Tuliowahi kufukuzwa shule au kusimamishwa shule tukuje hapa

Tuliowahi kufukuzwa shule au kusimamishwa shule tukuje hapa

Uje umalize Mzee?
Mkuu aliusoma mchezo wa walimu nini?
upo sahihi mzee,

Endeleaa,baada ya kuingia class na ticha big kupigwa mkwara na headmaster alijikuta kaishiwa mood ...akashindwa kufundisha akaenda staff. .....kumbe kuna ma spy walishausoma ule mchezo wa wale walimu kuhusu yule lucy na wakampa info mapema kabla ya tukio langu.so headmaster alikuwa anawatafutia pa kuanzia... so akaunganisha dot zake akaona hapa jumba bovu nimeangushiwa mimi ili kumkomoa lucy ndio maana hakuangaika na mimi.iliitwa meeting call ya staff wotee .sijui walizungumza nn.ila baada ya meeting walimu wakawa wa pole sana kwangu.ticha big baada ya week kadhaa naye alitemeshwa kazi. namshukuru sana yule headmaster alikuwa anajua kuishi na wanafunzi.alikuwa mzazi bora kabisa mwenye upendo japo ni mkali lakini alitusaidia kuwa watu wenye maadili mazuri.ila kiukweli damu yangu na yule mkuu wa shule ziliendana.hata anikute na kosa hakuwahi nichapa zaidi ya kunionya.hadi wengine wakawa wananitania eti babaangu.alikuja kuhama nakumbuka ile siku wanafunzi tulilia sana.tulimpenda kama baba yetu.popote ulipo mwl kilindo st.marks(2006) mwanao natamani nikuone nikupe shukrani zangu.nasikia alipanda cheo akawa afisa elimu mkoa wa morogoro hope now utukuwa juu zaidi ya hapo.Mungu akubariki
 
upo sahihi mzee,

Endeleaa,baada ya kuingia class na ticha big kupigwa mkwara na headmaster alijikuta kaishiwa mood ...akashindwa kufundisha akaenda staff. .....kumbe kuna ma spy walishausoma ule mchezo wa wale walimu kuhusu yule lucy na wakampa info mapema kabla ya tukio langu.so headmaster alikuwa anawatafutia pa kuanzia... so akaunganisha dot zake akaona hapa jumba bovu nimeangushiwa mimi ili kumkomoa lucy ndio maana hakuangaika na mimi.iliitwa meeting call ya staff wotee .sijui walizungumza nn.ila baada ya meeting walimu wakawa wa pole sana kwangu.ticha big baada ya week kadhaa naye alitemeshwa kazi. namshukuru sana yule headmaster alikuwa anajua kuishi na wanafunzi.alikuwa mzazi bora kabisa mwenye upendo japo ni mkali lakini alitusaidia kuwa watu wenye maadili mazuri.ila kiukweli damu yangu na yule mkuu wa shule ziliendana.hata anikute na kosa hakuwahi nichapa zaidi ya kunionya.hadi wengine wakawa wananitania eti babaangu.alikuja kuhama nakumbuka ile siku wanafunzi tulilia sana.tulimpenda kama baba yetu.popote ulipo mwl kilindo st.marks(2006) mwanao natamani nikuone nikupe shukrani zangu.nasikia alipanda cheo akawa afisa elimu mkoa wa morogoro hope now utukuwa juu zaidi ya hapo.Mungu akubariki
Mimi nilitokewa kupendwa na mkuu wa chuo nilikuwa najidai sana 😂😂😂
 
Nilikua shule Fran ya hovyo,nikampa ticha makonde,akavunjika mkono,Nika fukuzwa ila nilipewa kesi pia
 
Primary nimesoma shule 3! Secondary nimesoma shule 7! Mtihani sana suspension kama zote alafu nikaja faulu PCM[emoji1787][emoji1787] story ndefu sana! Kuna maticha niliokutana nao shule nyingine naenda kukutano shule nyingine! Hua nacheka sana nikikumbuka!
 
Primary nimesoma shule 3! Secondary nimesoma shule 7! Mtihani sana suspension kama zote alafu nikaja faulu PCM[emoji1787][emoji1787] story ndefu sana! Kuna maticha niliokutana nao shule nyingine naenda kukutano shule nyingine! Hua nacheka sana nikikumbuka!

Kumbe ndio maana siongei kitu tena [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe ndio maana siongei kitu tena [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1651884079.jpg
 
upo sahihi mzee,

Endeleaa,baada ya kuingia class na ticha big kupigwa mkwara na headmaster alijikuta kaishiwa mood ...akashindwa kufundisha akaenda staff. .....kumbe kuna ma spy walishausoma ule mchezo wa wale walimu kuhusu yule lucy na wakampa info mapema kabla ya tukio langu.so headmaster alikuwa anawatafutia pa kuanzia... so akaunganisha dot zake akaona hapa jumba bovu nimeangushiwa mimi ili kumkomoa lucy ndio maana hakuangaika na mimi.iliitwa meeting call ya staff wotee .sijui walizungumza nn.ila baada ya meeting walimu wakawa wa pole sana kwangu.ticha big baada ya week kadhaa naye alitemeshwa kazi. namshukuru sana yule headmaster alikuwa anajua kuishi na wanafunzi.alikuwa mzazi bora kabisa mwenye upendo japo ni mkali lakini alitusaidia kuwa watu wenye maadili mazuri.ila kiukweli damu yangu na yule mkuu wa shule ziliendana.hata anikute na kosa hakuwahi nichapa zaidi ya kunionya.hadi wengine wakawa wananitania eti babaangu.alikuja kuhama nakumbuka ile siku wanafunzi tulilia sana.tulimpenda kama baba yetu.popote ulipo mwl kilindo st.marks(2006) mwanao natamani nikuone nikupe shukrani zangu.nasikia alipanda cheo akawa afisa elimu mkoa wa morogoro hope now utukuwa juu zaidi ya hapo.Mungu akubariki
Mwalimu mkuu / Headmaster akihamishwa na wanafunzi wakamlilia abaki ujue kweli huyo alikuwa na upendo aisee. Wanafunzi huwa wanashangilia mwalimu mkuu anapohamishwa shule au kustaafu.
 
Mwalimu mkuu / Headmaster akihamishwa na wanafunzi wakamlilia abaki ujue kweli huyo alikuwa na upendo aisee. Wanafunzi huwa wanashangilia mwalimu mkuu anapohamishwa shule au kustaafu.
Kabisa kaka.alikuwa na upendo wa dhati kabisa.hadi akufukuze shulee basi ujue umeshindikana kila sehemu.na alikuwa anatujua wanafunzi wotee na wazazi wetu.alikuwa kichwa sanaa na mtu mwenye msimamo.namkumbuka sana huyu mwalimu
 
African

Mimi nilisimamishwa shule nikiwa form two kwa muda wa wiki mbili kule Iringa, shule ipo karibu na Lugalo ile ya Serikali jirani yake kuna shule ya private.

Nilisimamishwa kwa kosa la kumtukana mtu mbele ya darasa, mwalimu mmoja maarufu kwajina la Uhuchu alisikia kelele Class baada ya kuja akawa anatafutwa alieanza class wote wakasema mimi wakamtetea yule mpumbavu Zamwamwa, nilichukia sana.

Alianza nitukania mama yangu na mimi nikamjibu so nilichezea sana stiki nikaandikishwa barua kila ofisi nilikopelekwa walimu walikuwa hawaamini kama ndio mimi nimeanza tukana akaitwa mzazi wangu, akaja pale alipofika kapewa short story akaanza kulia, alikuwa ni mama kalia pale huku nachapwa.

Uhuchu huku akikazania kuwa huyu lazima afukuzwe shule, dah nilichukia sana.

Wewe mwezangu ulifanya kosa gani?
Nilifukuzwa baada ya kumla mke wa head master shule moja maarufu na baada ya hapo walimu walinishambulia kuwa nitafeli maisha now I'm
African

Mimi nilisimamishwa shule nikiwa form two kwa muda wa wiki mbili kule Iringa, shule ipo karibu na Lugalo ile ya Serikali jirani yake kuna shule ya private.

Nilisimamishwa kwa kosa la kumtukana mtu mbele ya darasa, mwalimu mmoja maarufu kwajina la Uhuchu alisikia kelele Class baada ya kuja akawa anatafutwa alieanza class wote wakasema mimi wakamtetea yule mpumbavu Zamwamwa, nilichukia sana.

Alianza nitukania mama yangu na mimi nikamjibu so nilichezea sana stiki nikaandikishwa barua kila ofisi nilikopelekwa walimu walikuwa hawaamini kama ndio mimi nimeanza tukana akaitwa mzazi wangu, akaja pale alipofika kapewa short story akaanza kulia, alikuwa ni mama kalia pale huku nachapwa.

Uhuchu huku akikazania kuwa huyu lazima afukuzwe shule, dah nilichukia sana.

Wewe mwezangu ulifanya kosa gani?
Nitakuchana nikifuturu
 
upo sahihi mzee,

Endeleaa,baada ya kuingia class na ticha big kupigwa mkwara na headmaster alijikuta kaishiwa mood ...akashindwa kufundisha akaenda staff. .....kumbe kuna ma spy walishausoma ule mchezo wa wale walimu kuhusu yule lucy na wakampa info mapema kabla ya tukio langu.so headmaster alikuwa anawatafutia pa kuanzia... so akaunganisha dot zake akaona hapa jumba bovu nimeangushiwa mimi ili kumkomoa lucy ndio maana hakuangaika na mimi.iliitwa meeting call ya staff wotee .sijui walizungumza nn.ila baada ya meeting walimu wakawa wa pole sana kwangu.ticha big baada ya week kadhaa naye alitemeshwa kazi. namshukuru sana yule headmaster alikuwa anajua kuishi na wanafunzi.alikuwa mzazi bora kabisa mwenye upendo japo ni mkali lakini alitusaidia kuwa watu wenye maadili mazuri.ila kiukweli damu yangu na yule mkuu wa shule ziliendana.hata anikute na kosa hakuwahi nichapa zaidi ya kunionya.hadi wengine wakawa wananitania eti babaangu.alikuja kuhama nakumbuka ile siku wanafunzi tulilia sana.tulimpenda kama baba yetu.popote ulipo mwl kilindo st.marks(2006) mwanao natamani nikuone nikupe shukrani zangu.nasikia alipanda cheo akawa afisa elimu mkoa wa morogoro hope now utukuwa juu zaidi ya hapo.Mungu akubariki
Safi Mungu anamipango yake, binadamu hawezi kuipangua, uliandikiwa kusoma na kumaliza hapo.

Watu wema wenye hekima bado wapo.
 
Back
Top Bottom