Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Dah....una mtu? [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji14]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] navuta picha ulivokua unakula na hilo sinia lako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila wakat mwengine hata sie wageni tuna tabu zetu!
Kuna lindugu lake faza la kike
Age kama 25 lilikuja home litafutiwe kazi na mzee
Kufika likawa linamnyenyekea maza kumbe ki unafiki
Lilipopata kazi likawa halimsemeshi maza
Kila muda limenuna tu

Home kwao linasema linanyanyaswa na maza.lilipotoka home likaolewa nasikia saivi linaishi maisha ya shida sana.
 
same here...mama alinisimulia nlipokua mdogo alipata shida ya macho ikabidi arudi kwao,mama wa kambo na ndugu zake waliyomtenda yaani nimejikuta nawachukia naturally hata nijitahidi vipi kufake nashindwa walah!!!
 
Watu kama nyie mnavunja moyo watu wenye moyo kusaidia ndugu! Kifupi naishi na ninasomesha wadogo zangu 2 na mtoto wa dada 1 maana ktk ukoo mimi ndio niko hapa town, so wakimaliza primary huwa nawachukua baadhi nakuwatafutia shule nzuri ili nao baadae mambo yawe safi...! Nimesoma post yako na baadhi ya coment nimevunjika moyo aisee! Inawezekana nadhani ninasaidia ndugu zangu kumbe baadae nikalaumiwa kama coment nyingi zinavyoonesha hapa! Ee Mungu nisaidie nisipoteze urithi wa wanangu kusaidia watu wasio na shukurani!
 

Mambo ya kuhusu TV chogo nyuma ili kuangalia kam iliwashwa sehemu nyingi sana hata mdingi alikua na michongo hii!!!
 
Watu wako tofauti mkuu. Cha msingi fanya unachofanya kwa moyo mmoja na usitegemee kushukuriwa. 1/10 ndo hushukuru kwa matendo.
Pray for the best but expect the worst.
 
Watu wako tofauti mkuu. Cha msingi fanya unachofanya kwa moyo mmoja na usitegemee kushukuriwa. 1/10 ndo hushukuru kwa matendo.
Pray for the best but expect the worst.
Umesema kweli mkuu, na ukifatilia hao wanaofanikiwa baada ya kulelewa/kusaidiwa na ndugu wengi wao hawanaga moyo wa kusaidia hata ndugu zao!
 
Haya maisha noma sana. Uncle alituambia kesho tukamsaidie jirani yake kuvuna mpunga. Hakuna kitu nilikuwa nachukia kama kulima. Nipe kazi zote lakini sio shamba. Mimi nikajitia nunda sikwenda. Nikapiga tu kazi za home fresh. Hakuniambia mimi, akampa salam mkewe. Nashangaa aunt ananambia uncle kasema hanipi pesa ya tution. Nikasema poa. Bahati nzuri hajawahi kunipa hata pesa yake. Tulikuwa tunakomaa na mkewe kupiga mishe pesa nilikuwa napatia humo bahati nzuri alikuwa ananikubali kwa utendaji kazi. Jamaa alikuja kupigwa chini job sasa hivi choka mbaya. Ila maisha mungu fundi
 
Aisee nakumbuka kipindi kile nasoma A level ,basi bwana likizo moja nikaenda kumtembelea bro yangu(mtoto wa baba mkubwa) alikuwa anasoma chuo Dsm, nimekaa wiki ya kwanza ,wiki ya pili nikagundua bro ana mahusiano na demu wangu niliyemuacha nyumbani,kila akifika mida ya saa 6 usiku bro alikuwa anatoka nje then anaanza kuongea na huyo demu ,nilikuja kugundua nilipokuta call history kibao kwenye cm yake ,sikutamani tena kuendelea kukaa pale,nilitoka ghafura likizo nikaenda kuimalizia home,ama kweli kikulacho ki nguoni mwako
 
Tena ukawa unakula huku majasho yanakutoka[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hujawahi kukutana na walimu watata ambao wamewadhibiti wanafunzi wanaojifanya wana harakati.

Na kama huna speaking skills nzuri,unadhibitiwa hadi unajuta.
 
hahaaaaaa nilianza kukuonea huruma ili huku mwisho nimecheka sana aisee, ila huyo ndugu vipi kuhesabu nyama?? tobaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…