Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Sec nilikuwaga nikifunga shule nikakaa kwa ndugu wa mama maana nisingeweza kwenda home kutokana na umbali, basi ikabidi likizo fupi niwe naenda huko.
Mm by nature napiga kazi zote za nyumbani bila msaada wa MTU, mama mdogo alikuwa anatuachia kazi Mimi na binti yake yeye anategea mm nazifanya mwenyewe.

Basi mama hiyo alinipenda sana binti yakee hicho kitendo cha mama yake kunipenda hakikumfurahisha.

Siku moja tumekaa tunapiga story na mama mdogo. Binti yake kamwambia hivi :
"mama unavyompenda luckyline akinya ma.vi kwenye sahani unaweza kuilia chakula bila kuiosha"

Jamani nilijisikia vibaya mpaka nikalia.

Nyingine nilikuwa nikifunga basis on kitoka chuo naenda kwa kaka ila WiFi yesu kwangu, kaka akisafiri tunakila ugali dagaa asubuhi na jion, na hapo mm nilikuwa sijazoea ugali bora hata sasa hivi naupenda, nilipata taabu sana. Ila.kaka akitoka safari tunakula kuku balaaa

Na kaka alikuwa na uwezo so alikuwa anaacha hela ya kutosha ila Wifi duh. Kwa sababu nilikuwa chuo na Nina pesa yangu Siku moja nikamwambia mm WiFi ugali asubuhi jioni siwezi nashindwa kwenda choo, Siku hiyo nikisema anaona aibu anatoa.Mchele.

Siku moja ugali ulishinda akasema Tule na jion, nilimwambia mm sili naenda hotelini, nikambeba mtoto wake tukaenda tukala tukarudi nikakuta kavuta mdomo.nikamwambia sirudi hapa wewe ndo unanipigia nije hapa nikija inanitesa wakati vyakula vipo sirudi tena. Akasema nisimwambie kaka. Sikurudiga tena.

Nilivyomuuliza mfanyakazi akasema ndugu wa mwanaume wakija ni ugali non stop.nfyuuuuuuuuuu natamani Siku moja aje kwangu nimpikie bonge LA msosi nimkomeshe.
 
KUNA TWO SCENARIOS!
Baada ya wazazi kufariki, mimi na mdogo wangu tulichukuliwa na baba yetu mkubwa!
Life wasn't tht okey but Yatima hadeki ujue! maisha yakasonga!
Siku moja ilikuwa mkesha wa pasaka, mdogo wangu na watoto wa baba yangu mkubwa (walikuwa wakubwa zaidi yangu)
Wakaenda kanisani mkesha! mi nilikuwa naumwa sikutaka kusali usiku.
Walikuwa wadada watatu,Mmoja akaona ndio wakati wa kwenda kuchachua ,wanarudi nyumbani bila yeye!
Baba yangu mkubwa anamfokea mdogo wangu(ninayemzidi miaka 5, anaaambiwa arudi alikotoka na asirudi mpk atakapompata yule asiyerudi home). Yule baba alifunga mlango ,nje bariki kali nyumba ipo milimani flan hvi!He was asthmatic, hata kama asingekuwa asthmatic ,how on earth unamwambia mwingine asilale mpk aliyeenda kwenye starehe zake arudi!
Nilikaa ndani kama nusu saa hivi nikiwa nalia!
Nilipotoka nilienda subeleni unapokaa funguo haukuwepo!means ameingia nao kulala!
Nilliingia jikoni nikachukua shoka lile nafikir ,Nililinyanyua juuu kushuka chini kishindo kiliamsha mpk sisimizi!
wakaamka, ananitishia kunipiga!NIKAMWAMBIA NEXT STEP AFTER WHERE YU ARE NAKUPASUA!

nilifunguliwa mlango nikamfuata mdogo wangu alipo nikamwingiza ndani!
kesho yake asbh kabla hajasema ondoka au baki nilikuwa nje na mabegi na mdogo wangu namwambia tunarudi kwenye nyumba ya wazazi!

2. Huko kwenye nyumba ya wazazi alikuwepo mama yetu mdogo na wanae!
NAKO MAISHA YALIKUWA YA KIWEHU TU KWA DOGO!!
huko nilifukuza mimi!
Nikamwambia unajua nini, HII NYUMBA NI YA MAMANGU, isingekuwepo wewe ungekuwa unalipa kodi!
SASA FANYA HIVI!
NAENDA KUMALIZA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA! nikirudi uwe umetafuta pa kukaa!
ilikuwa ni likizo ya mwezi wa nne ,pepa ya necta mwezi wa tano!
Niliporudi nilimkumbusha!
MPAKA KESHO I AM THE LAST PERSON KWENYE FAMILIA KUAMBIWA TAARIFA YOYOTE INAYOHITAJI MAAMUZI YA PAMOJA

so sad bro maelezo yako mafup ila yamenifanya nitoe choz mzee nna asthma naelewa hyo situation
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah umenikumbusha mbal sana nilikua kwa uncle wangu kw mda nikaenda kulala chumba ambacho analala mtoto wak asubuh mama mtu alifungua mlango dah ctosahau alinitoa umo chumbani kama mbwa eti nitamfunza mwanae tabia za kihuni kama kuvuta ngada dah nltok nduki ctorud tena
mkuu sema unaonekana sura ako imeka kula vile vitu sana.ndo maana maza hausi akakutimua chumba cha mwanae
 
Nilikaaga kwa ndugu kipind nasoma!sio ndugu wa karibu saaaaana! Nilichokuwa nakifanya...nilikuwa nafanyakazi km punda hata kule kwetu ckuwa nafanya! Naamka alfajiri nawasha mashine yakufua naanza kufua nguo, machine inaendelea kufua nafanya kaz za ndani, kuaandaa chai ya asbh n.k na kaz nyingine zote nikilala usiku km punda nmechoka + watoto! Mama mwenye nyumba kiguu na njia!
Cku nikifunga shule nakwenda kwetu,shule zikifunguliwa cku ntayoingia ile nyumba naanza na usafi jikoni store ambapo huwa nakutana kumeoza! Yule mama alikuwa Ana chukichuki na watu lkn alkuwa ananipenda ajabu! Akirud safar zake anakuta mambo yote yapo sawa! Lazma huwa anibebee zawadi pesa alinipa n.k! Alifurahia uwepo wangu hata watoto wake walinipenda Sana,!
Nilipomaliza form six alinizawadia cheni ya dhahabu hereni na Pete! Ckuamini!
Jaman hakuna MTU dunia ya sasa anaetaka kukaa na MTU..hata ndugu hawatakani! Tunapokaa na watu inabd tu tujitutumue tujipendekeze ilimradi tusichokwe!
MTU anaenda kukaa ugenini labda anasoma n.k unaleta uvivu jeuri kiburi yaan hapo lazma uchokwe!
Mschna unaenda ugenini unalala masaa yote..ukiamka kaz zote zmefanywa mpaka chai umeandaliwa! Aibu...hata km hakuna kazi..amka tuu! Jifanyishe kitu chochote kile..omba hata viguo ufue tuu utathaminiwa!
Tusilalamike kufukuzwa kuteswa kumbe sisi wageni ndio wenye shida! Japo kuna case nyingine ziko tofaut kidogo
Hii siri wengi wameipita hata like moja hawajakupa.. Nakupa like 100 kwa mchango huu
 
Hahahaa, Uzi murua sana huu.

Mimi nilifukuzwa kwa Akili sana.
Ilikuwa nikwandugu angu Tena ni baba mdogo I mean mdogo wake na Father Mzazi wangu,Enzi hizo napiga Chuo kikuu hapo kwa makonda ,kilichonifanya kwanza nikae hapo kwa ndugu ni kwamba siku natoka kijjn kwetu naenda Chuo mwaka wa kwanza sem ya kwanza sikufikia chuo ila nikafikia kwa huyo ndugu, nilikaa kwa muda kama mwezi mmoja na hii ni kwasababu Chuo na hapo kwa ndugu ilikuwa ni mwendo w dkk 10 ushafika chuo so sikuwa na sababu ya kutosha kuchomoka hom nikapange, kuna muda ilifika nikamwambia mwenyeji wangu kuwa nataka nitafute chumba mtaani, akanizuia akisema chuo ni kalibu mno sasa unataka utoke uende wapi sehemu ingine iliyo kalibu zaidi ya hapa, nilikosa cha kujitetea ikabidi nitulize ndigiri zangu, trera lilienda likaenda ikaja kufikia kama miezi saba ivi badae nikawa naambiwa niwe najitahidi nakuja na chakula I mean kama mchele , Unga , mboga mboga n.k cha kuliwa na binadamu.
Hii haikuwa na maana kwamba Mzee hakujiweza kuhudumia family, hapana family kwanza ilikuwa ndogo sana na Mzee alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa sana, swala la chakula hapo kwake haikuwa issue hata kidogo, ila hali ilibadilika ikawa ivo natakiwa , angalau kwa wiki niwe nanunua chochote kile kuchangia msosi hapo home, sikumkatalia wala kuhoji chochote ila nilijumlisha na za kuzaliwa ikawa ivo na mm bumu nikipata naleta hapo homu tunakula, ikaenda ikaenda taktaka nyingi sana hapo katkt zilitokea, Mara Mzee anakuja amekunywa bia zake mbili huko kutafuta confidence ya kuja kunivuruga zaidi et mtu anarudi saa nane nightmare kanywa unakuta naww ushapiga mboji anagonga get unamfungulia ,anaanza kukupayukia Mara Maneno kibao Mara eti mpaka siku hiz mama yako kakonda anawaza family itakula nn ww upo tu, Maneno na taka taka nyingi bila sababu za msingi.
Nilichokifanyaga niliwasapliz kwa kuhama kimya kimya maana sikuwa na vitu vingi sana vya kuhamisha labda ni involvu kigali kunihamisha no ilikuwa simple tu, kimoja moja baada ya kingine tena kwa kutumia rusket ya mgongoni , nilivyomaliza niliwagaga kwa simu tu sikutagaka kuleta kelele sana, aliniasa sana kurudi but it was too late.

Note: kusema ukweli huwa naheshimu na kupiga salute kwa mtu yeyote yule ambae ashamake na kuwa na family yake yenye Furaha na Amani maana huwa natambua ni magumu mengi sana watu wanapitia mpaka kufika hapo walipo, Respect kwenu wadau mlio na Maisha.
I'm glad Mungu alinipambania na mm naenjoy maisha yangu , huwa napenda kutumia misemo kama "Binadamu hutesa kwa wakati, wakati pia utakuja nami Nitatesa na ikawa hivo" , Pia nilikuwa nikijisema mwenyewe kuwa "Mungu hajamuumbia binadamu shida siku zote, ipo tu siku atamsaidia na kumfanya ang'ae kama yalivyo mapenzi yake"

Nashukuru Mungu nilijifunza mengi, lkn niseme tu kuwa kwa wakati niliokaa pale sio tu mabaya yalinisibu Bali haya mema nayo yalikuwepo Mengi tu, nilijifunza japo sikujua kwa kipndi hicho ya kuwa hilo nalo lilikuwa ni darasa, lkn kwangu ile situation ilinifanya Niwe imara sana, Mungu aendelee kuijalia ile family ya huyo Mzee kwa kadri ya mapenzi yake.
 
Nilikaaga kwa ndugu kipind nasoma!sio ndugu wa karibu saaaaana! Nilichokuwa nakifanya...nilikuwa nafanyakazi km punda hata kule kwetu ckuwa nafanya! Naamka alfajiri nawasha mashine yakufua naanza kufua nguo, machine inaendelea kufua nafanya kaz za ndani, kuaandaa chai ya asbh n.k na kaz nyingine zote nikilala usiku km punda nmechoka + watoto! Mama mwenye nyumba kiguu na njia!
Cku nikifunga shule nakwenda kwetu,shule zikifunguliwa cku ntayoingia ile nyumba naanza na usafi jikoni store ambapo huwa nakutana kumeoza! Yule mama alikuwa Ana chukichuki na watu lkn alkuwa ananipenda ajabu! Akirud safar zake anakuta mambo yote yapo sawa! Lazma huwa anibebee zawadi pesa alinipa n.k! Alifurahia uwepo wangu hata watoto wake walinipenda Sana,!
Nilipomaliza form six alinizawadia cheni ya dhahabu hereni na Pete! Ckuamini!
Jaman hakuna MTU dunia ya sasa anaetaka kukaa na MTU..hata ndugu hawatakani! Tunapokaa na watu inabd tu tujitutumue tujipendekeze ilimradi tusichokwe!
MTU anaenda kukaa ugenini labda anasoma n.k unaleta uvivu jeuri kiburi yaan hapo lazma uchokwe!
Mschna unaenda ugenini unalala masaa yote..ukiamka kaz zote zmefanywa mpaka chai umeandaliwa! Aibu...hata km hakuna kazi..amka tuu! Jifanyishe kitu chochote kile..omba hata viguo ufue tuu utathaminiwa!
Tusilalamike kufukuzwa kuteswa kumbe sisi wageni ndio wenye shida! Japo kuna case nyingine ziko tofaut kidogo
Nimekuelewa sana nahisi tumeshabihiana sana. Hongera.
 
Haya mambo yanaumiza sana,KAMA HUJAWA TAYARI KUISHI NA MTU...BASI USIISHI NAYE MAANA UTAJILETEA LAANA ZA BURE. KUISHI NA MTU NA KUISHI KWA MTU NI VIPAJI.
 
Nilipokaa popote sijawahi kufukuzwa wala kuteswa zaidi nilikuwa mchapakazi na nilipendwa sana mpaka leo wananipgia simu mara kwa mara hata mimi nisipowakumbuka kuwapigia simu ila sio ndugu ni watu baki sijawahi kukaa kwa ndugu maana nishawahi kumwomba mmoja nikakae kwake kwa wiki 2 ili nijiandae na mtihani akanambia pamejaa na nafasi hakuna.
 
Nilipokaa popote sijawahi kufukuzwa wala kuteswa zaidi nilikuwa mchapakazi na nilipendwa sana mpaka leo wananipgia simu mara kwa mara hata mimi nisipowakumbuka kuwapigia simu ila sio ndugu ni watu baki sijawahi kukaa kwa ndugu maana nishawahi kumwomba mmoja nikakae kwake kwa wiki 2 ili nijiandae na mtihani akanambia pamejaa na nafasi hakuna.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] eti pamejaa hlf unajisifu
 
Back
Top Bottom