Bwana nyigo ulichukua mkopo??Nimemaliza chuo mwaka jana imefika wakati n nimeamin mtaji ndo changamoto kwangu lkn nikahisi bank anaweza kuwa mkombozi wangu lkn kwa uzi huu nimekuwa mwoga ghafla mpaka kichwa kinaniuma dah
hahaa, hii hatari sasa itakua anauwazia huo mkopo,mpaka anaotaKuna mshikaji ni mtu wangu wa karbu mwez uliopita kavuta mkopo benk flan hv,,,sasa now hana kila kitu,,juzi kati tupo nae mzgon night,,kaamshwa toka usingizin kakurupuka anataja jina la ile benki,,dah mkopo bila malengo ni shida tupu
Ndio,,anawaza huo mkopo,,na ndio kwanza ana mwez wa pl tu toka amechukua mkopo huo,,,ana safari ya miezi 36 mbele,,hahaa, hii hatari sasa itakua anauwazia huo mkopo,mpaka anaota
Aisee,mbona atakonda sasa maana 3 yrs si mchezo, pole yake kwakweliNdio,,anawaza huo mkopo,,na ndio kwanza ana mwez wa pl tu toka amechukua mkopo huo,,,ana safari ya miezi 36 mbele,,
Aisee,mbona atakonda sasa maana 3 yrs si mchezo, pole yake kwakweli
hahaa, kama alivyopambana kuitumia hiyo pesa ya mkopo mpaka ikaisha.pole yakeeNgoja apambane na hali yake tu.
Hahahha ndio mkuu,,,asante kwa ajili yake.hahaa, kama alivyopambana kuitumia hiyo pesa ya mkopo mpaka ikaisha.pole yakee
Inapatikana wapi hyo elimu mkuuKukosa elimu ya pesa kunatugharimu sana ktk maisha. Tutafuteni elimu ya pesa kwa juhudi sana.
Juzi kati tu hapo nimevuta milioni 5 na mpaka sasa ishaisha na sioni cha maana nilichofanyia.Nakatwa 800K kwa mwezi kwa mwaka mzima ila nashukuru ni mkopo wa ofisini hauna riba.
Nilikopa kabla ya kufanya tathmini nzuri ya biashara nikajikuta naipeleka kwenye mambo ambayo hayakuwa priority so nimejifunza kitu.
Ndio,,anawaza huo mkopo,,na ndio kwanza ana mwez wa pl tu toka amechukua mkopo huo,,,ana safari ya miezi 36 mbele,,
Fanyeni namna mumsaidie bana [emoji16][emoji16][emoji16]Aisee,mbona atakonda sasa maana 3 yrs si mchezo, pole yake kwakweli
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mshikaji ni mtu wangu wa karbu mwez uliopita kavuta mkopo benk flan hv,,,sasa now hana kila kitu,,juzi kati tupo nae mzgon night,,kaamshwa toka usingizin kakurupuka anataja jina la ile benki,,dah mkopo bila malengo ni shida tupu
Kabla hajachukua huo mkopo,,alikuwa ana mipango mingi sana,,aise baada ya kuchukua zile plan zote zikawa ndoto
Ha ha ha sasa hv kaweka bond atm card yake,,analife gumu sana kipind hk isitoshe hata mwaka hajamaliza,,ameanza kuwazia kuchukua top up tena,,inatia huruma bro,lkn ndio maisha nafikili kwa hl atakuwa kapata funzo tyl
Aachane na top up aisee.Ha ha ha sasa hv kaweka bond atm card yake,,analife gumu sana kipind hk isitoshe hata mwaka hajamaliza,,ameanza kuwazia kuchukua top up tena,,inatia huruma bro,lkn ndio maisha nafikili kwa hl atakuwa kapata funzo tyl
Sent using Jamii Forums mobile app