Ilikuwa huzuni lakini sikujali aisee lakini nahisi nilikia nina gundu tangu nikiwa vidudu maana niliwai kufukuzwa vidudu kisa nilikua na kiu na kumuita mwanafunz mwemzangu mshkaji nipe maji nikafukuzwa shule daah
Nilipofika darasa la tano nikaiitiwa mzazi na kutishiwa kufukuzwa shule kisa nilimpiga kichwa mwanafunzi mwenzangu akavimba nundu kubwa sana, walimu waliogopa sana.
Nilipofika form four nikasimamishwa shule kwa kosa la kupita panya road mwalimu akaniwekea sigara condom na bang na kusema siingi darasani nashinda vichakani navuta bang
Nilipofika form six kuna dada alikuwa ananipenda kumbe headmaster anamtaka daaah head master akanipa kazi ya kubeba magunia ya mkaa dakika tano kabla ya mtihani nikasita sita bwanaaa wee kumbe ndio najaaa akanitumbua.