuweka misingi ya kuamsha vyuo vya kata kama Udom et al.
Honours inapatikana kwa ambao wanapiga GPA kwa ascending order.
Graph yako isome kwa style hii: 3.5 , 3.7, 3.8, 4.0, 4.2,4.3! hapa unakula jiwe kwa heshima.
Sio: 4.5, 4.1, 4.2, 3.4, 3.1, 3.6, 3.5!
Hapa unaonekana mzinguaji! Hupewi honors.
sijajua kwa nini huyo jamaa hawakumchukua, lakini udsm huwa wanawachukua sana watu waliosoma vyuo vya uk na usa kama wahadhiri na pia India vyuo vinavyoeleweka huwa wanachukuliwa sana, kwa hapa Tanzania udsm huwa wana imani na products za SUA tu ambao wengi utawakuta kule conas...vyuo vingine mfano muhitimu wa saut umpeleke kufundisha udsm atajikuta yeye ndiye anafundishwa kutokana na nature ya wanafunzi wenyewe.Ukijoin master's pale ukiwa na GPA ya 3.8 unaanza ka tutorial assistance Sasa hao wengine hata assignment za kawaida huwa zinawashinda wengine kupata supplementary kabisa, na wengi ufaulu huwa below so hawachukuliwi next step maana GPA haijafika na sio kuonewa huwa fair.
Pia chuoni huwa Kuna ukabila flani na kubebana GPA kwa watu wanaowataka hata kufaulishwa Kuna department unakuta wahaya tu, au Kanda flani basi watafaulisha watu wachache kiupendeleo ili wabaki.
Nadhani huyo wa MIT wivu tu uliwasumbua wakaamua kumchinjia baharini, in short udsm Kuna Mambo yawapasa kubadilika sio kukumbatia conservative tu siku zote.
Umeandika kweli mtupu Kuna mmoja alitoka SAUTi first class akachukuliwa u totorial assistance Mambo yakamshinda na akakamatwa supplementary za kutosha tu, ndo akakosa nafasisijajua kwa nini huyo jamaa hawakumchukua, lakini udsm huwa wanawachukua sana watu waliosoma vyuo vya uk na usa kama wahadhiri na pia India vyuo vinavyoeleweka huwa wanachukuliwa sana, kwa hapa Tanzania udsm huwa wana imani na products za SUA tu ambao wengi utawakuta kule conas...vyuo vingine mfano muhitimu wa saut umpeleke kufundisha udsm atajikuta yeye ndiye anafundishwa kutokana na nature ya wanafunzi wenyewe.
OkayNitakutafuta sehemu sehemu tuyajenge
Hata Mimi nashangaa, wakati huo ni utani tu wa kusogeza mda, Tena Ud kuitwa jalalani walifurahi kweliUdsm ilipoitwa jalalani , alumni wa udsm hawakuhamaki ila jamaa zetu wakiambiwa wanatoka vyuo vya Kata watalalamika kila mahali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asante kwa kunikosoa. NitajirekebishaHuu utoto mwingine, kutoboa/kuchomoka kimaisha hakutegemeani na akili kubwa wala ujanja ujanja mzee,rekebisha ufahamu wako. Nilitaka nisikujibu.
Pili, ulitakiwa ujue kwanini naichukia UDSM, miongoni mwa vitu vilivyo nifanya niichukie ni mfumo na kile tulichokuwa tunasomeshwa.
Kama sababu inaweza kua hiyo sidhani kama ni sababu toshelezi sana. Vp wameshawapima pia output zao kama wanatoa matokeo chanya sana baada ya kumaliza?
Nadhani kuna tatizo hapo UDSM make siyo masomo tu bali adi kazi naona kujuana kumekua kwingi sana. Mimi nadhani kwasababu ya kuacha watu waliosoma pamoja kurundikwa sehemu moja kama wahadhiri hapo UD then wanakosa challange sana.
Tokea wamnyime jamaa yangu aliyesoma degree ya kwanza Michigan..Masters Newcastle na PhD Michigan bila ya kumwita ata kwenye usaili kisa wanamtaka ndugu wa mhadhiri wa hapo.
Cant you take a joke ?Chuo cha kata kina sifa gani ?
Good for himNdio aliyoipata mh Rais Mstaafu JK
Nahisi kwa sahivi kama kuna urahisi flani. Kuna jamaa kama watatu hivi nawafaham wanasoma Harvard na MIT.Wewe ni muongo,,, weka wazi kwa majina Wataje.. vyuo vya usa hasa states university havitoi ufadhili bila sababu maalumu.. sababu vinaendeshwa kwa tax payers money wa hiyo state.. marekani hata ukiwa from out of state unalipia ada kubwa kuliko in state resident.. taja hao watu waliopata ufadhili marekani kisha wakaja kuajiriwa TGS,
Wachezaji wanawapa scholarships sababu college sports in USA ni multi billion dollar industry.. inaleta profit kubwa sana kwa university ndio maana zimejaa scholarships za michezo.. na vyuo vikuu vyao vina viwanja vikubwa na vya gharama kuliko uwanja wa taifa.. mfano uwanja wa timu ya football ya university of michigan ni mkubwa kuliko old traffold uwanja wa mancheter utd.
Acha uongo.. taja huyo aliesoma michigan alisoma kwa scholarship gani.. ama hao walioajiriwa TGS
Kina martin chegere waulize wakwambie ugumu wa vyuo vya marekani kupata scholarship
Nahisi kwa sahivi kama kuna urahisi flani. Kuna jamaa kama watatu hivi nawafaham wanasoma Harvard na MIT.
Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi.Havard sio public university.. ni private university. Havard haijiendeshi kwa kutumia tax payers money kama states public schools kama university of michigan..
Kupata scholarship ivy league university kama havard, yale, princeton etc inawezekana sana kwa international students kiurahisi kuliko kupata scholarship kwenye states public universities..
Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi.
Shida katika elimu yetu unahisi ipo wapi?
Hivi kwanini Hawa update syllabus kila baada ya like ten year's Kuna mkufumzi chuoni daftari lake akiwa anasoma master's miaka ya 70 mpaka leo anatumia Hilo Hilo kufundishia wakati a lot have changed.Shida ipo kwenye sylabus.. nikiseto hapa hapa nitaedit na kukuwekea masomo ambayo mwanafunzi wa sekondari usa. Anasoma.. kisha utalinganisha utajua wanatuacha wapi
Bila shaka kiongozi.Shida ipo kwenye sylabus.. nikiseto hapa hapa nitaedit na kukuwekea masomo ambayo mwanafunzi wa sekondari usa. Anasoma.. kisha utalinganisha utajua wanatuacha wapi
Kama ni History haina shida.Hivi kwanini Hawa update syllabus kila baada ya like ten year's Kuna mkufumzi chuoni daftari lake akiwa anasoma master's miaka ya 70 mpaka leo anatumia Hilo Hilo kufundishia wakati a lot have changed.