Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona gari yangu pendwa honda crosroad haipo kwenye hii list wala wadau hawaizungumzi kabisa, hii ndoa katoliki bila shaka.Siku Moja niliomba bei ya gari hizi kwenye showroom za dar es salaam.
1.IST.
2. Vts.
3. Volvo
4. Carina TI.
5. Volts.
6. Suzuki.
7. Nadia.
8. Balloon 4pistons.
9. Gx100
10. Corona old model.
11.Allexes.
12. Premio old model.
13. Wish.
14. Verosa.
15.Juke
16.altezza
17. Alfaaard
18. Volkswagen toleo la sasa.
19. Allions
Naomba Msaada
Tutajikuta wajanja kumbe ujinga tulishatoaga JF siku mingi.Ambao hatuna tupate uzoefu
Tungeyajulia wapi haya mabebiloki kama sio JF, leteni uhondo wadau.Baby lock.mafundi magari ni sawa na mafundi electronics wanapiga hela za bure kutokana na watu wengi kutokuwa na ABC za vitu husika.
Una maana gani MkuuMbona gari yangu pendwa honda crosroad haipo kwenye hii list wala wadau hawaizungumzi kabisa, hii ndoa katoliki bila shaka.
[emoji23][emoji23]Hii ilimsumbua Anko wangu mmoja baada ya kununua Nadia,yupo wilayani akaenda misele mtaani akazima gari akaacha kwenye gia kila akijaribu kuwasha haiwaki akahisi mafuta yameisha akaita dogo mmoja aende kununua kwenye kidumu analetewa anajaza,akijaribu haiwaki anaagiza tena,kaagiza kama mara nne hivi ngoma haiwaki,mpaka yule jamaa wa sheli akashtukaAisee ki IST kiligoma kuwaka kumbe kilikuwa kwenye gia hahhahaah... Nikampigia fundi nikiwa na wazo betri limechuja.... Lahaula kusukuma sukuma gear lever nawasha ngoma ipo hewani..... Nilizima simu kwanza fundi asinidai ya boda boda
Namaanisha labda itakuwa na matatizo mengi, na ukinunua itakuwa yako kufa na kuzikana maana haiuziki.Una maana gani Mkuu
Hahahaa ilishanikuta hii jasho lilinitokaIlikuwa mwaka 2010 nina siku mbili tangu kupokea toka bandarini gari RAV 4 Old model. Kabla ya hapo nilikuwa namiliki corora box body manual. Ilikuwa asubuhi najiandaa kwenda ofisini. Nimeitoa kwenye packing na kisha nikaizima na kwenda kumalizia kujiandaa. Kumbe wakati natoka nilitwist steering ikajipiga lock steering. Wakati nataka kuwasha kila nikinyonga ufunguo naona kuna ugumu haijipigi. Hata switch on hakuna. Pigia fundi moja na kumwelezea akasema hiyo steering imejilock ili kuondoa lock twist steering huku ukiweka switch on. Aisee ilikuwa ni sekunde tu nilijiona mshamba sana. Kuja kukutana na fundi akanambia kuna jamaa alishawahi acha gari bar asubuhi akaenda na fundi kumbe steering lock.
Nimecheka hadi machoziNimpaga trafiki 50,000 alivyonisimamisha mara ya kwanza
Duh! Ya kwangu button yake mlangoni imekufa bila kujua siku nimepata pancha sijui nafunguaje. Niliokuwa nao hawajui pia. Nikachukua jeki na spana kwa mtu nikafungua tairi nikapeleka likazibwa nikarudishia. Kesho kwa fundi kurekebisha button na nikamsimulia kilichonikuta jana akanionesha wapi kitundu cha kufungua manually na ufunguo. Kimefichwa sana nacho!Daah nakumbuka nilishindwa kufungua boot la Crown mpka nikaita fundi
😀😀😀😀Mie sikujua kama kuna kuweka mafuta sikuwa nasoma geji ni mwendo wa kukanyaga wese tu. Nakumbuka ilinimizikia katikati ya barabara hamna shell karibu.
We hio balance unayoAt least balance ya 6M baada ya kununua gari ..
Hii ya tatu bado sijaiacha1.steering lock
2.maji yanayodondoka baada ya kuwasha AC
3.kuendesha automatic car kwa miguu miwili
hizi ndizo zilizonitoa ushamba mwanzon kabisa