luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Sec nilikuwaga nikifunga shule nikakaa kwa ndugu wa mama maana nisingeweza kwenda home kutokana na umbali, basi ikabidi likizo fupi niwe naenda huko.
Mm by nature napiga kazi zote za nyumbani bila msaada wa MTU, mama mdogo alikuwa anatuachia kazi Mimi na binti yake yeye anategea mm nazifanya mwenyewe.
Basi mama hiyo alinipenda sana binti yakee hicho kitendo cha mama yake kunipenda hakikumfurahisha.
Siku moja tumekaa tunapiga story na mama mdogo. Binti yake kamwambia hivi :
"mama unavyompenda luckyline akinya ma.vi kwenye sahani unaweza kuilia chakula bila kuiosha"
Jamani nilijisikia vibaya mpaka nikalia.
Nyingine nilikuwa nikifunga basis on kitoka chuo naenda kwa kaka ila WiFi yesu kwangu, kaka akisafiri tunakila ugali dagaa asubuhi na jion, na hapo mm nilikuwa sijazoea ugali bora hata sasa hivi naupenda, nilipata taabu sana. Ila.kaka akitoka safari tunakula kuku balaaa
Na kaka alikuwa na uwezo so alikuwa anaacha hela ya kutosha ila Wifi duh. Kwa sababu nilikuwa chuo na Nina pesa yangu Siku moja nikamwambia mm WiFi ugali asubuhi jioni siwezi nashindwa kwenda choo, Siku hiyo nikisema anaona aibu anatoa.Mchele.
Siku moja ugali ulishinda akasema Tule na jion, nilimwambia mm sili naenda hotelini, nikambeba mtoto wake tukaenda tukala tukarudi nikakuta kavuta mdomo.nikamwambia sirudi hapa wewe ndo unanipigia nije hapa nikija inanitesa wakati vyakula vipo sirudi tena. Akasema nisimwambie kaka. Sikurudiga tena.
Nilivyomuuliza mfanyakazi akasema ndugu wa mwanaume wakija ni ugali non stop.nfyuuuuuuuuuu natamani Siku moja aje kwangu nimpikie bonge LA msosi nimkomeshe.
Mm by nature napiga kazi zote za nyumbani bila msaada wa MTU, mama mdogo alikuwa anatuachia kazi Mimi na binti yake yeye anategea mm nazifanya mwenyewe.
Basi mama hiyo alinipenda sana binti yakee hicho kitendo cha mama yake kunipenda hakikumfurahisha.
Siku moja tumekaa tunapiga story na mama mdogo. Binti yake kamwambia hivi :
"mama unavyompenda luckyline akinya ma.vi kwenye sahani unaweza kuilia chakula bila kuiosha"
Jamani nilijisikia vibaya mpaka nikalia.
Nyingine nilikuwa nikifunga basis on kitoka chuo naenda kwa kaka ila WiFi yesu kwangu, kaka akisafiri tunakila ugali dagaa asubuhi na jion, na hapo mm nilikuwa sijazoea ugali bora hata sasa hivi naupenda, nilipata taabu sana. Ila.kaka akitoka safari tunakula kuku balaaa
Na kaka alikuwa na uwezo so alikuwa anaacha hela ya kutosha ila Wifi duh. Kwa sababu nilikuwa chuo na Nina pesa yangu Siku moja nikamwambia mm WiFi ugali asubuhi jioni siwezi nashindwa kwenda choo, Siku hiyo nikisema anaona aibu anatoa.Mchele.
Siku moja ugali ulishinda akasema Tule na jion, nilimwambia mm sili naenda hotelini, nikambeba mtoto wake tukaenda tukala tukarudi nikakuta kavuta mdomo.nikamwambia sirudi hapa wewe ndo unanipigia nije hapa nikija inanitesa wakati vyakula vipo sirudi tena. Akasema nisimwambie kaka. Sikurudiga tena.
Nilivyomuuliza mfanyakazi akasema ndugu wa mwanaume wakija ni ugali non stop.nfyuuuuuuuuuu natamani Siku moja aje kwangu nimpikie bonge LA msosi nimkomeshe.