Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Baby lock, mafundi magari ni sawa na mafundi electronics wanapiga hela za bure kutokana na watu wengi kutokuwa na ABC za vitu husika.Mara ya kwanza kumiliki gari baada ya miezi miwili hivi mlango wa nyuma kwa abiria ukawa haufunguki kwa ndani, basi siku nimeenda kufanya service ya gari, nikamwambia ilo tatizo fundi, nikaona anatabasamu tuu alafu akasema ngoja ampigie fundi wa umeme, fundi kaja kachokonoa kiana mara mlango ukawa fresh, wakanitoa upepo kidogo. Daaahh nilipokuja kugundua shida ilibidi nicheke tuu.
😄😄 Pale kwny juu ys kirungu kilikua Hakuna zile "stick shift vectors".?Mie niliendesha land Rover defender yenye gia sita,nilidhani ipo kama zingine gia no.1 unapeleka juu kumbe ni chini halafu juu ni reverse kilichotokea.....
Labda zilikuww zimefifia[emoji23][emoji23][emoji1][emoji1] Pale kwny juu ys kirungu kilikua Hakuna zile "stick shift vectors".?
[emoji23][emoji23]Mara ya kwanza,kabisa nipo zangu na Corola yangu,siku ya tatu tu, toka nimeletewa toka dsm!
Nikawa nimekaa ndani,nimefunga door na window zote,nakula kiyoyozi! Sasa kuna jamaa ni mtani wangu,akachukua maji akiwa kwa nje,akamwaga pale kwenye wind screen, aiseee,nilikwepa kama vile yanaingia ndani! Jamaa alicheka sana,akasema kweli wewe hizi mambo ni ngeni kwako
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie sikujua kama kuna kuweka mafuta sikuwa nasoma geji ni mwendo wa kukanyaga wese tu. Nakumbuka ilinimizikia katikati ya barabara hamna shell karibu.
Dyadya niwacheeeee 🤣🤣🤣🤣🤣Kuna walinunua... Then Wakaogopa kuendesha[emoji23]
Cc Espy Atoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dyadya niwacheeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uwe na balance ya kama shiling ngapi ndio ununue gari au uwe na kipato cha shiling ngapi kwa mwezi na mwaka ndio ununue gari nijibuJamani wale tuliokutwa na ushamba baada ya kumiliki gari kwa mara ya kwanza tulete visa tulivyokutana navyo hapa.
Binafsi baada ya kununua premio nilikuwa naiendesha huku nikiwa nimewasha handbreak kiasi kwamba mafuta yalikuwa yanaenda mengi Sana kwa kutembea huku nimeshika handbreak...
Je wewe ulikutana na ushamba gani?
Tiririka.
NB: Kama huna Hela za kutosha usinunue gari